Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,101
Rudi shule wewe!Mwananchi na Tanzania Daima wakome na umbeya wao kumbe wanaandika umbeya na propaganda!
Rudi shule wewe!Mwananchi na Tanzania Daima wakome na umbeya wao kumbe wanaandika umbeya na propaganda!
weka mkuu:smile-big:Nina clip Membe akiongea hayo ngoja niiweke vizuri niwerushie!
Mtarajiwa wa nani?rais mtarajiwa anayepaniki hovyo namna hii? mbona hatari
Never heard of a lawsuit this damn stupid.Tena kutoka kwa mtu aliepachikwa uwaziri! Yani anataka kuwashtaki kwa kumpakazia mazuri?Nwyz labda ni haki yake ila statement zake zinapingana unless watasema yale mauaji ni matokeo ya "kiherehere" cha wananchi wenyewe!Maana anapinga kusema polisi walifanya makosa mauaji ya Arusha kwasababu ataonekana anaponda jeshi la polisi alafu anarudi kusema serikali haijafurahishwa na mauaji hayo?Wana mpango wakumtupia nani lawama?Kweli viongozi tumepata mwaka huu!
Naomba mkae kimya, hapa magazeti yanayoandika habari za weledi na za ukweli na uhakika na hawana majungu wala chuki wala makundi wala mitandao ya kimaslahi, ni magazet haya hapa:
1. Uhuru
2. Daily news
3. Mtanzania
4. Rai
5. Habari leo.
Haya ndio magazeti makini kwa hapa Tanzania, na ushahidi ninao sijawahi kusikia yakishitakiwa mahakamani wala baraza la habari magazeti haya. kwahiyo naomba mkae kimyaa kabisa kama mnanyolewa.
Hizi nguvu na huu muda angeutumia kushughulikia mambo yenye tija ningemuona wa maana.... au yupo idle na hana shughuli za kufanya?
Kabla sijasoma signature yako nilitaka ku-coment..................
Unatuambia tukae kimya wewe kama nani?