Membe kuwania urais 2015...

Membe kuwania urais 2015...

nahisi iko siku utatoka waraka viongozi wasiwe wageni rasmi labda wasiwasi huu hautakuwepo
 

Katika orodha ya wanaotajwa kuwania uteuzi wa ccm kwa nafasi ya urais wa JMT-2015, namba mbili (2) katika nisio shawishika nao ni Mh. Bernard Membe. Mh. Membe hanishawishi kuwa anastahili nafasi hiyo kwa sababu zifuatazo:


  1. 1. Historia halisi ya utendaji wake kama Mbunge na Waziri haina matokeo yanayosimama kumshuhudia Mh.Membe kama mtu wa kuleta mabadiliko chanya au maendeleo.

Asiyeweza katika dogo, ataweza katika makubwa? Mbele ya wapigakura wa Jimbo la Mtama, Mh. Membe anaonekana kama mtu aliyeshindwa kutimiza ahadi zake za muhula wa kwanza (2005-2010). Na walio wengi hawaoni umuhimu/mchango wa ukaribu wake na serikali katika kuwaletea mabadiliko. Ndo maana Mh. Membe alipata wakati mgumu sana kutoka kwa mgombea wa TLP, mtu ambaye hakuwa na jina, mali wala pesa bali support ya wananchi. Lakini kwa kutumia utaalamu aliojaaliwa, Mh. Membe aliweza "kumshughulikia" na kumdhibiti mpinzani huyu pekee na kuhakikisha wapiga kura wanakosa chaguo mbadala wakati wa uchaguzi. Ninashawishika kufikiri kuwa hata mpinzani mmoja angepenya na kusimama, matokeo ya Jimbo la Mtama yangekuwa sawa na ya Nyamagana.

Kuna jambo moja ambalo Mh. Membe ameshiriki na watu wasio na kumbukumbu nzuri au wafupi katika kuchambua mambo wanaweza kusema kalifanikisha. Ni suala la kurejeshwa kwa fedha za rada kupitia serikali badala ya NGOs kama wezi walivyotaka. Hii haiwezi kuhesabika kama jitihada ya Mh. Membe wala serikali ya Tanzania. Hili silielezi kwa ufasaha ili watu wajadili……………………..


  1. 2. Misingi ya mbinu anazotumia Mh. Membe katika kusaka kuungwa mkono na makundi yenye ushawishi mkubwa katika jamii haina maslahi kwa Taifa na inatengeneza viporo vya uporaji wa rasilimali za nchi na migogoro mikubwa ya kijamii hapo baadae.
Mathalani, katika suala la serikali kuanzisha na kuendesha Mahakama ya Kadhi na serikali ya JMT kujiunga na OIC, Mh. Membe akiwa mbele ya waandishi wa habari amekuwa akiwaondoa hofu wahusika kuwa haya mambo hayana shida na serikali iko katika hatua mbalimbali za kuyatekeleza. Mara tu upande wa pili wakianza kupaza sauti za kupinga, Mh. Membe hu-haha na hukimbia kimya kimya kwenda kwa viongozi wakuu wa upande wa pili "kutuliza mambo" kwa kificho. Katika hili, Mh. Membe anataka kuuma na kupuliza na ni ndumila kuwili. Ni vema, si kwa Mh. Membe tu, bali wanasiasa wote kuimarisha msingi wa msimamo ambao umekwishafikiwa na serikali katika suala hili nyeti.

Mh. Membe anasimama miongoni mwa viongozi wa Bara la Afrika waliosimama kidete kuomboleza kifo cha Shujaa wetu Mummar Gadaff. Lakini nyuma ya kilio na maombolezo ya msiba huu, kumefunikwa giza totoro la vitendawili juu ya nini haswa "majonzi" ya Mh. Membe? Wako wanaotoa nuru ili kutegua vitendawili kwa hadithi tofauti tofauti ambazo kwa ujumla wake ukizikusanya kwa ushambuzi makini unapata picha pana juu ya makubaliano/fadhila za utawala uliongushwa Libya kwa mgombea mtarajiwa. Watanzania tunapaswa kuwa tumejifunza madhara ya wagombea wetu kufadhiliwa na matajiri (nchi au mtu binafsi). Tutumie 2015 kuepuka kurudi chini ya utawala wa waliofadhili wagombea katika chaguzi kuu.

