Membe kuwania urais 2015...

Akiwa Rais 2015, mie nitakuwa Waziri wa Mambo ya Nje..

Hana huo ubavu kwa kuwa tutakutana Dodoma wakati huo!

Hizo kwake ni ndoto za mchana, hafai, kwa maana kalba hata ya kugomea ameanza majungu!
 
Unamaanisha nini unaposema Membe hamuwezi Mudhihiri? Binafsi sijasikia Membe akitangaza kutaka kugombea urais 2015 lakini kwavile watu wanahisi ana uwezo huo ndio maana wanaamua ku-conclude!! Hivi ndivyo mwanadamu alivyo!!! Mtu akiwa na cha kuringia basi hata asiporinga, waungwana watasema anaringa kwavile wanajua anacho cha kuringia!!lol !!! Mimi natoka Jimbo la Mudhihiri, na ni jirani na Jimbo la Membe!! Jimbo la Membe lina maendeleo makubwa kuliko la Mudhihiri na mengi aliyafanya wakati akiwa mbunge tu, sasa unaposema Membe hamuwezi Mudhihiri ni kwa lipi wakati wanatakiwa kupimwa kazi zao majimboni kwao kwavile wote ni wabunge?! Jambo moja ndilo ambalo Mudhihiri anamzidi Membe, nalo ni USWAHILI, wakati Membe sio mtu wa kuchonga kama alivyo Mudhihiri!!Ndio Mudhihiri kawa Mbunge miaka 14!! Ndio justification ya kuonesha ubora wake? Unaonaje ukitaja mafanikio aliyowapatia wapiga kura wake katika kipindi chote hicho? Mbona KImbau alikaa Mafia kwa zaidi ya miaka 20? Ni bora? Kawaulize watu wa mafia wenyewe watakuambia na ndio maana hata alipotokea Buji (Abdulkarim Shah Mafia), akachukua jimbo kiulaini. Kinachombeba Mudhihiri ni kwamba hamna competitive politician jimboni mwake na ndio maana alivyotokea mama wa watondoa akaanza kutapata!! na ndio maana hata uncle wangu alipojaribu kuwasaidia wanakijiji wenzake akazani anataka ubunge wakati yeye na siasa tofauti!!

Mambo mengine unachekesha!! Hivi tangu lini Mbunge akapimwa na shouting za bungeni? Ingekuwa kuongea bungeni ni kigezo basi Mafia ya Kimbau na Newala ya Nandonde zingekuwa kama Newyork!! Usitaje maswali aliyouliza bungeni, taja mambo aliyofanya jimboni!

Nikikubana kwa jina la mgonjwa wa Ukimwi unakuja na hili,mwenzio alifikiri simjui Mwikalo nimemtajia hadi shule aliyosoma.

Mudhihir sio Mswahili kama Membe,Rais JK katumiwa barua rasmi kuelezwa Majungu,Upekepeke,Fitna,Uchimbi,unafiki,uchonganishi na kujipendekeza kwa Bwana Membe.katika historia ya Tanzania hajawahi kutokea waziri akashtakiwa kwa rais kwa mambo hayo ni Bwana Mdogo Membe tu,AIBU!!

ETI watu ndio wanaosema atagombea urais kwa vile yuko makini na ana uwezo,sio kweli Sumaye ALIKUWA akitajwa muda mrefu kuwa atagombea urais jee alikuwa ana uwezo?

Shibuda alitajwa na akagombea naye ana uwezo? kilichopo MEMBE anapita mitaani kufanya kampeni tena kibaya zaidi anaongopa kuwa "MIMI NDIO CHAGUO LA MZEE" yaani JK. tunajua anadanganya hata kama ndio chaguo la JK,AJUE kuwa SUMAYE lilikuwa chaguo la MKAPA na alitoka KAPA.

Membe amekuwa akisema unajua uzuri wa rais awe amewahi kuwa waziri wa mambo ya nje, jee NYERERE ,OBAMA na mzee Mwinyi walikuwa mawaziri wa mambo ya nje?

sababu anajua fika hana uzoefu ndani ya chama wala serikalini.amekuwa mjumbe wa kamati kuu hivi juzi tu.anajitia yeye ni nguli kwenye usalama wa Taifa, wakati MUDHIHIR huko ndiko alikokulia, kwenye dunia ya leo nani anaogopa usalama wa Taifa? unless uwe mharifu,

Mwikalo ndio aliyemsomesha Membe Alipokuwa Marekani leo mnasema hana uwezo? kweli kwenye Kampeni ya urais Mwikalo hawezi kum fund peke yake ndio maana MEMBE akapigana ili mradi wa vitambulisho vya Taifa uwe wake apate mtaji wa kugombea 2015.MEMBE kasaidiwa sana na Mwikalo awe mstarabu wa kushukuru.

wewe unasema mbunge wa Mafia anaitwa Buji sio kweli anaitwa BULJI,jee amefanya nini la maana Mafia?kumbuka KIMBAU alikuwa mbunge kipindi cha Mwalimu ambako Bajeti ilikuwa ndogo na hakukuwa na taasisi binafsi au kampuni ambazo unaweza kwenda kuomba msaada wa kujengewa shule au zahanati zaidi ya bajeti finyu ya serikali.

wabunge hawakuwa na nguvu kama za sasa za kina MRAMBA kupita kwenye mashirika au wafanyabiashara wakijua watawabana kwa nafasi zao za uwaziri,mfano Mkoa wa Dar-es-salaam toka Nyerere amekuwa rais kwa miaka yote karibu 30 hakuna mbunge yeyote aliweza kujenga shule ya sekondari.huko Mafia shule ya kwanza ilijengwa na Kimbau mwaka 1993 inaitwa Kitomondo toka uhuru hakukuwa na shule, hiyo ilikuwa sera ya Mwalimu Nyerere.

