johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,038
Aliyekuwa Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo Bernard Membe amesema amejaribu kwa wakati kugombea Urais na sasa wakati hauko upande wake tena hivyo anawatia moyo vijana kugombea.
Membe amesema yeye hana tamaa na wala hajazaliwa ili awe Rais ndio maana anabakia kuwa mshauri. Ni fisi tu ndiye mwenye tamaa lakini hana mikakati ndio maana tamaa yake inamponzaga hivyo mikakati ikifika mwisho na bado ukawa una tamaa basi utaonekana ni kibwengo.
Membe amewataka vijana wanaotaka kugombea Urais waanze maandalizi mapema lakini wawe waangalifu sana wasije wakafukuzwa kama yeye.
Chanzo: Clouds TV
Maendeleo hayana vyama!
Membe amesema yeye hana tamaa na wala hajazaliwa ili awe Rais ndio maana anabakia kuwa mshauri. Ni fisi tu ndiye mwenye tamaa lakini hana mikakati ndio maana tamaa yake inamponzaga hivyo mikakati ikifika mwisho na bado ukawa una tamaa basi utaonekana ni kibwengo.
Membe amewataka vijana wanaotaka kugombea Urais waanze maandalizi mapema lakini wawe waangalifu sana wasije wakafukuzwa kama yeye.
Chanzo: Clouds TV
Maendeleo hayana vyama!