Membe: Gaddafi amefikia mwisho lakini hatuwatambui waasi!

Tunisia na Misri hawakukamata SILAHA ... ni tofauti kabisa na kinachotokea LIBYA
Mapinduzi ni mapinduzi haijalishi umetumia mkuki au sauti ya ukali kuiondoa serikali madarakani bila utaratibu.
 
Reactions: EMT

Nilitegemea jibu la Tanzania kutowatambua NTC Libya. Tanzania katika uchaguzi wa mwisho uliokwisha kulikuwepo na malalamiko kibao, kumbuka hata ripoti ya EU walisema chama tawala kilitumia rasilimali za serikali katika kampeni zake. kama unakumbuka hata jeshi lilijiingiza katika siasa na kutoa vitisho...Katiba yenyewe kuandikwa upya ili kukidhi mazingira ya vyama vingi mpaka rais asusiwe. Tanzania kama nchi zingine ambazo hazijakuwa na demokrasia iliyo wazi hawawezi kusema wanawatambua Baraza la Mpito la Waasi kwani kusema hivyo ni kama unajihukumu mwenyewe....maana yake iko indirect kwamba kukubali kirahisi hivyo ni kama kuhamasisha watu waliokandamizwa na nchi zao hata wao wanaweza kuanzisha mabaraza yao ya mpito na yakatambuliwa. Wenye konfidensi ya hivyo ni wale wako madarakani kwa kushinda kwa wazi na pia wako tayari kuachia ngazi wakishindwa katika uchaguzi.
 
Sovereignty iko kwa nani?
Mkuu wangu ni vigumu sana kusema kwa sababu Mapinduzi haya yamefanyika Kijeshi na wanaoongoza vikosi hivi ni wataalam kutoka nchi za Magharibi (NATO). Hakuna chama wala mtu ambaye anajulikana kama ndiye kiongozi wa kundi ama vikundi vyenye supreme authority within that territory. Na kama ukikosa hilo sii rahisi ukasema Sovereignty iko kwa nani kwa sababu hata Iraq au Afghanstan unaweza kusema utawala wao pamoja na kwamba wanalindwa na NATO..Sii Libya, but time will tell - tuwe na subra yasije kuwa ya Misri maanake hadi leo nchi bado ipo mikononi mwa wanaJeshi..
 

This could certainly be part of it.

Lakini vile vile, huwezi kutambua watu ambao hawajaji-organize bado. Hawana serikali, positions zao hazijulikani etc.

Waasi wenyewe kitu pekee kilichowaunganisha ni kumtoa Gaddafi, now that Gaddafi is going, hata hatujui kama wataweza kubaki kitu kimoja.
 

Aaaah mie mpaka kichwa kinauma
 
<br />
<br />

Mbona umoja wa mataifa kwenyewe aliyekua balozi wa libya ktk UN ndio alikua mmoja wa watu wa kwanza kabisa kudefect na kuwatambua NTC, na bado UN imeendelea kumtambua balozi huyo kama mwakilishi wa Libya, unataka kusema UN hawaufahamu uwapo wa hiyo Geneva convention? Halafu si Migiro wa UN ni mTanzania? Mbona hatujamuita ajiuzuru kuonesha kuprotest uamuzi wa UN kuivamia libya na kumtambua balozi wa libya aliyehamia NTC?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
sera yetu ya mambo ya nje inasema wazi kuwa haifungamani na siasa za upande wowote, nadhani hawajaitafsiri inavyopasa, ni kama tunafungamana na gadafi hivi.
<br />
<br />
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
sera yetu ya mambo ya nje inasema wazi kuwa haifungamani na siasa za upande wowote, nadhani hawajaitafsiri inavyopasa, ni kama tunafungamana na gadafi hivi.
<br />
<br />
kaka mwezeshaji ndio hivyo kauwawa wamemkimbiza unafikiri wataachakulalamika..

na mpaka sasa bahari beach haijapata mtu kwa hiyo kuweni chonjo kwa hilo..
 
<br />
<br />

Pole wee ukimaliza kuota amka uukute ukweli kuwa Gadaffi hayupo na keshakua historia sasa, wenye nchi ni NTC chini ya uongozi wa Jalil.
 
Gadafi yuko madarakani kwa miaka 42.
CCM iko madarakani kwa miaka 50.
Wametoka mbali hawa.
 
<br />
<br />

Wewe ndio slow kabisaaaa. Tusubiri nini sasa? Mlikua mnakula faranga za gadaffi sasa mwanaona aibu kuwatambua NTC hahahaha
 
Nafikiri aliyoyasema Membe si msimamo wa watanzania bali ni msimamo wake yeye na kundi lake linalomwonea huruma Gadafi kwa sababu wanazozijua wenyewe
<br />
<br />

Wakati wanaKula faranga za gaddafi waliona rahaaaa sasa wanapatwa kigugumizi kuwatambua NTC.
 
elaborate

ni swali tu sijui kama nahitaji kufafanua zaidi. Kwa sababu watu hapa wanavyozungumza ni kana kwamba sovereignty iko kwa Rais au institutions. So tuanzie hapa ili tuone kwanini tumefanya makosa toka mwanzo ya kutotambua wananchi wa Libya walioamua kuiondoa serikali yao. Hakuna tofauti kati ya Tunisia, Misri, Libya na hata Syria. Viongozi wetu - kina Membe na wengine- wanataka tuamini kuwa uhalali wa serikali unatokana na viongozi wake! ndio maana wanatuuliza "viongozi wa waasi ni kina nani" ati "Rais wao ni nani"? Well.. ukishakosea kwenye msingi utakosea kwenye hitimisho. Ndio maana nimeuliza hilo ili kuwarudisha watu kwenye msingi kwanza.
 
<br />
<br />

Kweli tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…