Mh. Membe anapigania uraia wa nchi mbili. Kwa faida ya nani? Binafsi sioni kama hili jambo lina tija kwa Taifa lenye uchumi unaomilikiwa na asilimia mbili (2%) ya wananchi wake na ndio asilimia tisini na nane (98%) ya hao hao tayari wana uraia wa nchi zaidi ya mbili. Hapa Mh. Membe hasimami kutetea rasilimali watu za Watanzania walioko nje bali kutafuta kuongeza wigo wa kuungwa mkono na watu wasiokuwa na uchungu wa nchi hii. Hawa tunaowaita "Watanzania wenye asilia ya Kihindi" ambao ndo wanashawishi sana suala hili tayari wanao uraia Uswizi, Canada, Marekani na hapa kwetu kutokana na udhaifu wa idara zetu za uhamiaji wanaishi na kufanya wanalotaka kwa jeuri ya pesa yao.

Nahitaji kushawishiwa kwa historia na utendaji upi Mh. Membe anastahili kuomba ridhaa ya kubeba bendera ya ccm katika uchaguzi mkuu 2015. Michango yenu ikiwemo matusi na dhihaka vinakaribishwa. Na kuwa na hakika, nitavipokea vyote kama vilivyo. Kwa namna ya pekee nausubiri mchango wa MBOPO, mtu ambaye mara nyingi hujitahidi kujibu hoja na si kujadili mtoa hoja katika kumtetea Mh. Membe.


Nawatakia Mwaka Mpya Mwema na Wenye Mafanikio.

Omutwale kutoka Kanyigo.
 
you have been sent by EL to speak ill of Hon membe,Though i conquer with u that membe is not presidential material I see no credible person to carry the flag of CCM, EL is such a corrupt and trabalist person,6 is not of a sound mind. Let us think of an alternative from party instead Chama chama magamba(CCM), Let us wake-up there is life after CCM,:shock:
 
you have been sent by EL to speak ill of Hon membe,Though i conquer with u that membe is not presidential material I see no credible person to carry the flag of CCM, EL is such a corrupt and trabalist person,6 is not of a sound mind. Let us think of an alternative from party instead Chama chama magamba(CCM), Let us wake-up there is life after CCM,:shock:

...Michango yenu ikiwemo matusi na dhihaka vinakaribishwa.

Nawatakia Mwaka Mpya Mwema na Wenye Mafanikio.

Omutwale kutoka Kanyigo.

A simple review of my posts could have given you a tip of my inclination between EL and Hon. Membe. Any way, let me give you some references:

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/184666-edward-lowassa-naye-ana-ugonjwa-wa-kusahau.html#post2918982

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/192559-matumizi-ya-takwimu-nani-mkweli-kati-ya-lowassa-na-membe.html#post2814494

Once you know exactly, be civilized to come back and give a fairly informed comment.
 
Sioni tofauti kati ya wanaomuunga mkono na Benard Membe na waliokuwa wanamuunga mkono JK.
kwa sababy Wote wawili;

--wote Wanategemea ufadhiliwa toka nje kusaka urais - Benard na Libya na Jk Oman akisaidiwa na Rostam
-- wote Mawaziri wa wizara za mambo ya nje wasio leta tija
-- wote Hawana jambo jipya walilosimamia la kujitofautisha nalo ( Magufuli = barabara na Dr Slaa -kuondoa mafisadi)
-- wote Wanaunda mitandao ya ushindi ndani ya chama badala ya kujijenga kwa vitedo watu wakaona
-- wote wajumbe wazoefu wa mitandao. Walimwingiza JK mwenyewe madarakani kwa nguvu ya magazeti
-- wote wametoka pwani ( mkoa wa Lindi na mkoa wa pwani)
--wote Wanafanana kwa sura
-- wote wanapigania uraia wa nchi mbili kwa faida zao, siyo maskini watz. (Wakiharibu ikulu wapate pa kukimbilia)
-- wote waoga wa maamuzi magumu Ktk hili Membe =JK kwa 100%; Membe alikoroga OIC akaenda kwa Pengo kimya kimya
-- wote kwa hiyo baba yao ni mmoja? Nauliza tu
.

Hitimisho, Ubora wa urais wa JK = Urais wa Membe kwa 100%; Chaguo ni letu.
 
