sawa sasa Membe alikuwa ana role gani kwenye kile kikao?
Baada ya Nape, sasa ni Membe!
sawa sasa Membe alikuwa ana role gani kwenye kile kikao?
Jamani, hawa mawaziri si ndio wasaidizi wakuu wa Rais, kuna ubaya gani akiwepo?
Isitoshe, Membe ni kichwa.
Jamani, hawa mawaziri si ndio wasaidizi wakuu wa Rais, kuna ubaya gani akiwepo?
Isitoshe, Membe ni kichwa.
Hivi kuna mtu anaweza kutueleza role ya Bwana Membe kwenye kikao cha katiba Ikulu?
why Foreign minister and not watu wa Judiciary kama akina judge Othman na waziri husika?
Jamani, hawa mawaziri si ndio wasaidizi wakuu wa Rais, kuna ubaya gani akiwepo?
Isitoshe, Membe ni kichwa.
hizi ni hisia zangu za kuwepo kwa membe huenda labda kwa kuwa yeye ndiye uwasiliana na balozi mbali mbalii hapa nchini na kama unavyojua balozi nyingi hapa nchini zinafuatilia kwa karibu sana kuhusiana na swala hili la katiba kama utakumbuka walikuwepo bungeni kwenye mjadala wa katiba kwahiyo ninahisi kuwa yeye yuko responsible kuzitaarifu balozi zilizoko nchini kujua nini kinachoendelea.
wewe kiuno?Jamani, hawa mawaziri si ndio wasaidizi wakuu wa Rais, kuna ubaya gani akiwepo?
Isitoshe, Membe ni kichwa.
Hivi kuna mtu anaweza kutueleza role ya Bwana Membe kwenye kikao cha katiba Ikulu?
why Foreign minister and not watu wa Judiciary kama akina judge Othman na waziri husika?
Jamani, hawa mawaziri si ndio wasaidizi wakuu wa Rais, kuna ubaya gani akiwepo?
Isitoshe, Membe ni kichwa.
Ni kichwa cha panzi. Hii ni kweli kabisa
FF...You are brave!!Katika wajumbe wa magwanda hakuwepo waziri kivuli wa mambo ya nje? Kama alikuwepo basi jibu umepata.