Ila mwambie asife moyo bado Membe anaweza kuwa raisi wa Tanzania, kwa sababu watanzania tuna ushabiki wa kijinga na wa vyama, ukichanganya na ukosefu wa Elimu kwa watanzania wengi (USISAHAU KWAMBA MTAJI MKUBWA WA CCM, ni ujinga wa watanzania. Hata hivyo Membe ili agombee, si mpaka apitishwe na chama chuyu hake, na uwezekano wa kupitishwa yeye 2015 ni mdogo au hauopo, hii ni kuzingatia utaratibu waliojiwekea CCM wa wagombea kubadilisha, kutoka MKRISTO, MUISLAM NA WA BARA, WA ZANZIBA. kwa sasa ianaoneka kabisa atakua Shamsi Vuai Nahodha. Na CCM wakilazimisha kumpitisha membe, atakumbana na uasi wa wana CCM watakaokuwa hawajakubaliana na kuvuruga utaratibu wao wa siku nying.
hapa tu umechemka
Una uhakika na hili unalolisema?sio hoja, hoja kwamba membe anafaa kuwa rais kwa kuendeshwa na maaskofu?
Una uhakika na hili unalolisema?
kwa sababu aliwakimbia masheikh, walimwandikia barua rasmi kakataa kuibu. lkn alipoindwa na kardina; haraka alikwenda na kuitikia wito
....MEMBE ndio alikuwa one of architect wa urais wa Kikwete .....ni mfitini mkubwa aliye tayari hata kuuwa kimwili hadi kisiasa ili tu awe rais..alimsaidia Kikwete kuwauwa kisiasa watu kama IDD simba,HASSY KITINE,SUMAYE,SALIM etc.....Siku hizi amegombana na kina lowassa na Rostam....pamoja na kuwa inahisiwa kuwa wako pamoja ila kugombana ni kama strategy yao ...ili waonekane ni kambi mbili tofauti....itakuwa vigumu sana Watanzania kukwepa kambi yao 2015.
Juzi kwenye tamko la waislamu sheikh baswaleh alimsifia.....ni wazi inajulikana kuwa membe ndie alieenda Iran kuchukua fuko la pesa,,,[mnakumbuka mwandishi Mkongwe Rajab wa london alivyomuumbua].....
Kusema mwaka 2015 kuweka rais mwenye hulka hizi ....basi tuhesabu miaka mingine 10 ya usanii na maumivu.......huyo ndio membe ...aka..Joka la mdimu ..anayeamini hata mpaka cream kama yeye anaweza kuwa rais....
.....Amejenga pia misikiti na kanisa. Lakini haya yote ameyafanya jimboni kwake kama sehemu ya ahadi zake na kufanikisha mipango ya maendeleo ya jimbo lake. Sasa kama hayo ndiyo kigezo cha kugombea urais, hivi kuna urais mtu anaweza akaupata kwa kutegemea mambo aliyoyafanya jimboni kwake tu?
Ni mmoja ya wanasiasa wanaotajwa kumrithi JK.
Niliwahi kusoma kwenye Vyombo vya habari tayari anasaidia ujenzi wa Mskiti Mkubwa mmoja hapa nchini.
Pia kwa njia isiyorasmini ametoa ahadi za kusaidia baadhi ya waumini wa kiislam kwenda kuhiji Makka.Pia aliahidi bungeni mambo ya msingi waumini wa dini hiyo.
Lkn kwa upande mwengine sasa analaumiwa kwamba anaendeswa na maaskofu.
Serikali ilipofanya utafiti wa kina ilijiridhisha kuwa kujiunga na OIC kuna manufaa na hakuna madhara yoyote na Bernard Membe (Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa), alitamka hilo bungeni lakini Serikali ilibadili msimamo wake, baada ya Mh membe kuitwa na askofu mmoja anaeheshimka
Lkn pia baadhi ya viongozi wa dini ya kiislam walimfuata ofisni na kuwakimbia baada ya kuwakimbia walimuomba kwa maandishi kuktana nao kuhusu Oic kama alivyokutana na mwenzao, hadi leo Mh Membe anawapiga Chenga , yaani hataki kabisa kukaa nao meza moja .
jee kwa mfumo huu anaoenda nao maswala ya kitaifa kama ni waziri wa mambo ya nje, atapokuwa Ikulu kuu hali itakuwaje?
jee kwa mantiki hii, anafaa kutuongoza?au atazidi kuweka Nyufa kati ya Watanzania?
Ni mmoja ya wanasiasa wanaotajwa kumrithi JK.
Niliwahi kusoma kwenye Vyombo vya habari tayari anasaidia ujenzi wa Mskiti Mkubwa mmoja hapa nchini.
Pia kwa njia isiyorasmini ametoa ahadi za kusaidia baadhi ya waumini wa kiislam kwenda kuhiji Makka.Pia aliahidi bungeni mambo ya msingi waumini wa dini hiyo.
Lkn kwa upande mwengine sasa analaumiwa kwamba anaendeswa na maaskofu.
Serikali ilipofanya utafiti wa kina ilijiridhisha kuwa kujiunga na OIC kuna manufaa na hakuna madhara yoyote na Bernard Membe (Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa), alitamka hilo bungeni lakini Serikali ilibadili msimamo wake, baada ya Mh membe kuitwa na askofu mmoja anaeheshimka
Lkn pia baadhi ya viongozi wa dini ya kiislam walimfuata ofisni na kuwakimbia baada ya kuwakimbia walimuomba kwa maandishi kuktana nao kuhusu Oic kama alivyokutana na mwenzao, hadi leo Mh Membe anawapiga Chenga , yaani hataki kabisa kukaa nao meza moja .
jee kwa mfumo huu anaoenda nao maswala ya kitaifa kama ni waziri wa mambo ya nje, atapokuwa Ikulu kuu hali itakuwaje?
jee kwa mantiki hii, anafaa kutuongoza?au atazidi kuweka Nyufa kati ya Watanzania?
Vyombo vya habari? Vyombo vya habari gani? Nahisi kutapika. Aaaghhhhhhh!lkn naona ni mmoja wa viongozi anaeheshimika kwenye vyombo vya habari