Kaka,
Umetahanabaisha vema zaidi yangu. Asante kwa kuwa na mtazamo chanya kwa nchi yako.



Sioni tofauti kati ya wanaomuunga mkono na Benard Membe na waliokuwa wanamuunga mkono JK.
kwa sababy Wote wawili;

--wote Wanategemea ufadhiliwa toka nje kusaka urais - Benard na Libya na Jk Oman akisaidiwa na Rostam
-- wote Mawaziri wa wizara za mambo ya nje wasio leta tija
-- wote Hawana jambo jipya walilosimamia la kujitofautisha nalo ( Magufuli = barabara na Dr Slaa -kuondoa mafisadi)
-- wote Wanaunda mitandao ya ushindi ndani ya chama badala ya kujijenga kwa vitedo watu wakaona
-- wote wajumbe wazoefu wa mitandao. Walimwingiza JK mwenyewe madarakani kwa nguvu ya magazeti
-- wote wametoka pwani ( mkoa wa Lindi na mkoa wa pwani)
--wote Wanafanana kwa sura
-- wote wanapigania uraia wa nchi mbili kwa faida zao, siyo maskini watz. (Wakiharibu ikulu wapate pa kukimbilia)
-- wote waoga wa maamuzi magumu Ktk hili Membe =JK kwa 100%; Membe alikoroga OIC akaenda kwa Pengo kimya kimya
-- wote kwa hiyo baba yao ni mmoja? Nauliza tu
.

Hitimisho, Ubora wa urais wa JK = Urais wa Membe kwa 100%; Chaguo ni letu.
 
Sioni tofauti kati ya wanaomuunga mkono na Benard Membe na waliokuwa wanamuunga mkono JK.
kwa sababy Wote wawili;

--wote Wanategemea ufadhiliwa toka nje kusaka urais - Benard na Libya na Jk Oman akisaidiwa na Rostam
-- wote Mawaziri wa wizara za mambo ya nje wasio leta tija
-- wote Hawana jambo jipya walilosimamia la kujitofautisha nalo ( Magufuli = barabara na Dr Slaa -kuondoa mafisadi)
-- wote Wanaunda mitandao ya ushindi ndani ya chama badala ya kujijenga kwa vitedo watu wakaona
-- wote wajumbe wazoefu wa mitandao. Walimwingiza JK mwenyewe madarakani kwa nguvu ya magazeti
-- wote wametoka pwani ( mkoa wa Lindi na mkoa wa pwani)
--wote Wanafanana kwa sura
-- wote wanapigania uraia wa nchi mbili kwa faida zao, siyo maskini watz. (Wakiharibu ikulu wapate pa kukimbilia)
-- wote waoga wa maamuzi magumu Ktk hili Membe =JK kwa 100%; Membe alikoroga OIC akaenda kwa Pengo kimya kimya
-- wote kwa hiyo baba yao ni mmoja? Nauliza tu
.

Hitimisho, Ubora wa urais wa JK = Urais wa Membe kwa 100%; Chaguo ni letu.


Ufadhili wa Membe umeanza lini na watoka kwa nani?
Tija gani iliyokosekana kwa uwaziri wa nje wa Membe?
Membe ana msimamo sana tofauti na huyo slaa alieshindwa simamia kiapo cha kanisa.
Mtandao gani alionao Membe
Kutoka pwani ni hoja mfu na ni aibu kwa kiongozi kama wewe kuleta ukanda.
Sura haiongozi nchi.Nashangaa waliokuchagua walikosa mtu mbadala hadi wakuchague wewe usie na hoja.
Inatia shaka uwezo wako wa kuongoza kama hujui faida ya uraia wa nchi mbili japo si jambo la ajabu kwani sifa yenu ni kukosoa kila jambo.
OTIS
 
Kaka,
Umetahanabaisha vema zaidi yangu. Asante kwa kuwa na mtazamo chanya kwa nchi yako.


Mtazamo mfu na aibu kwa taifa kwa kuwa na viongozi wa upinzani wenye upeo mfinyu kama huu
OTIS
 
Membe hawezi kufanana na jk membe ni dhaifu zaidi ya jk, na kama tunaipenda nchi hii membe hatufai bora hata edo.
 