Miradi ya Membe Mtama ni kwa ufadhili wa Dioniz Malinzi ambaye ni mmoja wa wafadhili wake wa urais 2015.kwanini Malinzi kaenda kwa Membe? Malinzi ndiye alikuwa mfadhili mkuu na pekee wa Sumaye kwenye uchaguzi wa 2005 nitakumalizia habari yake baadae.
 
MgonjwaUkimwi,
Mkuu, habari ya Mwikalo kushindwa maisha Canada sii kweli, alikuwa na kazi nzuri tu..Jamaa alihamia US kwa sababu alipata ajira yenye cheo na fedha zaidi..... mabo kwneda juu mkuu wangu..
Kilchotangulia, Mwikalo ndiye aliyepeleka Idea ya kwanza kufungua mtandao Zanzibar - Tanzania.. wajanja wakamzunguka ndipo akanawa mikono na kuhamia US..

Nimekusikia Mkandara,
Wewe kaa na data zako na mimi nakaa na data zangu juu ya Mwikalo. Nikiendelea kuteremsha data za Mwikalo nitakuwa simtendei haki JF kwani yeye mwenyewe ni member wa JF na Tanzanet kadhalika, na ana watu wake hapa JF. Kwa hiyo mimi natuliza boli, ili tuendelee na mada. Nitahitimisha tu kwa kurudia kwamba Mwikalo ninayemfahamu mimi hana ubavu wa kufadhili kampeni za Membe.

Nikirudi kwa Mudhihir, Mbunge wa Mchinga naona kachanganyikiwa baada ya kupata mkono wa chuma. Hana point juu ya ujenzi wa kiwanda cha saruji Lindi mjini ambako sio jimbo lake wala jimbo la Membe. Mji wa Lindi unakaribia kuitwa kijiji, waalimu na waganga wanaukimbia, njaa haijaacha kutesa, kila mkuu wa mkoa wa Lindi ameshindwa kabisa kuufufua mji wa Lindi. Leo hii Membe anafanikiwa kuleta kiwanda cha saruji kitakachoinua uchumi, Mudhihir anataka kijengwe nje ya Lindi mjini na hivyo kuua kabisa matumaini ya kufanya mji wa Lindi uwe manicipal.

Kwa taarifa sio kiwanda cha saruji tu kitakachojengwa Lindi mjini, bali hoteli ya kitalii na kiwanda cha kubangua korosho. Haya yote ni mafaninikio ambayo hakuna mbunge yeyote aliyethubutu kuyaleta mjini Lindi isipokuwa mbunge wa Mtama (sio Lindi mjini) Membe, utashangaa kazi ya mbunge wa Lindi Mjini.

Membe akiwa mbunge tu na sio uwaziri, kajenga clinics kwenye jimbo lake, na amekuwa mbunge wa kwanza katika mkoa wa Lindi kujenga ofisi ya bunge yenye wafanyakazi wapatao 25 wanaolipwa kwa fedha ya mshahara wake. Ni mbunge wa kwanza kusambaza ambulances kwenye jimbo lake ili kuokoa maisha ya akina mama wanaozaa na kupoteza vichanga. Ni mbunge wa kwanza kupongezwa na wafadhili kwa matumizi halali ya misaada ya wafadhili.

Ni mbunge wa kwanza kupeleka jopo la wapiga kura wake 15 (bila kujali vyama vyao) kwa fedha yake Dodoma bungeni kusikiliza bunge na kujifunza namna bunge linavyotunga sheria. Hapa tunapoongea vijiji takriba 10 vya jimbo la Mudhihir vimetoa maombi serikalini vikiomba vijiunge jimbo la Membe ili vinufaike na maendeleo yasiyo yakibaguzi yanayoloetwa na Membe.

Mudhihir amefanya nini katika jimbo la mchinga? Alikuwa mbunge wa kwanza kushikwa ugoni hadi akakatwa mkono. Amekuwa mbunge wa kwanza kuanzisha bendi ya muziki (Mchinga sound?)ambayo tayari imemshinda. Amekuwa mbunge wa kwanza kumfanya mgombea urais wa tiketi ya ccm kupata chini ya asilimia 3 za kura zote, na kulazimisha CCM iibe kura kunusuru aibu.

