Men learn to be handy- women be creative

Men learn to be handy- women be creative

ujumbe mzuri ila acheni na wenzenu wapate ridhki ndogo ndogo. kila kitu tukifanye wenyewe tu!! mmh
 
Yeah ni muhimu sana aisee, nilikuwa sijui kwanin mzee wangu alikuwa anatulazimisha kufanya baadhi ya kazi ambazo niliona ni uchafu lakini zinanisaidia sahvi
 
ukifanya kila kitu wengine watakula wapi jamani tuwaonee huruma na wao, sometimes hufanyi sio kwa sababu huwezi, lah unaacha ili kuwapa chance na wengine wapate hela.
 
..mwanaume hata tool box hana!!!
..manake hata kufunga socket, kupigilia msumari sehemu, basi hata kupaka rangi huwezi, aaah!!

Kama ulikuwepo Eli79 ....ndio wanaume waliobaki siku hizi .... full kulalamika lalamika hata kufunga socket ...... unasikia msweet mwite fundi.....khahahaha
 
Nimekataa, hayo maisha ya kizamani, siku zinavyokwenda tunazidi kurahisisha maisha, computer ya kwanza ilikuwa kubwa sana lakini leo hii tunaongelea smartphone na tablets, gari zilikuwa manual leo hii kuna automatic.
Naamini katika output and simplicity
 
Back
Top Bottom