KIMICHIO
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 1,179
- 80
Hivi huyu maembe sijui membe zinamtosha kweli?Au na ye ni kama bosi wake Jk?Anatishia kujamba wakati anaharisha?Athubutu aone labda kama na wananchi hatukusikia na kumuona.Au ndo aina mpya ya ufisadi ya kutengeneza fidia feki ka za dowans kwamba we nenda kwa kesi ambayo utashindwa alafu ukishindwa serikali itakupa mihela kibao mara kumi ya fidia halafu tutagawa ya Boss Jk,Rostam na Lowassa na kidogo kitakachobakia kitakuwa chako.sawa?