Membe kuwania urais 2015...

Membe kuwania urais 2015...

huyo Membe ni chizi, na hawezi kuwa raisi kwa kuanza kuingia misikitini na kutafuta nguvu ya kidini, hana msimamo wala hana upeo
anataka kuyashtaki magazeti kwa kauli alizozisema kisa kashinikizwa akane hizo kauli, raisi wa namna gani asiyeweza kuwa na kauli zake mwenyewe?
 
huyo Membe ni chizi, na hawezi kuwa raisi kwa kuanza kuingia misikitini na kutafuta nguvu ya kidini, hana msimamo wala hana upeo
anataka kuyashtaki magazeti kwa kauli alizozisema kisa kashinikizwa akane hizo kauli, raisi wa namna gani asiyeweza kuwa na kauli zake mwenyewe?
lkn naona ni mmoja wa viongozi anaeheshimika kwenye vyombo vya habari
 
....mna kazi kwelikweli!!! kumbe hata kichaa akitoroka Mirembe wakati wa uchaguzi (assume kuna sheria ya mgombea huru) na kagombea urais na kuahidi Mahakama ya Kadhi na Tanzania kujiunga OIC hakika atapata kura ZOOOOTE za waislam. maana kwa maelezo yako ni kwamba Membe alishawahakikishia hayo na mkamuona anafaa ila kuna kitu mnahisi anataka kuwa-double cross mnamuona hafai...so low!!! ndio maana CCM 2005 waliwapata kipumbavu kwa ahadi hewa ya mahakama ya kadhi. so low and cheap!!!
 
....mna kazi kwelikweli!!! kumbe hata kichaa akitoroka Mirembe wakati wa uchaguzi (assume kuna sheria ya mgombea huru) na kagombea urais na kuahidi Mahakama ya Kadhi na Tanzania kujiunga OIC hakika atapata kura ZOOOOTE za waislam. maana kwa maelezo yako ni kwamba Membe alishawahakikishia hayo na mkamuona anafaa ila kuna kitu mnahisi anataka kuwa-double cross mnamuona hafai...so low!!! ndio maana CCM 2005 waliwapata kipumbavu kwa ahadi hewa ya mahakama ya kadhi. so low and cheap!!!

sio hoja, hoja kwamba membe anafaa kuwa rais kwa kuendeshwa na maaskofu?
 
Ni mmoja ya wanasiasa wanaotajwa kumrithi JK.
Niliwahi kusoma kwenye Vyombo vya habari tayari anasaidia ujenzi wa Mskiti Mkubwa mmoja hapa nchini.
Pia kwa njia isiyorasmini ametoa ahadi za kusaidia baadhi ya waumini wa kiislam kwenda kuhiji Makka.Pia aliahidi bungeni mambo ya msingi waumini wa dini hiyo.
Lkn kwa upande mwengine sasa analaumiwa kwamba anaendeswa na maaskofu.
Serikali ilipofanya utafiti wa kina ilijiridhisha kuwa kujiunga na OIC kuna manufaa na hakuna madhara yoyote na Bernard Membe (Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa), alitamka hilo bungeni lakini Serikali ilibadili msimamo wake, baada ya Mh membe kuitwa na askofu mmoja anaeheshimka?
Lkn pia baadhi ya viongozi wa dini ya kiislam walimfuata ofisni na kuwakimbia baada ya kuwakimbia walimuomba kwa maandishi kuktana nao kuhusu Oic kama alivyokutana na mwenzao, hadi leo Mh Membe anawapiga Chenga , yaani hataki kabisa kukaa nao meza moja .
jee kwa mfumo huu anaoenda nao maswala ya kitaifa kama ni waziri wa mambo ya nje, atapokuwa Ikulu kuu hali itakuwaje?
jee kwa mantiki hii, anafaa kutuongoza?au atazidi kuweka Nyufa kati ya Watanzania?

Udini utawaua!
 
sio hoja, hoja kwamba membe anafaa kuwa rais kwa kuendeshwa na maaskofu?


