Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
Yaani kaniudhi kweli huyu kenge.Eti anadai gia yao ni kupanuka kwa ziwa na kumega ardhi halfu bado anadai nusu.Km ardhi imemeguka nusu ya umali uliopo si atajikuta akithibitisha wanachosema wamalawi?Aombe Mungu msumbiji wawakomae kwa hofu kuwa nao kipande chao kitaondoka. Halfu anaongelea habari ya mto nile naupendeleo pekee Kwa sudani na Misri as if Misri waliwahi tutetea.Kwanza sisi hatuhitaji kuongelea Nile hata km inategemea Victoria,CCM tunatakiwa ongelea Ziwa letu.Na kulitunza wakati tunalifaidi ni riziki aliyotupati Mungu.Kajiulize km Misri wapo wababe hivi wangekuwa wao ndio wapo juu ingekuweje?Membe ni laana ya nchi na mazao ya makuwadi wa UDSM .niliwhai waambia watu humu ndani UDSM ni laana ya hii nchi na duniawakanitukana.Tumekutwa tukitumia kuiburuza Africa kukaa upande mbaya wa dunia.Anakiri Tanzania ni wakala mtakatifu. Kwa matumizi ya maji ya mto nile ati tukiyatumia kwa umwagiliaji Misri watakufa duh!! Preferential treatment? nani anatufanyia sisi? Madini yetu yanachotwa tu, mererani watu wananunua ndoo ya maji sh 2000 where is the convenience?