Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
membe HANA SIFA!
unajua huyu wa sasa hivi kilichompa boost ni kwamba ANATIZAMIKA!he is presentable!lakini nae HANA SIFA,na hakuna kitu cha msingi sana ambacho watanzania wanajivunia kutoka kwake kabla hajawa rais!alibebwa na performance nzuri SUPERFICIALLY ya serikali ya ccm ya 'ukweli na uwazi'
lakini membe HATIZAMIKI KABISA!na yupo kwenye wakati mgumu sana,sababu yupo kwenye system wakati watu wameshaamka kifikra!na uovu wa 'ukweli na uwazi' unajidisplay sasa hivi
ccm WILL LOOSE KILA KITU
unajua huyu wa sasa hivi kilichompa boost ni kwamba ANATIZAMIKA!he is presentable!lakini nae HANA SIFA,na hakuna kitu cha msingi sana ambacho watanzania wanajivunia kutoka kwake kabla hajawa rais!alibebwa na performance nzuri SUPERFICIALLY ya serikali ya ccm ya 'ukweli na uwazi'
lakini membe HATIZAMIKI KABISA!na yupo kwenye wakati mgumu sana,sababu yupo kwenye system wakati watu wameshaamka kifikra!na uovu wa 'ukweli na uwazi' unajidisplay sasa hivi
ccm WILL LOOSE KILA KITU