johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,949
- 141,930
- Thread starter
- #61
Hahahaaaa.......!Hao wajumbe si wangempigania abaki? Au si wangeenda nae huko ACT?
Hizi kelele ndio zilimfanya zitto akurupuke, ila mwishoni wakaja kushtuka kuwa ni kelele za nyie wajinga wachache huku mitandaoni