castieltsar
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,813
- 3,259
kwa kweli mpaka wananchi walio wengi waje kukaa akili sawa .....wangenda kuinvest uko... kubet against magu sio poa all in alafu mwisho wa siku hauishi kwa amani for 5 full yearsHakuna mwenye nguvu kumzidi jiwe kwa sasa.
Mimi naona wangeokoa hela za kampain na uchaguzi zikafanya mambo mengine.
Nchi yetu ina matatizo mengi sana
Hizo hesabu hazipo kwa mtu aliyeko madarakani kwa hapa Tz. Tuvumilie tu na tuombe Mungu pepo la kujiongezea muhula wa tatu limpitie mbali.Membe kapiga kiberiti kichaka panya wote mmekurupuka ! kwa Taarifa yako Membe ndio aliyempa kazi ya kitengo Kapilimba , kapilimba aliingizwa tume na Kikwete ili kudivert kura 2015 , baadaye jiwe akapewa jina ampaishe kuwa DG , hii ni timu 1
sitaendelea kukujulisha usiyoyajua kwa sasa ila nitarudi baadaye ukipenda nifanye hivyo , kwa jiwe kumwangusha Membe kunahitaji ushawishi kwa wajumbe ( ambao ameisha upoteza ) , lakini si kwa njama duni za MATAGA mbumbumbu , jipangeni upya wenzenu wako kazini miaka 4 sasa
usije kusema hatukuambia , Chaos !
Mkuu kwanini unaipa miguu shida kubeba kitu kisicho na akili?!
Waliomweka jiwe ndio wanaomng'oa mkuuHizo hesabu hazipo kwa mtu aliyeko madarakani kwa hapa Tz. Tuvumilie tu na tuombe Mungu pepo la kujiongezea muhula wa tatu limpitie mbali.
Wewe omba tu Mungu pepo la kujiongezea muhula wa tatu limpitie mbali vinginevo hakuna wa kumzuia rais wa nchi hii kufanya anachotaka.Najua mleta mada kuna agenda kubwa nyuma yako ya kutaka magu abaki madarakani nakuapia ya kuwa 2020 magu atatoka aidha kwa kupenda au kutokupenda kwa ukimtoa bashite, jokate na mleta mada mjomba magu hana rafiki katika nchi hii hili hata mama jesca analijua, huwezi nyamazisha watu ati kisa atashughulikiwa kwenye mali alizoiba kwani bashite kaiba ngapi tena kibabe, yeye magu kaiba ngapi hadi anajenga airport ya bitumen kijijini kunakotua wachawi wenye nyungo tu, sasa kama kakutuma kamwambie huku limebuma na 2020 atachapa laba
We ni mpumbavu sana na huna akili. Aliyekutuma au anaye kupa pesa uje kuleta huu upuuzi mwambie wananchi tumemchoka.Siasa ni mchezo mchafu sana ,mara nyingi mwenye nguvu hua ni yule mwenye dola,especially nchi za kiafrika.
Ndio maana wale wajanja ambao hujua wamepora wakiwa kwenye madaraka muda ukiisha hukaa kimya kujilia vyao taratibu.
Sasa naona umechokoza mzinga wa nyuki kumbuka ulikua kwenye system unataka kupambana na system,ambayo inakujua kindakindaki ABC zako.kukumaliza ni jambo dogo sana.
1-Imetajwa dola million ishirini (20)za Gaddafi ,unatakiwa utoe maelezo ya kutosha.
2-kutamalaki kwa dawa za kulevya awamu yako.
3-utakatishaji fedha uliokithiri awmu yako.
4-ugonvi wa Tanzania na malawi/ Tanzania na Rwanda ukiwa waziri wa mambo ya nje uhusiano ulikua mbaya.
5-ulileta makampuni mengi ya kitapeli ambayo mengi yalikua hayalipi kodi,ikiwemo kuuza kipande cha ardhi Bagamoyo kwa wageni pia kuikabidhi gas ya mtwara na Lindi kwa mkataba wa kinyonyaji. hapa nakumbuka Simbachawene aliuleta huu mkataba bungeni kwa haraka,ni wabunge 60 tu waliopitisha ,wapinzani kina Lissu walisema serikali ina haraka gani?