Umetumwa wewe si bure maana uankurupuka na kuanza kumshambulia Membe (character assassination) . Mtu makini hukosoa huku akiwa na mbadala,, sasa wewe mbadala wako nani? EL?
 
Kwani jamani wana JF , EL bado ni mwanasiasa wa Tanzania mwenye credibility ya kufikiriwa kwenye urais?
Kweli Watanzania tunahitaji mental emancipation kama alivyosema Mchungaji Mtikila.
Hivi tumelogwa???
Among 42 millions hakuna wengine zaidi ya hawa wenye scandals za kila siku?
Au kuwa credible politicians ni scandals?
Poor Tanzanians, I wish Nyerere angerudi kutusaidia, we are so blind and short sighted.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Bernad Kamilius Membe hafai kabisa kuwa Rais,

Mnakumbuka chenji ya rada, hivi alikuwa wapi hata kupeleka mwakilishi hata kutuma balozi wakati wa kesi pale karibu an Ikulu ya London-Downing Street

Watu baki wa Uingereza wameandamana na mabango "STEALING MONEY OF TANZANIANS"

Mi nadhani wana lao jambo na kundi lake .
 

katika orodha ya wanaotajwa kuwania uteuzi wa ccm kwa nafasi ya urais wa jmt-2015, namba mbili (2) katika nisio shawishika nao ni mh. Bernard membe. Mh. Membe hanishawishi kuwa anastahili nafasi hiyo kwa sababu zifuatazo:

  1. 1. Historia halisi ya utendaji wake kama mbunge na waziri haina matokeo yanayosimama kumshuhudia mh.membe kama mtu wa kuleta mabadiliko chanya au maendeleo.

asiyeweza katika dogo, ataweza katika makubwa? Mbele ya wapigakura wa jimbo la mtama, mh. Membe anaonekana kama mtu aliyeshindwa kutimiza ahadi zake za muhula wa kwanza (2005-2010). Na walio wengi hawaoni umuhimu/mchango wa ukaribu wake na serikali katika kuwaletea mabadiliko. Ndo maana mh. Membe alipata wakati mgumu sana kutoka kwa mgombea wa tlp, mtu ambaye hakuwa na jina, mali wala pesa bali support ya wananchi. Lakini kwa kutumia utaalamu aliojaaliwa, mh. Membe aliweza "kumshughulikia" na kumdhibiti mpinzani huyu pekee na kuhakikisha wapiga kura wanakosa chaguo mbadala wakati wa uchaguzi. Ninashawishika kufikiri kuwa hata mpinzani mmoja angepenya na kusimama, matokeo ya jimbo la mtama yangekuwa sawa na ya nyamagana.

kuna jambo moja ambalo mh. Membe ameshiriki na watu wasio na kumbukumbu nzuri au wafupi katika kuchambua mambo wanaweza kusema kalifanikisha. Ni suala la kurejeshwa kwa fedha za rada kupitia serikali badala ya ngos kama wezi walivyotaka. Hii haiwezi kuhesabika kama jitihada ya mh. Membe wala serikali ya tanzania. Hili silielezi kwa ufasaha ili watu wajadili……………………..

  1. 2. Misingi ya mbinu anazotumia mh. Membe katika kusaka kuungwa mkono na makundi yenye ushawishi mkubwa katika jamii haina maslahi kwa taifa na inatengeneza viporo vya uporaji wa rasilimali za nchi na migogoro mikubwa ya kijamii hapo baadae.
mathalani, katika suala la serikali kuanzisha na kuendesha mahakama ya kadhi na serikali ya jmt kujiunga na oic, mh. Membe akiwa mbele ya waandishi wa habari amekuwa akiwaondoa hofu wahusika kuwa haya mambo hayana shida na serikali iko katika hatua mbalimbali za kuyatekeleza. Mara tu upande wa pili wakianza kupaza sauti za kupinga, mh. Membe hu-haha na hukimbia kimya kimya kwenda kwa viongozi wakuu wa upande wa pili "kutuliza mambo" kwa kificho. Katika hili, mh. Membe anataka kuuma na kupuliza na ni ndumila kuwili. Ni vema, si kwa mh. Membe tu, bali wanasiasa wote kuimarisha msingi wa msimamo ambao umekwishafikiwa na serikali katika suala hili nyeti.