....MEMBE ndio alikuwa one of architect wa urais wa Kikwete .....ni mfitini mkubwa aliye tayari hata kuuwa kimwili hadi kisiasa ili tu awe rais..alimsaidia Kikwete kuwauwa kisiasa watu kama IDD simba,HASSY KITINE,SUMAYE,SALIM etc.....Siku hizi amegombana na kina lowassa na Rostam....pamoja na kuwa inahisiwa kuwa wako pamoja ila kugombana ni kama strategy yao ...ili waonekane ni kambi mbili tofauti....itakuwa vigumu sana Watanzania kukwepa kambi yao 2015.
Juzi kwenye tamko la waislamu sheikh baswaleh alimsifia.....ni wazi inajulikana kuwa membe ndie alieenda Iran kuchukua fuko la pesa,,,[mnakumbuka mwandishi Mkongwe Rajab wa london alivyomuumbua].....

Kusema mwaka 2015 kuweka rais mwenye hulka hizi ....basi tuhesabu miaka mingine 10 ya usanii na maumivu.......huyo ndio membe ...aka..Joka la mdimu ..anayeamini hata mpaka cream kama yeye anaweza kuwa rais....
 
Muhogomchungu bila shaka umetumwa na MEMBE ili ajue ni kiasi gani anakubalika au anakatalika, na ndio maana unatutaka tumpime Membe kwa vihoja virahisi vya udini tu...........

Mwambie Membe hivi, HANA STAHA WALA SIFA ZA KUWA RAISI WA HII NCHI, UWEZO WAKE WA WA KUFIKIRI NI MDOGO KAMA KIKWETE TU, NA UTENDAJI WAKE WA KAZI NI MMBOVU KAMA WA KIKWETE TU, NA NDIO MAANA HII NCHI KILA SIKU INAELEKEA KWENYE KIAMA, KWENYE NYANJA ZOTE, KIUCHUMI, KISIASA, KIUTAMADUNI, SASA HATA KIUDINI KIKWETE ANAIPELEKA NCHI PABAYA, MEMBE AKIMSAIDIA.

Ila mwambie asife moyo bado Membe anaweza kuwa raisi wa Tanzania, kwa sababu watanzania tuna ushabiki wa kijinga na wa vyama, ukichanganya na ukosefu wa Elimu kwa watanzania wengi (USISAHAU KWAMBA MTAJI MKUBWA WA CCM, ni ujinga wa watanzania. Hata hivyo Membe ili agombee, si mpaka apitishwe na chama chake, na uwezekano wa kupitishwa yeye 2015 ni mdogo au hauopo, hii ni kuzingatia utaratibu waliojiwekea CCM wa wagombea kubadilisha, kutoka MKRISTO, MUISLAM NA WA BARA, WA ZANZIBA. kwa sasa ianaoneka kabisa atakua Shamsi Vuai Nahodha. Na CCM wakilazimisha kumpitisha membe, atakumbana na uasi wa wana CCM watakaokuwa hawajakubaliana na kuvuruga utaratibu wao wa siku nying.

So, mwambie Membe asubiri 2025, ha ha ha haha ha. Hata hivyo nilisahau, 2015 CHADEMA inachukua nchi hii, so mwambie aibe tu hela za kutosha akijandaa kuwa mbunge tu, bila kuwa waziri kuanzia 2015. NASHAURI.
 
Inaonekana, kama ni kweli ana mpango wa kuwa rais wa jmt, anautaka kwa ajili yake. Tunataka raisi atakaye badilisha mwelekeo wa nchi kutoka kuzimu kwenda ahueni!
 
udini udini,,,,,,,,,kila topic ya siasa imejaa udini huvi kwa nini?
 
Inaonekana, kama ni kweli ana mpango wa kuwa rais wa jmt, anautaka kwa ajili yake. Tunataka raisi atakaye badilisha mwelekeo wa nchi kutoka kuzimu kwenda ahueni!
Dah huyu Membe huyu au mwingine? Too cheap . Mwakumbuka Mudhihir alisemaje?
 
Muhogomchungu bila shaka umetumwa na MEMBE ili ajue ni kiasi gani anakubalika au anakatalika, na ndio maana unatutaka tumpime Membe kwa vihoja virahisi vya udini tu...........

Mwambie Membe hivi, HANA STAHA WALA SIFA ZA KUWA RAISI WA HII NCHI, UWEZO WAKE WA WA KUFIKIRI NI MDOGO KAMA KIKWETE TU, NA UTENDAJI WAKE WA KAZI NI MMBOVU KAMA WA KIKWETE TU, NA NDIO MAANA HII NCHI KILA SIKU INAELEKEA KWENYE KIAMA, KWENYE NYANJA ZOTE, KIUCHUMI, KISIASA, KIUTAMADUNI, SASA HATA KIUDINI KIKWETE ANAIPELEKA NCHI PABAYA, MEMBE AKIMSAIDIA.