,jiandae kupangua hoja ikiwa wewe ndio uliowaleta.
6-una makampuni na mahotel huko Lindi na mtwara ambayo inasemekana yaliongoza kwa ukwepaji kodi,jiandae kupambana na TRA,
Mengi yataibuka na usije shangaa ukapewa kesi ambayo utahangaika nayo sana,itakupa uchovu wa akili na mwili.
Kwakua bado una ndoto za kuwa rais wa nchi hii komaa,ila system huwezi ishinda hata siku moja,hili nawe unajua, na kwa vile wanadamu tumeumbwa na kiburi nakuachia wewe mwenyewe uchague,Lowassa aliliona hilo ,na mwisho wake hua ni stroke ,diabets au paralasing ukiwa bunkrupy kabisa.
Umeandika ukweli mtupu !Najua mleta mada kuna agenda kubwa nyuma yako ya kutaka magu abaki madarakani nakuapia ya kuwa 2020 magu atatoka aidha kwa kupenda au kutokupenda kwa ukimtoa bashite, jokate na mleta mada mjomba magu hana rafiki katika nchi hii hili hata mama jesca analijua, huwezi nyamazisha watu ati kisa atashughulikiwa kwenye mali alizoiba kwani bashite kaiba ngapi tena kibabe, yeye magu kaiba ngapi hadi anajenga airport ya bitumen kijijini kunakotua wachawi wenye nyungo tu, sasa kama kakutuma kamwambie huku limebuma na 2020 atachapa laba
Sema umechoka,usisemee nafsi za watuWe ni mpumbavu sana na huna akili. Aliyekutuma au anaye kupa pesa uje kuleta huu upuuzi mwambie wananchi tumemchoka.
Kaharibu nchi vya kutosha..
Lowassa hakuhudumu kitengo?WATU WALIOHUDUMU KITENGO CHA USALAMA AU UJASUSI HAWACHEZEWI HATA SIKU MOJA KULE USA EDGAR HOOVAER MKUU WA C.I.A ALIOGOPWA NA MARAISI WOTE 7BU ALIKUWA NA MAFAILI MACHAFU YALIYOWAHUSU, HISTORIA INAONYESHA RAIS AMBAE ANAWEZA KUMSHURUTISHA JASUSI NI YULE AMBAE NAYE ALIWAHI HUDUMU KITENGO TENA KWA NAFASI YA JUU LAKINI KWA HUYU MZEE WA CHATO KUHUSU USALAMA NI MBUMBUMBU.
UKIJA KWA BASHITE NDIYO DEBE TUPU KWA MASUALA YA USALAMA NDO MAANA HATA WALE WANAOITWA WASIOJULIKANA KUNA MAMLUKI KUTOKA RWANDA HII INAONYESHA NI NAMNA GANI MFUMO HAUPENDI HUU UJINGA NA WANAJUA KILA KITU KUANZIA MSIMAMIZI HADI WATEKELEZAJI ILA WANASHINDWA KU INTERVENE KATIBA INAWABANA WE SUBIRI 2020 IKARIBIE NDO UTAONA KITAKACHOTOKEA.
Kama una ushahidi peleka mahakamani ukamfungulie kesiSiasa ni mchezo mchafu sana ,mara nyingi mwenye nguvu hua ni yule mwenye dola,especially nchi za kiafrika.
Ndio maana wale wajanja ambao hujua wamepora wakiwa kwenye madaraka muda ukiisha hukaa kimya kujilia vyao taratibu.
Sasa naona umechokoza mzinga wa nyuki kumbuka ulikua kwenye system unataka kupambana na system,ambayo inakujua kindakindaki ABC zako.kukumaliza ni jambo dogo sana.
1-Imetajwa dola million ishirini (20)za Gaddafi ,unatakiwa utoe maelezo ya kutosha.
2-kutamalaki kwa dawa za kulevya awamu yako.
3-utakatishaji fedha uliokithiri awmu yako.
4-ugonvi wa Tanzania na malawi/ Tanzania na Rwanda ukiwa waziri wa mambo ya nje uhusiano ulikua mbaya.
