MEMBE yupo LIVE ITV kipindi cha dakika 45

MEMBE yupo LIVE ITV kipindi cha dakika 45

Tanzania inashika nafasi ya kwanza ya kua na jeshi bora brani africa: Membe
 
ni aibu hata kusema eti ndiye waziri wetu wa mambo ya nje mh
 
Ameyasema hayo akiwa kwenye kipindi cha Dk 45 ITV.

Amesema jeshi la Tanzania ni la kwanza africa kwa ubora, na namba 27 Duniani. Does it real tally na uhalisia?

Nina mashaka anatafuta urafiki kwa wajeda kuelekea 2015 presidential election!!
 
Membe ni kibaraka cha waarabu......poor him
 
Tunataka Rais ambaye anajali maslai ya watanzania kwanza majirani baade, lakini Membe hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi labda huko Misri.
 
Yani huyu jamaa mjinga sana, kala hela za wamisri huko anatuletea utumbo hapa. Yani natamani nimtusi @#$*&
 
ameyasema hayo akiwa kwenye kipindi cha dk 45 itv.

Amesema jeshi la tanzania ni la kwanza africa kwa ubora, na namba 27 duniani. Does it real tally na uhalisia?


Nina mashaka anatafuta urafiki kwa wajeda kuelekea 2015 presidential election!!

wala hamna cha kutafta kura ni ukweli kabisa,kwani tz tuko kamili kwa
infantly army,airforce na. Majini.na vita ya mtz ni ya chini ka marekan japo wamebase air force.minister hadanganyi
 
Huyu jamaa ni mpuuzi aiseee! yani mishipa inamkakamaa kutea Misri eti wamiliki maji ya Nile kuliko wa South Sudan ambao wanakufa kwa Ukame hawawezi kutumia maji kwa umwagiliaji! Kiumbe huyu hafai kabisa.

umemwona mkuu? yaani huyu jamaa hafai kabisa! kwani wamisri ni mbumbumbu kiasi kwamba hawana uwezo wa kukaa na kubadilika bila mto kuwepo?, hapa kuna ukame balaa, anasaidije? ...sjo
 
Ni suala la ajabu kabisa, hivi Misri ndio nchi kame kuliko zote barani Afrika? Nchi zingine zenye mazingira magumu zaidi ya Misri wamekufa? Membe hafai, i repeat HAFAI.
 
Benard Membe ambaye ni waziri wa mambo ya nje na mbunge wa jimbo la Mtama mkoani Lindi Anahojiwa na Emmanuel Buhohela. Membe pia ni mmoja kati ya wanaotajwa kuusaka urais mwaka 2015.
Stay tuned for updates.

Membe ataendelea kuusikia urais kwenye radio mpaka Yesu atakaporudi. Kwanza hv ameishaoteshwa au bado?
 
Benard Membe ambaye ni waziri wa mambo ya nje na mbunge wa jimbo la Mtama mkoani Lindi Anahojiwa na Emmanuel Buhohela. Membe pia ni mmoja kati ya wanaotajwa kuusaka urais mwaka 2015.
Stay tuned for updates.

Hivi Membe anawezaje kueleza ubora wa jeshi wakati yeye sio mkuu wa majeshi, yeye sio waziri wa ulinzi wala yeye sio mwanajeshi???
Hivi viongozi wetu wamepewa nini na Misri mpaka wawe na ujasiri wa kupanua vinywa vyao kuwa watetezi wa Misri??? hivi ni Watz wangapi hawana maji hawazungumzii ??? yeye anawaonea huruma Misri zaidi ya watu wa Singida wasio kuwa na maji?? Misri sio maskini kama watu wa Singida na Dodoma vijijini??

Saa zingine náshangaa viongozi wanaoona huruma wageni kuliko wazawa.
Watz pamoja na kuwa na ziwa Victoria umeme kwetu ni shida wakati Misri kwa maji hayo hayo ya ziwa victoria wanazilisha umeme mwingi zaidi hata kuuza nje ya Misri bado tuendelee kuwapa wao maji sisi tusichukue maji ziwani.
Huu ni ujingaaaa
 
wala hamna cha kutafta kura ni ukweli kabisa,kwani tz tuko kamili kwa
infantly army,airforce na. Majini.na vita ya mtz ni ya chini ka marekan japo wamebase air force.minister hadanganyi

Mkuu mbona umepost kama wale mgambo wa kanali mohamed bacar wa Anjuan
 
akimaliza kuongea mtuambie turudishe ITV tucheki program zinazofuata
 
Unaweza ukasome ila usielimike. Yaani wamisri wana haki ya kutumia maji sisi tusiwe nayo. Kwa hili namuunga MKONO LOWASSA EDWARD Kwa kuwa jembe. Yaani mtu kama huyu anautaka Urais halafu maamuzi yake yanazidiwa Hata na akina Mangungo!!! Poor FISI aka membe
 
Kama ilivyokuwa Vigumu kwa Serikali kuhamia Dodoma au ilivyokuwa vigumu kwa Serikali kupiga marufuku Uvaaji wa hovyo hovyo (kata.k)milegezo na vimini,ndivyo hivyo hivyo ilivyo vigumu kwa Membe Kuwa Rais , ni rahisi Tembo kupenya kwenye Tundu la sindano kuliko yeye Kuwa Rais
 
Ana laana ya Mungu huyo na sijui ataponea wapi kwani mkono wa Mungu u juu yake. Kwani Mungu kamuambia Israel nitambariki atayekubariki na nitamlaani atakaye kulaani. Kazi kwakeee.
 
jamani leo nimekasirika kuliko maelezo kweli mtu anatetea wamisri na kuwaacha watanzania? kwa kweli huyu hafai kabisa kuwepo hata tanzania mi naona ni bora ahamie hukohuko kwa.waarabu

Labda ni balozi wa Misri nchini Tz
 
Back
Top Bottom