Nitasisitiza kwamba Mdhihir kachanganyikiwa mana anaona mwisho wa ubunge wake. Anatumiwa na wabaya wa JK wanaoona kwamba Membe ni royal kwa kikwete na kwamba ana asilimia kubwa ya kuwa rais. Jimbo la Mdhihir na Lindi Mjini watafurahi kupata mbunge kama Membe.

Mikoa ya kusini imekuwa marginalized sio tu na central government bali na wabunge wa mfano wa Mudhihir, Magani, Majogo, Kitende, nk. Wakati umefika kwa mikoa hii kupata wabunge wanaojali wapiga kura wao, wabunge wa mfano wa Membe.

Membe ana haki ya kugombea uraisi, na ni wananchi tu ndio watakao amua kama anafaa au lah. Wananchi hao ni zaidi ya Kanda2, MgonjwaUkwimwi, Mkandara, na ni zaidi ya JF. JF tunaweza kumwona hafai wananchi wakaona vinginevyo, na kinyume chake.

Kwa mtazamo wangu, Membe hatagombea urais 2015 kwa sababu kashatimiza ndoto zake za kuleta mafanikio katika jimbo na mkoa wake. Uwaziri wa mambo ya nje kwa Membe ndio kikomo cha ambitions zake kisiasa. Kuwakilisha nchi yake katika mataifa mengine ndio urais wa Membe, sio kutawala nchi. Kama Membe atagombea urais basi ni kwa maombi ya wananchi na si matakwa yake. Haya ni mawazo yangu.
 
Afu mi nawashangaa, yaani mnawaza kuwa na raisi toka chama cha mafisadi hadi hiyo 2015?

Labda kama mnaongelea CCM B, lakini si hii CCM mafisadi!, By 2015 itakuwa kwisheni kabisa!

Hivi hamuoni ajabu eti leo hii huko B'mlo mkutano wa CCM unadoda kuliko wa TLP/Chadema?? pamoja na nguvu zote hizo na miziki ya TOT?

Open up your eyes, msibishanie mgombea ambaye hatafika popote, tena msimamisheni Membe huyu huyu mzee wa lugha gongana za OIC na faida kwa watanzania ili anyolewe vizuri.
 
Nimekusikia Mkandara,
Wewe kaa na data zako na mimi nakaa na data zangu juu ya Mwikalo. Nikiendelea kuteremsha data za Mwikalo nitakuwa simtendei haki JF kwani yeye mwenyewe ni member wa JF na Tanzanet kadhalika, na ana watu wake hapa JF. Kwa hiyo mimi natuliza boli, ili tuendelee na mada. Nitahitimisha tu kwa kurudia kwamba Mwikalo ninayemfahamu mimi hana ubavu wa kufadhili kampeni za Membe.

Nikirudi kwa Mudhihir, Mbunge wa Mchinga naona kachanganyikiwa baada ya kupata mkono wa chuma. Hana point juu ya ujenzi wa kiwanda cha saruji Lindi mjini ambako sio jimbo lake wala jimbo la Membe. Mji wa Lindi unakaribia kuitwa kijiji, waalimu na waganga wanaukimbia, njaa haijaacha kutesa, kila mkuu wa mkoa wa Lindi ameshindwa kabisa kuufufua mji wa Lindi. Leo hii Membe anafanikiwa kuleta kiwanda cha saruji kitakachoinua uchumi, Mudhihir anataka kijengwe nje ya Lindi mjini na hivyo kuua kabisa matumaini ya kufanya mji wa Lindi uwe manicipal.

Kwa taarifa sio kiwanda cha saruji tu kitakachojengwa Lindi mjini, bali hoteli ya kitalii na kiwanda cha kubangua korosho. Haya yote ni mafaninikio ambayo hakuna mbunge yeyote aliyethubutu kuyaleta mjini Lindi isipokuwa mbunge wa Mtama (sio Lindi mjini) Membe, utashangaa kazi ya mbunge wa Lindi Mjini.

Membe akiwa mbunge tu na sio uwaziri, kajenga clinics kwenye jimbo lake, na amekuwa mbunge wa kwanza katika mkoa wa Lindi kujenga ofisi ya bunge yenye wafanyakazi wapatao 25 wanaolipwa kwa fedha ya mshahara wake. Ni mbunge wa kwanza kusambaza ambulances kwenye jimbo lake ili kuokoa maisha ya akina mama wanaozaa na kupoteza vichanga. Ni mbunge wa kwanza kupongezwa na wafadhili kwa matumizi halali ya misaada ya wafadhili.

Ni mbunge wa kwanza kupeleka jopo la wapiga kura wake 15 (bila kujali vyama vyao) kwa fedha yake Dodoma bungeni kusikiliza bunge na kujifunza namna bunge linavyotunga sheria. Hapa tunapoongea vijiji takriba 10 vya jimbo la Mudhihir vimetoa maombi serikalini vikiomba vijiunge jimbo la Membe ili vinufaike na maendeleo yasiyo yakibaguzi yanayoloetwa na Membe.

