Huwezi kuamini ila mie ninazo PERFUMES nzuri sana za KIKE na KIUME.
Kwa bei hiyo utapata Perfume nzuri kabisa MADE IN EUROPEAN UNION na tuna kibali kabisa kutoka kiwandani na unaweza hata kuwaandikia baadaye kuhakikisha kama kweli sisi ni WASAMBAZAJI WAO kwa Tanzania.
Ngoja nikuwekee Tangazo langu hapo chini:
Dada yangu anauza Perfumes kwa sasa. Nashukuru Mungu kuwa wote wanaozijaribu, wananunua palepale. Wengine wananunulia hadi ndugu zao au rafiki zao. Bei zetu za juu ni Sh.30,000 kwa chupa ya Ml.100 kama unataka tukuletee (Kwa Dsm tu), Sh.25,000 ukija kwetu au maeneo ya mjini, na Sh.20,000 kwa bei ya jumla. Bei ya jumla tunaanzia chupa 10 kwenda juu (+ gharama za usafiri). Zilizobaki nyingine ni chini ya hiyo bei. Ukiangalia hapo, utaona kuwa ni bei nzuri sana kwa Perfumes ambazo ni Original na zimetengenezwa ndani ya European Union.
Karibuni wenye maduka, wauzaji rejareja ofisini na watumiaji wa kawaida. Kuna baadhi tayari zimeisha, hivyo wahi ujipatie kwani kwa sasa ni Promotion Price. Mzigo utakaofuata, bei kidogo zitapanda. Tuwasiliane +255717283199 (Neema)