mchango wangu ni kwamba tuna lumbana bure,JM alikua anataka masifa ya bure alichoongea ni nonsenses,alichosema Membe ni cha msingi sio kwamba Membe sio patriotic wa nchi yake,
wana Jf lazima mjue kwamba Kanuni za Bunge zina mtaka anae gombea kwenye hilo bunge la Africa zinasema lazima huyo mtu ajieleze kwa ki engeleza,ni bunge hihlo hilo lililo tunga hizo kanuni,alichatakiwa kufanya JM ni ku move motion kanuni zitenguliwe kuliko pompousness ya kueleza aah et nilifanya kazi Ikulu,Mambo ya nje what for sasa, nilifurai Membe kumzima siwezi nika conclude kwamba ni bifu la kujivua gamba ila live alimtuliza
bravo membe