Mheshimiwa waziri ( rais mtarajiwa) alishauri kwa kuepuka usumbufu sasa ukiona kama ushauri haufai, nenda wewe katikati ya jiji jumatatu na jumanne.
sawa kabisa hiki ndicho alichoshauri.....sasa watu humu washaanza kupotosha eti amesema watu wasije dar!