SIMEON KATATANAMA
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 479
- 277
Kwanini watanzania kuanzia ngazi ya familia hadi Taifa tunakuwa wanafiki sana, wewe unatembelewa na mgeni, badala ya kumwonyesha hali halisi uliyonayo wewe unajifanya mambo safi huku ukiendelea kuumia. Mmewatoa wauza magazeti, wapiga kiwi, n.k ili iwe nini?