Mudhihir amefanya nini katika jimbo la mchinga? Alikuwa mbunge wa kwanza kushikwa ugoni hadi akakatwa mkono. Amekuwa mbunge wa kwanza kuanzisha bendi ya muziki (Mchinga sound?)ambayo tayari imemshinda. Amekuwa mbunge wa kwanza kumfanya mgombea urais wa tiketi ya ccm kupata chini ya asilimia 3 za kura zote, na kulazimisha CCM iibe kura kunusuru aibu.

Nitasisitiza kwamba Mdhihir kachanganyikiwa mana anaona mwisho wa ubunge wake. Anatumiwa na wabaya wa JK wanaoona kwamba Membe ni royal kwa kikwete na kwamba ana asilimia kubwa ya kuwa rais. Jimbo la Mdhihir na Lindi Mjini watafurahi kupata mbunge kama Membe.

Mikoa ya kusini imekuwa marginalized sio tu na central government bali na wabunge wa mfano wa Mudhihir, Magani, Majogo, Kitende, nk. Wakati umefika kwa mikoa hii kupata wabunge wanaojali wapiga kura wao, wabunge wa mfano wa Membe.

Membe ana haki ya kugombea uraisi, na ni wananchi tu ndio watakao amua kama anafaa au lah. Wananchi hao ni zaidi ya Kanda2, MgonjwaUkwimwi, Mkandara, na ni zaidi ya JF. JF tunaweza kumwona hafai wananchi wakaona vinginevyo, na kinyume chake.

Kwa mtazamo wangu, Membe hatagombea urais 2015 kwa sababu kashatimiza ndoto zake za kuleta mafanikio katika jimbo na mkoa wake. Uwaziri wa mambo ya nje kwa Membe ndio kikomo cha ambitions zake kisiasa. Kuwakilisha nchi yake katika mataifa mengine ndio urais wa Membe, sio kutawala nchi. Kama Membe atagombea urais basi ni kwa maombi ya wananchi na si matakwa yake. Haya ni mawazo yangu.

wewe jamaa Muongo na mjivuni kama Membe a.k.a MBOPO.MAENDELEO gani kayaleta Membe? kwani kuna mbunge ambaye hajapeleka AMBULANCE jimboni kwake?

Ndesamburo kila miezi sita anapeleka AMBULANCE jimboni wako wengi Martha Mrata SIO mbunge wa kuchaguliwa lakini kapeleka Singida AMBULANCE,madawa,computer n.k wewe kupeleka Ambulance alizokuombea Mwikalo kwa vyama vya hisani Marekani unataka kujipa credit? hebu nenda Mufindi kwa MUNGAI, Musoma vijijini kwa MKONO,Isimani kwa LUKUVI uone nini maana ya kupeleka maendeleo kwa watu wako.

wewe jamaa muongo sana juu umesema kuwa MEMBE ni waziri masikini kuliko wote kwenye baraza la JK, nikakuuliza MEMBE ni masikini mbele ya CELINA KOMBANI,Balozi IDD SEIF,KAPUYA,NSANZUNGWAKO,KAPUYA,WASSIRA?

hivi sasa umsema kuwa MEMBE kwenye mshahara wake anawalipa wafanyakazi 25 aliowaajiri yeye binafsi,kima cha chini ni shilingi laki moja na kitu,hawa ni wafanyakazi wa kati hivyo tuseme kila mmoja anampa mshahara wa laki tatu na nusu kwa wafanyakazi 25 ni karibu milioni 10,jee Membe ana mshahara wa zaidi ya milioni kumi?kwani ana mahitaji yake binafsi sio kulipa wafanyakazi wa bunge waliopo Mtama TU.

huyu ndiye uliyesema kuwa ni waziri masikini hata kama hivyo umezua maswali mengi pesa hizi anapata wapi kama sio fisadi? au wafanya kazi hawa wanalipwa na Malinzi?

Rais MWENYEWE anapata mshahara kama milioni tatu vipi MEMBE awe na mshahara zaidi ya milioni kumi?

nakumbuka Zitto KABWE aliwahi kusema humu humu kuwa kuwalipa wafanyakazi yaani PA wao ni kazi kubwa yeye anamlipa mfanyakazi wake kama laki tano kama sikosei,vipi Membe amudu wafanyakazi 25 toka mfukoni mwake?

Fanikio lingine ni kuwa Membe alipeleka watu 15 ambao umesema ni wapiga kura wake,mstari unaofuatia ukasema kuwa toka vyama mbali mbali,sasa kama wanatoka vyama mbali mbali hawawezi kuwa wapiga kura wake watapigia vyama walivyonavyo.

hivi kuwapeleka watu Bungeni ni fanikio?MUSSA AZZAN ZUNGU mbunge wa ILALA kila mara anapeleka wanafunzi wa shule mbalimbali bungeni sio watu 15 WA Membe ndani ya miaka 9 alikuyokaa bungeni.

MUDHIHIR sio mbunge wa kwanza kushikwa ugoni na hakukatwa mkono kilichotokea ni ajali ya gari kila mtu anajua.Kwani Membe kama ni mtakatifu angezaa na mama wa kizungu Canada na kumtelekeza?angempa nyumba mbunge kijana msichana aliye bungeni wakati si mke wake wala ndugu yake?.

