Membe jiandae kisaikolojia

Membe kapiga kiberiti kichaka panya wote mmekurupuka ! kwa Taarifa yako Membe ndio aliyempa kazi ya kitengo Kapilimba , kapilimba aliingizwa tume na Kikwete ili kudivert kura 2015 , baadaye jiwe akapewa jina ampaishe kuwa DG , hii ni timu 1
YAMEFURUMUKA HADI MAPANYA BUKU MAKUBWA KAMA MBWEHA NA MAGU AKITAKA AHARIBU KILA KITU MAPEMA BASI AMGUSE MEMBE MWALIMU WA MAKACHERO WANAOMLINDA KUANZIA BASHITE HADI UWANJA WA NDEGE WA CHATO NA ASITISHIE SISTIMU KWA MEMBE KWANI UNAPOZUNGUMZIA MFUMO MZIMA WA USALAMA HUYU NI MOJA YA MA' MENTOR.
SASA KUPAMBANA NAE NI SAWA NA KUPAMBANA NA SISTIMU YENYEWE KWANI PALE MEMBE UNAVYOMUONA NI SISTIMU, PIA MWAMBIENI ACHUNGE SANA KWANI MAISHA YA RAIS JINSI YALIVYO NA VERY STRICT PROTOCOL AMBAZO MORE THANI 91% ZINATEKELEZWA NA SISTIMU NI HATARI KWA RAIS KUJITIA UKICHAA NA KIMBELE MBELE KUTAKA KUDILI NA WATU WALIOKUBUHU KWENYE MFUMO KWANI NI HATARI KULIKO HATARI YENYEWE. KWA KADILI NIJUAVYO RAIS AKITAKA KWENDA CHOONI NDO PROTOCOL HUWA HAIWEZI TAKE PLACE KULIKO BAKI KOTE INAHUSIKA
 
Hata ingekua wewe,mtu akiingia kwenye 18 zako utaremba?

Ingekuwa ni Mimi nadhani hata muda huu Maturubai yangekuwa yametawala Nyumbani Kwa Mhusika, taarifa za Msiba zikizidi Kuenea huku Mikakati ya Mazishi ikifanyika ama alazwe Kinondoni au Kijijini Ikupilipa Nkoba na Ratiba nyinginezo. Asikuambie Mtu Ikulu patamu sana Mkuu na ukitaka kulijua hili nenda Kamuulize Mzee Museveni au Mugabe au Obia Nguema au Do Santos watakuwa na Majibu murua tu ya kukupa.
 
Halafu mtu analeta mzaha hapa
 
Maneno yamenivutia sana haya!
Nasugua goti na kufukiza ubani mashtaka.
Mshana Jr fanya yako kilingeni
 
Utaratibu ndio huo,asikwambie mtu,huko makina Trump ,Putin ndio michezo yao,
 
Halafu mtu analeta mzaha hapa

Asubirie tu dhahama Kubwa inaenda Kumtokea ndipo atajua ni kwanini Nyimbo zote zina Video ila Wimbo wa Taifaf pekee ndiyo hauna Video. Kuna Watu huwa wanatafuta wenyewe Tiketi za haraka za kwenda Kulala mahala pema peponi.
 
Wasiokuelewa shauri yao
 
Huyu mkatwa mkia aliyewahi kukiri wanapishana hewani utafikiri nchi inaungua moto sijui ameingiwa na tamaa gani. Watu tunafkiria kumuongezea jiwe muda yeye analeta za kuleta

Viongozi wetu sijui huwa wanagdanganywa nani nini yeye rostam ile clips aliyoitumia pengine yupo UAE , au hata dubai .. mana anajua hana cha kupoteza
 
HIVI MBONA MNAMUOGOPA SANA MEMBE !???

NIA HAJATANGAZA MMESHAANZ A KUJINYEA MAVI !

SUBIRINI MTAANZA KUHARISHA SI MDA MREFU SANA !!

NAMA ALIVYOTOKA MBEKI SOUTH AFRICA JIWE ANATOKA MTINDO GUOHUO ! MENGINE HATUKI KUSEMA NI SAWA NA KUMWAGA MCHELE MBELE YA KUKU!

ONE TERM PRESDENT AJIANDAE
 
Membe kaingia mzigoni mazima mazima. Nazani hana mpango na CCM. Mwana ccm hawezi jadili kauli ya mwenyekiti wake ya Kukatwa mikia mbele ya runinga. Huyo ni either CDM ama ACT. Membe anamaumivu hajapona bado. CCM muacheni Membe bila buguzi kwa kuwa huyo sio wenu.
 
Aisee!
 

Amechelewa na Karata zake amezicheza vibaya sana na kama kuna Mtu alimshauri ayafanya haya aliyoyafanya basi amemuingiza Chaka ile mbaya kama siyo mazima mazima. Kazi anayo!
 
Naona anataka kujishusha level kufikia ya level ya Chahali Evarist. Umeongea jambo muhimu sana hao wote sasa wanapata taabu kupata nyeti za sustem maana wamebadilishwa waliokua wanawapikia majungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…