rmashauri
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 3,011
- 462
mje na ajenda mpya, mshakosa mwelekeo
Mkuu jibu hoja basi mbona bado kuna mawaziri kibao wameteuliwa kuingia kwenye secretariet? Na wewe unasema chama kimeamua wasiingie huko? Ukweli ni upi sasa?
mje na ajenda mpya, mshakosa mwelekeo
Huyu si aliitwa Nyoka wa Mdimu?........sasa na yeye mbona kang'atwa
Waziri wa mambo ya nje bw. membe naona ni kama ametoswa "KWISHNEY" 2015 maana kuchomolewa kwake pale kwenye CC ni kama kifo chake kimewadia kisisa.sijui hii mijizi ya ccm itatuwekea nani 2015.naomba tujadili wanajf.
Kuna tetesi kuwa Membe akiwa mtumishi wa TISS ndio aliyechora ramani ya kumuingiza JK madarakani. Membe na JK wakiwa hawana pesa za kufanikisa mpango wao wakaomba za msaada kwa washika dau wao LWS na RA ili washinde uchaguzi, kwa makubaliano ya kuachiana kijiti kati ya JK, afuate Membe, LWS then RA. Sasa kama Membe ametolewa CC je mpango wao umeishia hewani?au kuna consipiracy. Poor Membe!
Hakuna kiongozi mzuri anaeweza kupatikana ndani ya CCM kwa sasa. kwahiyo waache wafu wazikane.
Kuna tetesi kuwa Membe akiwa mtumishi wa TISS ndio aliyechora ramani ya kumuingiza JK madarakani. Membe na JK wakiwa hawana pesa za kufanikisa mpango wao wakaomba za msaada kwa washika dau wao LWS na RA ili washinde uchaguzi, kwa makubaliano ya kuachiana kijiti kati ya JK, afuate Membe, LWS then RA. Sasa kama Membe ametolewa CC je mpango wao umeishia hewani?au kuna consipiracy. Poor Membe!
acha uzushi!!! hakuna waziri atakaye kuwa kwenye secretariet ndivyo walivyoamua ccm kuanzia sasa, ili pawepo na accountability kwa upande wa chama na serikali!!!
Na Tyson je?
Hussein Mwinyi - Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa,
Shamsi Vuai Nahodha- Waziri wa mambo ya ndani
kuna mwana CDM nilikuwa naongea nae mida fulan, akawa anafurahia na kuomba dua kuwa EL ahamie chadema, kuwa akihamia Arusha yote CDM wataikamata, nikamuuliza mbona jamaa ni fisadi? kani CDM mnahitaji mafisadi? akasema hakuna tatizo akawa anamsifia kuwa ni kiongozi mzuri, sasa Saigoni sijui mwana CDM huyo utakubaliana naye?
Kama ndivyo na JK nae aachie uwenyekiti au uraisacha uzushi!!! hakuna waziri atakaye kuwa kwenye secretariet ndivyo walivyoamua ccm kuanzia sasa, ili pawepo na accountability kwa upande wa chama na serikali!!!
Wewe hamnazo kwelikweli, nani kakwambia kwamba mtu akiwa nje ya CC ndiyo anakosa nguvu? Lowassa yuko CC? Usitake kubwatabwata kutatanisha kauli. Kama ulitaka tu kumtaja Mh.Membe nawe uonekane unamjua, labda. Lakini huna hoja.
Kulingana na maamuzi ya chama hakuna waziri atakae ingia kwenye secretarieti hivyo Membe kurudi isingewezekana hata kidogo.nia ni kuhakikisha wanaoteuliwa wanakuwa full time kwenye chama.
wassira na wenzie hawajaingia kwenye secretaieti ila kamati kuu ya chama.naomba tofauti ionekane hapa tafadhali.
Kwani Membe hafai kuwa kamati kuu, mkuu? what happened? Letz look at this critically.