Mudhihir hakuwahi kutoa asilimia tatu hayo ndio majungu tunayompiga vita Membe KILA SIKU.

YEYE MEMBE kama ni mfanisi kwenye kamati ya Mtandao kwa uchaguzi wa 2005 HAKUWAHI kuwa Mwenyekiti wa kamati,Mwenyekiti alikuwa Lowassa na makamu wake ni LUCAS SELELII, yeye alipewa nafasi ndogo tu ya kupitia magazeti yanasema nini chini ya uenyekiti wa Salva Rwemamu na DR.shoo.sasa anataka kujitia kuwa yeye ndiye alikuwa kila kitu kwenye Mtandao wakati kazi imefanywa na LOWASSA na Selelii na wengine wengi sioni sababu ya kuwataja hapa.MEMBE inakuwaje wewe msomi unakuwa chini ya SELELII kama bosi wako kwenye timu ya Mtandao wakati Selelii ana elimu ya darasa la saba au form four.

kujipendekeza na kuleta uchonganishi ni hapa unaposema kuwa Mudhihir anatumiwa na wabaya wa JK sio kweli unataka upate support ya JK kwenye ugomvi wako na Mudhihir.
unasema Kwa vile Membe ni Royal kwa JK sio kweli mtu Royal kwa JK ni KAPUYA hawa ndio walisababisha kura nyingi zitoke mikoa ya Tabora hadi Bukoba kwenye mkutano mkuu wa kumpa mgombea ndani ya CCM, kama ni Royal asingemzunguuka jk kwenye suala la OIC kwa JK kasema vingine halafu nyuma ya pazia kaenda kukutana na KARDINAR PENGO kumwambia kuwa maaskofu watie presha kulipinga suala hilo,
baada ya kuwapanga maaskofu akarudi tena kwa sura nyingine kuwa suala hili litashughulikiwa kwa njia nyingine wakati ni yeye aliyemzunguuka JK kwa maaskofu.

Eti kila kijiji kinataka kiwe jimbo la MEMBE kwa maendeleo,kama MEMBE anapendwa asingesababisha mdogo wake afukuzwe kazi mamlaka ya Airport kwa kuchelewa kurudi kazi kwa kuhangaika jimboni kumsaidia MEMBE uchaguzi 2005 na hatimaye huyo mdogo wake amepewa ukuu wa wilaya katika mkoa mmoja wa mwambao.kama jimboni kwake kahangaika ndio unasema ana nafasi kuwa ya kuwa rais 2015?

maendeleo ajenge mashule, apeleke vijana vyuo vikuu, kifupi aende KARATU,ROMBO,MWANGA,SAME,MUFINDI,ISIMANI,MUSOMA VIJIJINI akaone wabunge wa maeneo hayo walivyokuwa watu wa vitendo na si porojo za kupeleka watu 15 ndani ya miaka tisa bungeni kuwa ni maendeleo.
 
hawezi. ameshinda na kulegea. huyu hana lolote ndo maana alishindwa hata kufuata protocal ya kutambulisha wageni wakati wa mkutano wa sulivan akaliaibisha taifa mbele ya rais wake. urais si sura, urais ni akili,ujasiri, maamuzi mema na vitendo vya maana. yeye na kikwete ni kama mapacha tu. hawatufai.
 
Wote wanajisumbua, rais atayemfuata JK atatokea ZANZIBAR, na kwa jina anaitwa Dr.HUSSEIN ALI HASSAN MWINYI. Habari ndio hiyo, uipende, usiipende shauri yako!
 
MgonjwaUkimwi,
Mkuu majungu siyawezi kama una taarifa zake nzito kaa nazo nilichoandika mimi ni kukosoa pale nilipoona umekosea kwani najua fika niliyoyaandika - Mwikalo tulikuwa naye hapa, (wakati nikiwa Ottawa) hivyo unaweza kufahamu mengi lakini sidhani kama ulikuwa karibu naye kwani ningekufahamu. Zaidi ya hapo sina, chonga ukipenda!

Kuhusiana na MEMBE bila shaka niko nawe kwa sababu CCM leo hii hakuna mtu ambaye binafsi naweza kumfikiria kiti cha Urais baada ya JK kwa sababu lugha ni ile ile..Watu kama Mwakyembe, mama Kilango na wengineo ni maadui wa chama, hawabebeki wala kutamanika,, hivyo sijui nani kabakia huko?
 
MgonjwaUkimwi,
Mkuu majungu siyawezi kama una taarifa zake nzito kaa nazo nilichoandika mimi ni kukosoa pale nilipoona umekosea kwani najua fika niliyoyaandika - Mwikalo tulikuwa naye hapa, (wakati nikiwa Ottawa) hivyo unaweza kufahamu mengi lakini sidhani kama ulikuwa karibu naye kwani ningekufahamu. Zaidi ya hapo sina, chonga ukipenda!

