Wizara ya kazi haihusiki na kutoa ajira,ulitakiwa usome magazeti na uombe kazi, pia ulitaka akupe kazi kwa kujuana? naona kama imeandikwa na Membe kwani anajulikana kwa fitna za magazeti na mitandao.
Mudhihir alikuwa ana kazi nyingi kama alikupa dakika tatu mshukuru kwani ulikuwa huna appointment nae na pia unapoteza muda wa Taifa kwa kutaka upewe kazi kwa kujuana au kiukabila KUMBUKA HAKUWA WAZIRI WA WATU WA MCHINGA AU LINDI,jee kwani ulipokwenda kwa Membe alikupa kazi kwa kigezo cha kujuana?
Mtoto wa Mudhihir aliamua kujiajiri na sio kutaka ajiriwe kwa jina la baba yake kama tunavyolia na watoto wa vigogo BOT.
Punguza jazba unapotoa mada, inaelekea wewe ndie Mdhihir!!! Nilishasema wazi kwamba inawezekana kwamba sikutakiwa kwenda pale INGAWAJE KUNA WATU KIBAO WALIKUWA WANAENDA KWA SHIDA KAMA YANGU!!!! Ninachozungumza ni tabia ya mdhihiri ya visasi!! Mbona wengine aliwasikiliza na kuwaelimisha na kuwashauri? why me? alikuwa na kazi nyingi zipi?! Wakati tupo pale alikuja Salum Madadi mtu wa Mchinga mwenzake!! Walikaa ofisini zaidi ya saa nzima wakiongea upuuzi mtupu!! Ninachosema hiyo ndio tabia ya mdhiri na kama ndio wewe basi ndio tabia yako!! Ni busara zaidi kujenga kiwanda Lindi kuliko mchinga, acha jazba na jadili hoja!!