Membe kuwania urais 2015...

Membe kuwania urais 2015...

Hivi kuna mtu anaweza kutueleza role ya Bwana Membe kwenye kikao cha katiba Ikulu?

why Foreign minister and not watu wa Judiciary kama akina judge Othman na waziri husika?
Nadhani kikatiba Chief Justice hawezi kushiriki katika masuala ya executive branch. Ndiyo maana serikali ina Attorney General.
 
Katika wajumbe wa magwanda hakuwepo waziri kivuli wa mambo ya nje? Kama alikuwepo basi jibu umepata.

The problem is WAZIRI KIVULI WA CHADEMA has been so ellusive on every single global event (kuanzia Fukushima, Libya to Qatar kutaka kuvunja uhusiano na Tanzania) so I dont even know who he/she is....we all know akina Zitto, Tindu lisu etc lakini sio huyo uliomtaja

Lakini seriously maybe MBOPO aje kutuweka sawa....
 
Jamani, hawa mawaziri si ndio wasaidizi wakuu wa Rais, kuna ubaya gani akiwepo?

Isitoshe, Membe ni kichwa.
 
sawa sasa Membe alikuwa ana role gani kwenye kile kikao?

hizi ni hisia zangu za kuwepo kwa membe huenda labda kwa kuwa yeye ndiye uwasiliana na balozi mbali mbalii hapa nchini na kama unavyojua balozi nyingi hapa nchini zinafuatilia kwa karibu sana kuhusiana na swala hili la katiba kama utakumbuka walikuwepo bungeni kwenye mjadala wa katiba kwahiyo ninahisi kuwa yeye yuko responsible kuzitaarifu balozi zilizoko nchini kujua nini kinachoendelea.
 
Membe anasikitisha mwana, maana hajiamini na anajaribu kuwa karibu na boss wake ili asije akamtelekeza, kumbuka jamaa anawania kuwa mpangaji wa magogoni
 
hizi ni hisia zangu za kuwepo kwa membe huenda labda kwa kuwa yeye ndiye uwasiliana na balozi mbali mbalii hapa nchini na kama unavyojua balozi nyingi hapa nchini zinafuatilia kwa karibu sana kuhusiana na swala hili la katiba kama utakumbuka walikuwepo bungeni kwenye mjadala wa katiba kwahiyo ninahisi kuwa yeye yuko responsible kuzitaarifu balozi zilizoko nchini kujua nini kinachoendelea.

ina maanza balozi za nje zinasikiliza habr toka upande mmoja tuu

huwa wanakuwa na mtu anaitwa Political attache ( ambaye mara nyingi ni spy/intelligence officer wa) lakini cover yake ndio hiyo political attache. HUyu huwa anapata habari toka sehem mbali mbali za hali ya kisiasa na Membe is just a source of his/her intel gathering sasa sidhani kuwa anapata habari exclusive from Membe pekee...wapinzani (tafadhali rejea WIKI CABLES) utaona akina zitto et al wanapeleka na wanakutana nao formally na informal kupata upande wa pili wa hali ya kisiasa nchini

hivyo kitendawili cha membe kiko pale pale...role yake pale Ikulu ilikuwa ni nini?

unless hao walio attend huo mkutano wanaweza kutupa mwanga zaidi....maana hatujui hata huyu rais wetu serior staff wake ni akina nani na wanafanya nini...kila kitu wao TOP SECRET press releases kama zile tungezipata straight from their website lakini HAWATAKI ikulu iwe na website na hii ni ngumu sana when it comes to open govt/democracy

anyway mwenye kujua zaidi atujuze role ya Mr Johns Hopkins ilikuwa ni nini kwenye mkutano wa Katiba ikulu?
 
Alikuwa amepita tu pale ili kumjulia hali rais na kujua kaamkaje, kama ilivyo kawaida yake, au aliamua kwenda kuongea ongea tu pale Ikulu, ndipo rais baada ya kuona ypo pale anazubaa zubaa, akaamua kumpa jukumu la kwenda msibani.
Mnaweza mkadhani ni utani fulani hivi, lakini kwa Membe hili linawezekana kabisa.
Mtaumiza vichwa ili kupata logical explanations but trust me, maelezo ya hilo yapo very ilogical.
 
ina maanza balozi za nje zinasikiliza habr toka upande mmoja tuu

huwa wanakuwa na mtu anaitwa Political attache ( ambaye mara nyingi ni spy/intelligence officer wa) lakini cover yake ndio hiyo political attache. HUyu huwa anapata habari toka sehem mbali mbali za hali ya kisiasa na Membe is just a source of his/her intel gathering sasa sidhani kuwa anapata habari exclusive from Membe pekee...wapinzani (tafadhali rejea WIKI CABLES) utaona akina zitto et al wanapeleka na wanakutana nao formally na informal kupata upande wa pili wa hali ya kisiasa nchini

hivyo kitendawili cha membe kiko pale pale...role yake pale Ikulu ilikuwa ni nini?

unless hao walio attend huo mkutano wanaweza kutupa mwanga zaidi....maana hatujui hata huyu rais wetu serior staff wake ni akina nani na wanafanya nini...kila kitu wao TOP SECRET press releases kama zile tungezipata straight from their website lakini HAWATAKI ikulu iwe na website na hii ni ngumu sana when it comes to open govt/democracy

anyway mwenye kujua zaidi atujuze role ya Mr Johns Hopkins ilikuwa ni nini kwenye mkutano wa Katiba ikulu?
mjomba majibu yako yameshiba kwahiyo Good job nimejaribu kufikiria kwa upande wa pili kwamba wakati membe na mzee wa kaya wanaposafiri kwenda kutembeza bakuli nchi za ulaya na america yeye membe kama waziri wa mambo lazima aelewe hali halisi ya kisiasa ya hapa nchini kwa sababu amini usiamini nchi zinapata taarifa kutoka kwa balozi na membe pia akiwatembelea wanamuuliza maswali kutaka kujua upande wa serikali unasimama vipi.
 
Kikwete kafanya vizuri ameita watu anaowaamini kwani hili sio swala la siasa tu bali ni la nchi! watu ambao watamwambia ukweli kamarafiki
 
Nani ajipendekeza? Ikulu ni chooni ambako hakuna utaratibu? utajiuliza na Nchimbi aliendaje pale?. Kwanini usiseme Rais ndo alimualika Membe. Au labda walikuwa na kikao kingine na Rais, ikagongana na ujio wa CDM...

Kwahiyo kila Membe akionekana Ikulu anajipendekeza kwa JK? Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje kuonekana Ikulu ni kujipendekeza kwa Rais?

Napenda tuwe sensible kwenye mijadala yetu, tusiongozwe na hisia zaidi kwa vile mtu unampenda au kumchukia......
 
mtu pekee wa kuweza kuwaambia role ya membe ni JK so mpm atakueleza role ya kila aliyemuita acheni uchizi humu na kuzinguana kama mmkekula ndumu asubuhi hii
 
Jamani, hawa mawaziri si ndio wasaidizi wakuu wa Rais, kuna ubaya gani akiwepo?

Isitoshe, Membe ni kichwa.


Kichwa cha nini??halafu mijanamke inayojiuza utaijua tuu unajuaje kama mume wa mtu ni kichwa??unamsifiaje mume wa mtu msifie mumeo au bwabwa ndio linakutuma kubwabwaja hapa
 
Back
Top Bottom