Mkandara, Kamwe siwezi Kumchongea Mwikalo. Ni kinyume cha utashi wangu. Mwikalo namfahamu fika na ananifahamu vyema. Tatizo urafiki au kufahamiana sio kama face book kwamba nikimfahamu Mwikalo basi automatically nikufahamu wewe, it doesn't work that way. Cha muhimu kutambua hapa ni kwamba, moja wetu kati yako na mimi tuna taarifa potofu juu ya Mwikalo, we both can't be right.


kuhusiana na MEMBE bila shaka niko nawe kwa sababu CCM leo hii hakuna mtu ambaye binafsi naweza kumfikiria kiti cha Urais baada ya JK kwa sababu lugha ni ile ile..Watu kama Mwakyembe, mama Kilango na wengineo ni maadui wa chama, hawabebeki wala kutamanika,, hivyo sijui nani kabakia huko?

Siasa sio fani yangu, ila najuwa kwamba wapo wabunge wanaojali wapiga kura wao. Na tukiwa na wabunge wa aina hii tunaweza kuendelea angalau kwa hatua moja mbele. Ila tukiwa na wabunge wanaoendekeza ubinafsi kamwe hatutaendelea.
 
wewe jamaa Muongo na mjivuni kama Membe a.k.a MBOPO.MAENDELEO gani kayaleta Membe? kwani kuna mbunge ambaye hajapeleka AMBULANCE jimboni kwake?

Ndesamburo kila miezi sita anapeleka AMBULANCE jimboni wako wengi Martha Mrata SIO mbunge wa kuchaguliwa lakini kapeleka Singida AMBULANCE,madawa,computer n.k wewe kupeleka Ambulance alizokuombea Mwikalo kwa vyama vya hisani Marekani unataka kujipa credit? hebu nenda Mufindi kwa MUNGAI, Musoma vijijini kwa MKONO,Isimani kwa LUKUVI uone nini maana ya kupeleka maendeleo kwa watu wako.

wewe jamaa muongo sana juu umesema kuwa MEMBE ni waziri masikini kuliko wote kwenye baraza la JK, nikakuuliza MEMBE ni masikini mbele ya CELINA KOMBANI,Balozi IDD SEIF,KAPUYA,NSANZUNGWAKO,KAPUYA,WASSIRA?

hivi sasa umsema kuwa MEMBE kwenye mshahara wake anawalipa wafanyakazi 25 aliowaajiri yeye binafsi,kima cha chini ni shilingi laki moja na kitu,hawa ni wafanyakazi wa kati hivyo tuseme kila mmoja anampa mshahara wa laki tatu na nusu kwa wafanyakazi 25 ni karibu milioni 10,jee Membe ana mshahara wa zaidi ya milioni kumi?kwani ana mahitaji yake binafsi sio kulipa wafanyakazi wa bunge waliopo Mtama TU.

huyu ndiye uliyesema kuwa ni waziri masikini hata kama hivyo umezua maswali mengi pesa hizi anapata wapi kama sio fisadi? au wafanya kazi hawa wanalipwa na Malinzi?

Rais MWENYEWE anapata mshahara kama milioni tatu vipi MEMBE awe na mshahara zaidi ya milioni kumi?

nakumbuka Zitto KABWE aliwahi kusema humu humu kuwa kuwalipa wafanyakazi yaani PA wao ni kazi kubwa yeye anamlipa mfanyakazi wake kama laki tano kama sikosei,vipi Membe amudu wafanyakazi 25 toka mfukoni mwake?

Fanikio lingine ni kuwa Membe alipeleka watu 15 ambao umesema ni wapiga kura wake,mstari unaofuatia ukasema kuwa toka vyama mbali mbali,sasa kama wanatoka vyama mbali mbali hawawezi kuwa wapiga kura wake watapigia vyama walivyonavyo.

hivi kuwapeleka watu Bungeni ni fanikio?MUSSA AZZAN ZUNGU mbunge wa ILALA kila mara anapeleka wanafunzi wa shule mbalimbali bungeni sio watu 15 WA Membe ndani ya miaka 9 alikuyokaa bungeni.

MUDHIHIR sio mbunge wa kwanza kushikwa ugoni na hakukatwa mkono kilichotokea ni ajali ya gari kila mtu anajua.Kwani Membe kama ni mtakatifu angezaa na mama wa kizungu Canada na kumtelekeza?angempa nyumba mbunge kijana msichana aliye bungeni wakati si mke wake wala ndugu yake?.

Mudhihir hakuwahi kutoa asilimia tatu hayo ndio majungu tunayompiga vita Membe KILA SIKU.

YEYE MEMBE kama ni mfanisi kwenye kamati ya Mtandao kwa uchaguzi wa 2005 HAKUWAHI kuwa Mwenyekiti wa kamati,Mwenyekiti alikuwa Lowassa na makamu wake ni LUCAS SELELII, yeye alipewa nafasi ndogo tu ya kupitia magazeti yanasema nini chini ya uenyekiti wa Salva Rwemamu na DR.shoo.sasa anataka kujitia kuwa yeye ndiye alikuwa kila kitu kwenye Mtandao wakati kazi imefanywa na LOWASSA na Selelii na wengine wengi sioni sababu ya kuwataja hapa.MEMBE inakuwaje wewe msomi unakuwa chini ya SELELII kama bosi wako kwenye timu ya Mtandao wakati Selelii ana elimu ya darasa la saba au form four.