mh. Membe anasimama miongoni mwa viongozi wa bara la afrika waliosimama kidete kuomboleza kifo cha shujaa wetu mummar gadaff. Lakini nyuma ya kilio na maombolezo ya msiba huu, kumefunikwa giza totoro la vitendawili juu ya nini haswa "majonzi" ya mh. Membe? Wako wanaotoa nuru ili kutegua vitendawili kwa hadithi tofauti tofauti ambazo kwa ujumla wake ukizikusanya kwa ushambuzi makini unapata picha pana juu ya makubaliano/fadhila za utawala uliongushwa libya kwa mgombea mtarajiwa. Watanzania tunapaswa kuwa tumejifunza madhara ya wagombea wetu kufadhiliwa na matajiri (nchi au mtu binafsi). Tutumie 2015 kuepuka kurudi chini ya utawala wa waliofadhili wagombea katika chaguzi kuu.

mh. Membe anapigania uraia wa nchi mbili. Kwa faida ya nani? Binafsi sioni kama hili jambo lina tija kwa taifa lenye uchumi unaomilikiwa na asilimia mbili (2%) ya wananchi wake na ndio asilimia tisini na nane (98%) ya hao hao tayari wana uraia wa nchi zaidi ya mbili. Hapa mh. Membe hasimami kutetea rasilimali watu za watanzania walioko nje bali kutafuta kuongeza wigo wa kuungwa mkono na watu wasiokuwa na uchungu wa nchi hii. Hawa tunaowaita "watanzania wenye asilia ya kihindi" ambao ndo wanashawishi sana suala hili tayari wanao uraia uswizi, canada, marekani na hapa kwetu kutokana na udhaifu wa idara zetu za uhamiaji wanaishi na kufanya wanalotaka kwa jeuri ya pesa yao.

nahitaji kushawishiwa kwa historia na utendaji upi mh. Membe anastahili kuomba ridhaa ya kubeba bendera ya ccm katika uchaguzi mkuu 2015. Michango yenu ikiwemo matusi na dhihaka vinakaribishwa. Na kuwa na hakika, nitavipokea vyote kama vilivyo. Kwa namna ya pekee nausubiri mchango wa mbopo, mtu ambaye mara nyingi hujitahidi kujibu hoja na si kujadili mtoa hoja katika kumtetea mh. Membe.


nawatakia mwaka mpya mwema na wenye mafanikio.

omutwale kutoka kanyigo.

omutwale;
membe hana tofauti na kikwete hata kidogo. Angalia wanavyoongea, yaani kiusanii usanii tu. Watanzania wamemchoka jk, na hivyo hawahitaji msanii mwingine kama membe. Kwasasa watanzania wanahitaji mtu mwenye kujua nini maana ya taasisi ya urais katika kuiletea nchi maendeleo. Membe hawezi hiyo kazi. Membe akiingia pale atafaanya kazi ya kulinda maasi ya serikali ya sasa ambayo yeye ni sehemu yake. Narudia tena, watanzania hawamuhitaji msanii mwingine kwenye utendaji muhimu kama wa urais ktk nchi hii. enough is enough, hatuhitaji tena msanii asiyejua ni kwa nini alipewa jukumu la kuongoza nchi kama jk.
 
Membe hawezi kufanana na jk membe ni dhaifu zaidi ya jk, na kama tunaipenda nchi hii membe hatufai bora hata edo.

Mtu yeyote anayekula kiapo anapokabidhiwa madaraka halafu asiheshimu kiapo hicho hafai kuwa kiongozi hata siku moja. Membe has been known to divulge proceedings of the cabinet to one prominent businessman as a way of fixing his political enemy who happened also to be a cabinet minster! I am sure wengi mtakumbuka mtafaruku mkubwa uliozuka kati ya waziri wa zamani mmoja kijana na mfanyabiashsra maarufu nchini; taarifa alizokuwa anazitoa yule mfanyabiashara alikuwa anapelekewa na Membe!! Sasa kweli mtu kama huyo anaweza kuwa presidential material? He has no integrity at all. He is lucky mkweree ni Rais kama alivyo otherwise Membe should have been sacked a long time ago.
 
sioni tofauti kati ya wanaomuunga mkono na benard membe na waliokuwa wanamuunga mkono jk.
Kwa sababy wote wawili;

