Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 38,633
- 49,039
I learned this from my parents , and I saw how it worked, let me share :
Mwanaume: lazima uwe handy, uwe na ujuzi wa kutengeneza gari likiharibika, kutengeneza hata kitasa, kukata majani, mabomba ya maji yakipasuka na shughuli ndogo ndogo ambazo zitahitaji fundi, utapunguza mlolongo wa watu ndani ya nyumba yako ambao baadae wataiweka ndoa yako matatani.
Mwanamke: jifunze hata kushona, kupika keki, mikate midogo midogo na vitafunwa mbali mbali, itamfanya mumeo akupende zaidi kwa kukuona mbunifu.
Siku njema, na muwe na familia bora.
Mwanaume: lazima uwe handy, uwe na ujuzi wa kutengeneza gari likiharibika, kutengeneza hata kitasa, kukata majani, mabomba ya maji yakipasuka na shughuli ndogo ndogo ambazo zitahitaji fundi, utapunguza mlolongo wa watu ndani ya nyumba yako ambao baadae wataiweka ndoa yako matatani.
Mwanamke: jifunze hata kushona, kupika keki, mikate midogo midogo na vitafunwa mbali mbali, itamfanya mumeo akupende zaidi kwa kukuona mbunifu.
Siku njema, na muwe na familia bora.