kujipendekeza na kuleta uchonganishi ni hapa unaposema kuwa Mudhihir anatumiwa na wabaya wa JK sio kweli unataka upate support ya JK kwenye ugomvi wako na Mudhihir.
unasema Kwa vile Membe ni Royal kwa JK sio kweli mtu Royal kwa JK ni KAPUYA hawa ndio walisababisha kura nyingi zitoke mikoa ya Tabora hadi Bukoba kwenye mkutano mkuu wa kumpa mgombea ndani ya CCM, kama ni Royal asingemzunguuka jk kwenye suala la OIC kwa JK kasema vingine halafu nyuma ya pazia kaenda kukutana na KARDINAR PENGO kumwambia kuwa maaskofu watie presha kulipinga suala hilo,
baada ya kuwapanga maaskofu akarudi tena kwa sura nyingine kuwa suala hili litashughulikiwa kwa njia nyingine wakati ni yeye aliyemzunguuka JK kwa maaskofu.

Eti kila kijiji kinataka kiwe jimbo la MEMBE kwa maendeleo,kama MEMBE anapendwa asingesababisha mdogo wake afukuzwe kazi mamlaka ya Airport kwa kuchelewa kurudi kazi kwa kuhangaika jimboni kumsaidia MEMBE uchaguzi 2005 na hatimaye huyo mdogo wake amepewa ukuu wa wilaya katika mkoa mmoja wa mwambao.kama jimboni kwake kahangaika ndio unasema ana nafasi kuwa ya kuwa rais 2015?

maendeleo ajenge mashule, apeleke vijana vyuo vikuu, kifupi aende KARATU,ROMBO,MWANGA,SAME,MUFINDI,ISIMANI,MUSOMA VIJIJINI akaone wabunge wa maeneo hayo walivyokuwa watu wa vitendo na si porojo za kupeleka watu 15 ndani ya miaka tisa bungeni kuwa ni maendeleo.

With this mediocrity, parochial, lousy mentality we are definitely heading to hell....

Yote mnayobishania hapo sijaona moja linalohusiana haswa na kazi za UWAKILISHI WA WANANCHI BUNGENI....huu ujinga wa kugeuza WABUNGE kuwa ndio wafadhili wa "maendeleo" majimboni no wonder kina ROSTAM wanatuchezea akili....wanatuibia hela zetu halafu wanawachimbia visima halafu mnawapa ubunge wa kudumu....

Hebu jaribuni kuwapambanisha hawa kwa vigezo vya uongozi na uwakilishi wa wananchi...

Goshhhhhh

omarilyas
 
kanda2,NasDaz,

..mbunge wa Lindi Mjini ni Mheshimiwa Mohamed Abdulaziz.

..je, ni kweli kwamba wabunge wote wa Lindi ni watu wa Usalama?
 
Siasa za Tanzania SI HASA! Sitashangaa nduli huyu akiukwaa... acha nianze kujipendekeza mapemaaaa!
 
Mkandara, nimepitia vizuri sana hoja zako kuhusu shutuma zinazomkabili Membe dhidi ya ujenzi wa kiwanda cha cement Mkoani Lindi. Naomba nikujibu baadhi ya mambo ambayo nimeyafanyia kazi kuhusu shutuma hizi nzito zinazomkabili Membe.
Kwanza naomba niweke wazi kuwa, kiwanda hicho cha cement kipo ktk hatua za mwisho za ujenzi, kilometa chache sana kutoka bandari ya Lindi. Hapa nataka kuweka wazi kuwa hakuna mtu aliyezuia kujengwa kiwnda hicho.
Wanaojenga kiwanda hicho ni watanzania kutoka mkoa wa Morogoro, wanakifadhili kiwanda kwa baada ya kufanikiwa kupata fedha hizo toka nje ya nchi.
Aliyewatafuta wawekezaji hao ni Membe. Ni ktk jitihada zake za kutaka kuleta mabadiliko ktk mkoa wa Lindi na Ntwara. Membe anatoka jimbo la Mtama linalopakana na jimbo la Mchinga, anakotoka Mudhihir, kwa maana nyingine, ni kuwa kabla hujafika jimboni kwa Membe ni lazima upite jimboni kwa Mudhihir.
Baada ya kupata ubunge ktk awamu zote, Membe ameweza kujenga Dispensary yenye hadhi ya juu sana ktk jimbo lake, shule ya Sekondari na mabweni ya wanafunzi wa kike na wa-kiume, kajenga soko jipya, msikiti, kanisa, na sasa anakarabati barabara ambayo inapita jimbo la Mchinga.
Mafanikio haya sio madogo ukilinganisha na kipindi alichokuwa bungeni. Kafanya yote hayo kwa fedha za kuomba kwa wafadhuli mbali mbali ambao siku aliyokuwa anafungua Dispensary na shule ya sekondari, wafadhili wote waliomchangia walialikwa na kufika jimboni Mtama.
Nimepitia feasibility sudy ya mradi huo, kwa kweli sijaona hata sehemu moja inayoonesha kuwa kulikuwa na mapendekezo ya kujenga kiwanda hicho Mchinga. Kinachoonekana ni kuwa, ktk jimbo hilo kutatoka malighafi itakayotumika kutengeneza cement. Ikumbukwe kuwa cement inatengezwa kwa kuchanganywa malighafi aina tatu, yaani, Limestone, Redsoil na Gypsum.
Mimi nina maswali yafuatayo kwa Mudhihir, je, ni lini aliambiwa kuwa kiwanda hicho kitajengwa Mchinga? Nani alimwambia hivyo? Ni lini alimsikia Membe akisema kuwa yeye ana nia ya kugombea urais mwaka 2015? Mudhihir amekuwa Mbunge kwa miaka mingi kidogo, je amewafanyia nini wananchi wa jimbo la Mchinga na wale wa Mkoa wa Lindi?
 