--wote wanategemea ufadhiliwa toka nje kusaka urais - benard na libya na jk oman akisaidiwa na rostam
-- wote mawaziri wa wizara za mambo ya nje wasio leta tija
-- wote hawana jambo jipya walilosimamia la kujitofautisha nalo ( magufuli = barabara na dr slaa -kuondoa mafisadi)
-- wote wanaunda mitandao ya ushindi ndani ya chama badala ya kujijenga kwa vitedo watu wakaona
-- wote wajumbe wazoefu wa mitandao. Walimwingiza jk mwenyewe madarakani kwa nguvu ya magazeti
-- wote wametoka pwani ( mkoa wa lindi na mkoa wa pwani)
--wote wanafanana kwa sura
-- wote wanapigania uraia wa nchi mbili kwa faida zao, siyo maskini watz. (wakiharibu ikulu wapate pa kukimbilia)
-- wote waoga wa maamuzi magumu ktk hili membe =jk kwa 100%; membe alikoroga oic akaenda kwa pengo kimya kimya
-- wote kwa hiyo baba yao ni mmoja? Nauliza tu
.

hitimisho, ubora wa urais wa jk = urais wa membe kwa 100%; chaguo ni letu.



umenena vema; kwani membe=jk.
 
Mtu yeyote anayekula kiapo anapokabidhiwa madaraka halafu asiheshimu kiapo hicho hafai kuwa kiongozi hata siku moja. Membe has been known to divulge proceedings of the cabinet to one prominent businessman as a way of fixing his political enemy who happened also to be a cabinet minster! I am sure wengi mtakumbuka mtafaruku mkubwa uliozuka kati ya waziri wa zamani mmoja kijana na mfanyabiashsra maarufu nchini; taarifa alizokuwa anazitoa yule mfanyabiashara alikuwa anapelekewa na Membe!! Sasa kweli mtu kama huyo anaweza kuwa presidential material? He has no integrity at all. He is lucky mkweree ni Rais kama alivyo otherwise Membe should have been sacked a long time ago.

mkubwa,unavyosema huu umbea hapa utadhani kuna uhalisia wowote.
tafadhali hata kama mmetumwa leteni hoja na sio hadithi za kutunga sebuleni kwa EL.
OTIS
 
Sioni tofauti kati ya wanaomuunga mkono na Benard Membe na waliokuwa wanamuunga mkono JK.
kwa sababy Wote wawili;

--wote Wanategemea ufadhiliwa toka nje kusaka urais - Benard na Libya na Jk Oman akisaidiwa na Rostam
-- wote Mawaziri wa wizara za mambo ya nje wasio leta tija
-- wote Hawana jambo jipya walilosimamia la kujitofautisha nalo ( Magufuli = barabara na Dr Slaa -kuondoa mafisadi)
--
wote Wanaunda mitandao ya ushindi ndani ya chama badala ya kujijenga kwa vitedo watu wakaona
--
wote wajumbe wazoefu wa mitandao. Walimwingiza JK mwenyewe madarakani kwa nguvu ya magazeti
--
wote wametoka pwani ( mkoa wa Lindi na mkoa wa pwani)
--
wote Wanafanana kwa sura
-- wote wanapigania uraia wa nchi mbili kwa faida zao, siyo maskini watz. (Wakiharibu ikulu wapate pa kukimbilia)
-- wote waoga wa maamuzi magumu Ktk hili Membe =JK kwa 100%; Membe alikoroga OIC akaenda kwa Pengo kimya kimya
-- wote kwa hiyo baba yao ni mmoja? Nauliza tu
.

Hitimisho, Ubora wa urais wa JK = Urais wa Membe kwa 100%; Chaguo ni letu.


Kwa hiyo unataka kutuambia mtu wa Pwani hawezi kuwa Raisi wa JMT. Au ndio sera mpya ya
Chadema hiyo?

Mtu akiwa na sura nzuri hawezi kuwa Raisi wa JMT. Basi tumchague bibi kir....... basi mwaka 2015.
Unafikiri mtu gani ndani ya magamba au nje ya magamba hana mtandao au hatumii magazeti hadi sasa. Mbona inaonekana wazi tu
magazeti yote yana wagombea wao. Angalia Mtanzania, Rai, Tanzania Daima, Mwanahalisi nk
 
Back
Top Bottom