Men Talk 3: Mwanaume usizae na mchepuko

JF ni home of Great Thinker, Mkuu nawewe ni mmojawapo?
 
Mi nilikuwa naambiwa nataka nizae na wewe ntalea mwenyew.Baada ya kuzaa mambo yamekuwa tofauti.Hamna mwanamke kati ya wote niliozaa nao niliyepanga kuzaa naye.

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Kwamba na wewe ukaamua kweli kutoa mbegu zako zawadi? Haikugusa nafsini mwako kwamba unazalisha watoto ambao hutokuwa sehemu ya maisha yao, hutokuwa baba kwao?
 
Aiseee
 
Kwangu mie hizo titles ni ubatili. Maishani mie nataka kuwa kwenyewe kundi la people with great happiness.
 
Kuna uncle wetu mmoja, alikuwa ana mke karibia kila mkoa utafikiri jogoo wa kuazima...

Sasa alipofariki ishu ikawa ndugu kuanza kusomesha watoto wa marehemu, wanandugu wengine ikawalazimu hadi kuuza mali zao ili watoto wa kaka walau wasome...
Huyo alikua sugu
 
Mungu anawaona wakti wewe umemshauri akampe jamaa damu ambayo sio yako,wewe ndio umebeba dhambi zake
 
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
 
Hamna mwanamke atakayekidhi vigezo bwana wewe...ingekuwa hivyo watu tusingechepuka.

Mie baba kwakuendekeza kuchepuka tayari nina ujinga sasa ukikutana na mwanamme mjinga sii majanga
Mkuu sio kila mwanaume anamtazamo kama huo wa kwako. Kuwa na watoto wa nje sio sifa.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Ukifikiri (kwa kichwa kikubwa) hii hoja ina mantiki sana. ila sasa "wakati ule" ukifika hicho kichwa kikubwa hakifanyi kazi, kinaacha kazi zooote zifanywe na kichwa kidogo
 
Alikuwa na 'mawe', yakampa kiburi....

Alivyokata kamba akapotea na mawe yake, tabu akaiacha kwa ndugu zake...
Sasa hiyo timu yake amewaachia viamba vingapi?ukute shamba lake eka moja watoto wa kiume 12
 
Kuna uncle wetu mmoja, alikuwa ana mke karibia kila mkoa utafikiri jogoo wa kuazima...

Sasa alipofariki ishu ikawa ndugu kuanza kusomesha watoto wa marehemu, wanandugu wengine ikawalazimu hadi kuuza mali zao ili watoto wa kaka walau wasome...
Mmmm Kuna mtanzania kwel wa kufikia atua ya kuuza Mali zake ili watoto wa kaka zake wau watoto wa mdogo wake wasomee mswahili afanye hivyo?
 
Kama unazaa na mkeo watoto, wote wanakua wajinga, unahitimisha vipi kuwa ni sababu ya mkeo na sio wewe?
 
Mmmm Kuna mtanzania kwel wa kufikia atua ya kuuza Mali zake ili watoto wa kaka zake wau watoto wa mdogo wake wasomee mswahili afanye hivyo?
Hapa naongelea miaka mingi iliyopita wakati wanadamu walikuwa na imani, hiyo ilikuwa in the 80's

Pengine kwa sasa isiwe rahisi vile watu wapo radhi kuchangiana mambo ya starehe/sherehe na si ya maendeleo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…