Ila mwambie asife moyo bado Membe anaweza kuwa raisi wa Tanzania, kwa sababu watanzania tuna ushabiki wa kijinga na wa vyama, ukichanganya na ukosefu wa Elimu kwa watanzania wengi (USISAHAU KWAMBA MTAJI MKUBWA WA CCM, ni ujinga wa watanzania.
Cant agree with you more...
 
2015 rais ni Six....tokea chama cha CDM....kaeni mkao wa kula...mtanikumbuka...CDM wajipange kisawasawa kutawala nchi hii wajipange sana waende nje wakapate uzoefu wa kuendesha chama na kujenga chama ili wajue hata kuendesha serikali maana nakoo wengi wajinga wajinga na wafuata mkumbo labda vigeugeu waahame ccm wajiunge na cdm hasa wasomi vijana na wahadhiri woote labda watasaidiaa sana kupata ile cream kwa maendeleo ya nchi...ccm walie maana muda wao umeishiaa kwa huyu kilaza aliewauzia sura wakambabaikia.....
 
mimi simkubali hata kidogo na hizo ndoto kama anazo mwambie aziondoe
 
Ni mmoja ya wanasiasa wanaotajwa kumrithi JK.
Niliwahi kusoma kwenye Vyombo vya habari tayari anasaidia ujenzi wa Mskiti Mkubwa mmoja hapa nchini.
Pia kwa njia isiyorasmini ametoa ahadi za kusaidia baadhi ya waumini wa kiislam kwenda kuhiji Makka.Pia aliahidi bungeni mambo ya msingi waumini wa dini hiyo.
Lkn kwa upande mwengine sasa analaumiwa kwamba anaendeswa na maaskofu.
Serikali ilipofanya utafiti wa kina ilijiridhisha kuwa kujiunga na OIC kuna manufaa na hakuna madhara yoyote na Bernard Membe (Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa), alitamka hilo bungeni lakini Serikali ilibadili msimamo wake, baada ya Mh membe kuitwa na askofu mmoja anaeheshimka"
Lkn pia baadhi ya viongozi wa dini ya kiislam walimfuata ofisni na kuwakimbia baada ya kuwakimbia walimuomba kwa maandishi kuktana nao kuhusu Oic kama alivyokutana na mwenzao, hadi leo Mh Membe anawapiga Chenga , yaani hataki kabisa kukaa nao meza moja .
jee kwa mfumo huu anaoenda nao maswala ya kitaifa kama ni waziri wa mambo ya nje, atapokuwa Ikulu kuu hali itakuwaje?
jee kwa mantiki hii, anafaa kutuongoza?au atazidi kuweka Nyufa kati ya Watanzania?

Anafaa zaidi kuwa Imam!
 
Ni mmoja ya wanasiasa wanaotajwa kumrithi JK.
Niliwahi kusoma kwenye Vyombo vya habari tayari anasaidia ujenzi wa Mskiti Mkubwa mmoja hapa nchini.
Pia kwa njia isiyorasmini ametoa ahadi za kusaidia baadhi ya waumini wa kiislam kwenda kuhiji Makka.Pia aliahidi bungeni mambo ya msingi waumini wa dini hiyo.
Lkn kwa upande mwengine sasa analaumiwa kwamba anaendeswa na maaskofu.
Serikali ilipofanya utafiti wa kina ilijiridhisha kuwa kujiunga na OIC kuna manufaa na hakuna madhara yoyote na Bernard Membe (Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa), alitamka hilo bungeni lakini Serikali ilibadili msimamo wake, baada ya Mh membe kuitwa na askofu mmoja anaeheshimka”
Lkn pia baadhi ya viongozi wa dini ya kiislam walimfuata ofisni na kuwakimbia baada ya kuwakimbia walimuomba kwa maandishi kuktana nao kuhusu Oic kama alivyokutana na mwenzao, hadi leo Mh Membe anawapiga Chenga , yaani hataki kabisa kukaa nao meza moja .
jee kwa mfumo huu anaoenda nao maswala ya kitaifa kama ni waziri wa mambo ya nje, atapokuwa Ikulu kuu hali itakuwaje?
jee kwa mantiki hii, anafaa kutuongoza?au atazidi kuweka Nyufa kati ya Watanzania?

kwa mara ya kwanza napata kuamini ID ya Malaria Sugu imepigwa ban.
 
Back
Top Bottom