Mdau
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,789
- 470
Taarifa hiyo ilimpandisha chati Membe mbele ya macho ya Wananchi hata kama kweli hakusema yaliyoandikwa. Lakini hili la hatua aliyochukua, litamteremshia hadi yake na kujenga chuki na Wananchi. Alitakiwa apime kabla ya kuchukua hatua hii hasa ukizingatia ana ndoto za kugombea uraisi 2015.
Urais wa Mtwara au???