5-ulileta makampuni mengi ya kitapeli ambayo mengi yalikua hayalipi kodi,ikiwemo kuuza kipande cha ardhi Bagamoyo kwa wageni pia kuikabidhi gas ya mtwara na Lindi kwa mkataba wa kinyonyaji. hapa nakumbuka Simbachawene aliuleta huu mkataba bungeni kwa haraka,ni wabunge 60 tu waliopitisha ,wapinzani kina Lissu walisema serikali ina haraka gani?
,jiandae kupangua hoja ikiwa wewe ndio uliowaleta.
6-una makampuni na mahotel huko Lindi na mtwara ambayo inasemekana yaliongoza kwa ukwepaji kodi,jiandae kupambana na TRA,
Mengi yataibuka na usije shangaa ukapewa kesi ambayo utahangaika nayo sana,itakupa uchovu wa akili na mwili.
Kwakua bado una ndoto za kuwa rais wa nchi hii komaa,ila system huwezi ishinda hata siku moja,hili nawe unajua, na kwa vile wanadamu tumeumbwa na kiburi nakuachia wewe mwenyewe uchague,Lowassa aliliona hilo ,na mwisho wake hua ni stroke ,diabets au paralasing ukiwa bunkrupy kabisa.
Wewe wasema.Hakuna mtanzania anayemhitaji Jiwe. Msijidanganye. Ni hero tuongozwe na Member au hata Joti kuliko huyu mbinafsi na katili asiye na huruma. 2020 Jiwe must go.
Nyanoko
Siasa ni mchezo mchafu sana ,mara nyingi mwenye nguvu hua ni yule mwenye dola,especially nchi za kiafrika.
Ndio maana wale wajanja ambao hujua wamepora wakiwa kwenye madaraka muda ukiisha hukaa kimya kujilia vyao taratibu.
Sasa naona umechokoza mzinga wa nyuki kumbuka ulikua kwenye system unataka kupambana na system,ambayo inakujua kindakindaki ABC zako.kukumaliza ni jambo dogo sana.
1-Imetajwa dola million ishirini (20)za Gaddafi ,unatakiwa utoe maelezo ya kutosha.
2-kutamalaki kwa dawa za kulevya awamu yako.
3-utakatishaji fedha uliokithiri awmu yako.
4-ugonvi wa Tanzania na malawi/ Tanzania na Rwanda ukiwa waziri wa mambo ya nje uhusiano ulikua mbaya.
5-ulileta makampuni mengi ya kitapeli ambayo mengi yalikua hayalipi kodi,ikiwemo kuuza kipande cha ardhi Bagamoyo kwa wageni pia kuikabidhi gas ya mtwara na Lindi kwa mkataba wa kinyonyaji. hapa nakumbuka Simbachawene aliuleta huu mkataba bungeni kwa haraka,ni wabunge 60 tu waliopitisha ,wapinzani kina Lissu walisema serikali ina haraka gani?
,jiandae kupangua hoja ikiwa wewe ndio uliowaleta.
6-una makampuni na mahotel huko Lindi na mtwara ambayo inasemekana yaliongoza kwa ukwepaji kodi,jiandae kupambana na TRA,
Mengi yataibuka na usije shangaa ukapewa kesi ambayo utahangaika nayo sana,itakupa uchovu wa akili na mwili.
Kwakua bado una ndoto za kuwa rais wa nchi hii komaa,ila system huwezi ishinda hata siku moja,hili nawe unajua, na kwa vile wanadamu tumeumbwa na kiburi nakuachia wewe mwenyewe uchague,Lowassa aliliona hilo ,na mwisho wake hua ni stroke ,diabets au paralasing ukiwa bunkrupy kabisa.
Kina nani? hili ni jukwaa huruWaliomweka jiwe ndio wanaomng'oa mkuu
Kwi! Kwi! Kwi!Kina nani ?
Hata waliokula fedha ya Gaddafi lazima waiteme tuHivi ninyi mmeshajipa hati miliki ya nchi hii?? Kazi kuu mliyonayi ni kutumia madaraka kuwaumiza wengine?? "Anaeua kwa Upanga nae huuawa kwa Upanga" Endeleeni kuyanoa hayo mapanga yajekuwachinja vizuri.
Wewe unayajua yaliokichwani kwa Mh Nape?? Endeleeni kujipa moyo.Mjazeni kama mlivyomjaza Nape