Hii yenyewe aisee
Hii yenyewe
Kule ni hatari aise usisikie wana mambo yao flani hiviSeleman Bungara "Bwege" naye si ni Kilwa hukohuko?😁
Naye kwa sasa ana mguu mmoja!!
Hao jamaa hawatanii.
Mradi wa barabaraDuh......Kilwa Kaskazini balaa nishapata mradi huko maeneo ya Kandawale, Mtumbei, Kipatimo, MT, Nguchuchu, Chumo ni balaa usiku hakulaliki mauzauza ya kutosha mfano pale Kandawale mwisho wa matatizo aise. Kumaliza ule mradi Muweza wa yote alitusimamia sana maana wengi walikiwa hawamalizi.
Mikwara kwanini wasiroge wawe MatajiriKule ni hatari aise usisikie wana mambo yao flani hivi
Culvets piaMradi wa barabara
Njoo DMCulvets pia
Kitambo lakini ilikuwa mkuu 2022Njoo DM
Mangungu ni kijana kumbe!Serikali imeshindwa kuzalisha ajira sasa vijana wanauwana katika kuifanya siasa ni ajira.
Haka kastory nakapenda sana, nimekuja kugundua aisee kuna majamaa yanapenda sana madaraka.. kwa hii trend ningekua mimi ningekaa tu pembeni waendelee wengine.
Huyo ni kama alikua Kilwa kusini, hayo ma giants ya kurogana yapo kilwa kaskazini ingawa Kilwa kusini nako sio salama sana kwa afya.Seleman Bungara "Bwege" naye si ni Kilwa hukohuko?😁
Naye kwa sasa ana mguu mmoja!!
Hao jamaa hawatanii.
Mungu anisaidie nianze kukuogopa maana Kilwa naiogopa hata kwa kusikia sasa mwenzetu ndo kwenu.Kilwa hiyoooo
Kilwa ya babaaaa
All in all nimesoma shule ya msingi kilwa kivinje..
Secondary nikasoma hapo hapo kilwa secondary (Milamba)
Naipenda kilwa yangu.. ni kila siku nakumbuka lile life la kushirikiana ndgu jamaa na marafiki,
Life ambalo tunakaa kama kijiji an msiba ukitokea tunatangaziwa katika msikiti wa ijumaa na watu kwenda kuzika..
I love you kilwa kivinje 🙏🙏🙏🙏
Ndipo nilipo lelewa huko mkuu..Mungu anisaidie nianze kukuogopa maana Kilwa naiogopa hata kwa kusikia sasa mwenzetu ndo kwenu.