Ni vizuri kufanya utafiti wa kutosha kabla ya kusema jambo fulani, na hasa kama jambo lenyewe linamhusu mtu mwingine. Ni bahati yake Mudhihir hakumtaja jina Membe siku ile, amshukuru saaana Spika kwa kumlinda, maana pasingetosha pale bungeni kama panavyobana jimboni kwake hivi sasa baada ya kuropoka mashairi yake yaliyojaa vijembe bungeni mithiri ya taarabu.

Tunahitaji kuwa makini na wale tusikubali hata kidogo pale maslahi ya nchi yanapochezewa. Huyu Membe hajajenga hata nguzo moja ya kiwnda hicho ktk jimbo lake, na kama ni kufaidi, basi anayefaidi ni Mohamed Abdulaziz, maana kiwanda hicho kinajengwa jimboni kwake. Hapa ubinafsi unakuja vipi jamani? Badala ya kumshukuru mwenzie kwa kuleta kiwanda Mkoani kwao, angalau wananchi wa jimboni kwake watapata kazi ktk mgodi wa uchimbaji wa limestone, yeye ndio kwanza anamchukia, huyu ni mtu wa ajabu sana. Sishangai kwanini Lindi kuko nyuma kimaendeleo, kama mwendo wenyewe ndio hivyo, looh...
 
Shutuma hizi dhidi ya Membe zimenigusa sana na kabla sijaamua kuandika niliona ni vizuri nikazifanyia kazi kwanza. Imenisikitisha sana pale mbunge anaposimama na kuteremsha shutuma dhidi ya mbunge mwenzie tena kutoka Mkoa mmoja na majimbo yao yanapakana. Hivi Mudhihir anaweza kutuambia kuwa Membe anawachongea akina nani kwa JK hata afananiswe na "joka la mdimu"??

Ni Mudhihir huyu huyu, mwenye umahili mkubwa wa kuimba taarabu na kupanga mashairi kama mzawa wa ukoo huo, alisimama na kutaka watanzania waamini kuwa Zitto alisema uongo bungeni na LAZIMA awajibishwe. Haikupita muda mrefu akapata ajali, wakati huo mawaziri wanahangaika mikoani kutaka kuzima hoja ya Zitto kw kisingizio cha kuwafafanulia wananchi maana ya bajeti. Kazi hii ilisimamiwa na Mkuu mmoja ambae hivi sasa anazungumza kama mbunge. Hivi jamani, hadi leo hii tunataka kuamini kuwa watanzania bado ni wajinga kiasi hicho? Mambo haya yanakera sana.
 
JokaKuu, hapa tunazungumzia shutuma zinazomkabili Membe. Shutuma hizi zimetemwa na Mudhihir Bungeni. Kama ni watumishi wa Idara hiyo kuna dhambi gani? Unataka kutuambia nini hapa kwa swali lako hilo?
 
Imefikia hata kijigazeti kimoja kuandika kuwa Membe akili kuutaka urais mwaka 2015. Na kikathubutu kutengeneza mazingila ya kuwa kilimhoji Membe na yeye akakubali. Hivi huyo Membe ni mtoto kiasi gani? au ana akili za ujinga kiasi gani hata aseme hivyo?

Kuna kundi la watu wanaoutaka urais mwaka 2015, wa wanaona ktk safu ya mawaziri, moja kati ya watu ambao ni tishio, ni Membe, na kwa kuwa wanamjua kuwa sio muumini wa ufisadi, basi wameapa kumchafua mpaka mwisho. Hizo zote ni mbinu za mafisadi. Kwa uwezo wa fedha mulizoiba kwa watanzania, mumeweza kufungua ofisi pale TBS kwa ajili ya ku-deal na mambo ya habari. Munadhani jambo hilo ni siri, wenzenu wanajua.
 
Chechetuka,

..dont invest too much on Tanzanian politicians. you will be disappointed my friend.

..sasa kama unaweza hebu fanyia kazi madai na tuhuma nzito alizoshusha mchangiaji kanda2.

NB:

..mimi nimeuliza tu, kulikoni Lindi wabunge karibu wote ni watu wa usalama?

..sasa fanyia kazi madai hayo nayo halafu tuletee tathmini yako.

..tueleze yupi ni usalama yupi siyo.
 
Back
Top Bottom