Membe na Kikwete ni ndugu

Membe na Kikwete ni ndugu

Status
Not open for further replies.
Kuna taarifa za kuaminika kuwa Membe na Kikwete ni ndugu.

Zikuwapi hizo taarifa sasa au ndiyo unataka kutea majungu???? Membe ni mtu wa Kusini na JK ni mtu wa Bagamoyo. Undugu unakujaje????
 
Sisi sote ni ndugu na Afrika ni moja. Sema jingine.
 
Mbona hujaweka taarifa.me ninachojua ni mashemeji.
 
Sio ndugu ila tabia zao ndio sawa .
 
kutoka mmoja kusini na mwingine mashariki sio ishu. swala hawa jamaa ni ndugu si tu kiafrika bali wa damu (baba mmoja).
 
Inasemekana kuwa wako baba mmoja ingawa ni fununu zisizo na ushahidi
 
Zikuwapi hizo taarifa sasa au ndiyo unataka kutea majungu???? Membe ni mtu wa Kusini na JK ni mtu wa Bagamoyo. Undugu unakujaje????
mmmh kuna harufu ya kumwaga ....

Mkuu hizo tetesi zina dalili ya chembe chembe nyingi za ukweli!!?
Kama unabisha jaribu kufanya uchunguzi wako wa siri utagundua kitu.

Mimi nilijaribu kufanya uchunguzi niliyoyakuta ni siri yangu kwa sasa.

Kukujibu swali lako hapo juu ni kwamba mzee Mrisho mwenyewe(Chief wa zamani wa wakwele) inadaiwa na baadhi ya watu kuwa alizaa na wanawake wengi sehemu mbali mbali alizowahi kuishi na huko Lindi alimpachika mimba mwanamke ambaye inadaiwa ndio mama yake ......!!!

Kifupi mimi sijui sana bali nasimulia tu.
 
Mie naona udugu wa wanangu hawa ni ufisadi na tamaa ya mali na madaraka. Hata Lowassa ni ndugu yake Kikwete sawa na Membe na mafisadi wengine wote duniani. Baba yao anaitwa Mobutu Seseseko na Mungu wao anaitwa Fwedhaa na dini yao ni Ufisadi. Kabila lao ni CCM, na mbari yao ni kujuana na kulindana.
 
mmmh kuna harufu ya kumwaga ....

Mkuu hizo tetesi zina dalili ya chembe chembe nyingi za ukweli!!?
Kama unabisha jaribu kufanya uchunguzi wako wa siri utagundua kitu.

Mimi nilijaribu kufanya uchunguzi niliyoyakuta ni siri yangu kwa sasa.

Kukujibu swali lako hapo juu ni kwamba mzee Mrisho mwenyewe(Chief wa zamani wa wakwele) inadaiwa na baadhi ya watu kuwa alizaa na wanawake wengi sehemu mbali mbali alizowahi kuishi na huko Lindi alimpachika mimba mwanamke ambaye inadaiwa ndio mama yake ......!!!

Kifupi mimi sijui sana bali nasimulia tu.

kwa hiyo mkondo hufuata maji eeh! Like father like son huh!
 
Ni kweli baba mmoja mama mbalimbali.

Unasema ni kweli lakini mbona hufafanui? Kwani watu wakiwa ndugu kuna ubaya gani? Kibaya ni kama mnaleta mnazalisha uongo na kutengeneza majungu! Ila nachoona mimi ukichukua picha za hawa waheshimiwa wetu ukiziweka karibu karibu kuna mshabihiano wa karibu sana
 
Ha! Mkuu, wewe ndio umelijua leo? Unastaajabu ya Membe, subiri utaona ya Hawa Ghasia na mengine mengi!
 
Habarini wanaJF!!!Kuna tetesi nimezisikia kwa muda mrefu sasa kuwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernad Membe ni ndugu wa damu na Mkuu wa Kaya Mh. Jakaya Kikwete.Waheshimiwa hawa wanashea mama lakini baba zao ni tofauti. Inasemekana pia nyoka huyu wa mdimu (kama alivyoitwa na bw. mudhihir bungeni wakati fulani) hata uwaziri ni kama amepewa zawadi na kaka yake.Tetesi hizi ni za kweli!?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom