Membe: Gaddafi amefikia mwisho lakini hatuwatambui waasi!

ni swali tu sijui kama nahitaji kufafanua zaidi. Kwa sababu watu hapa wanavyozungumza ni kana kwamba sovereignty iko kwa Rais au institutions. So tuanzie hapa ili tuone kwanini tumefanya makosa toka mwanzo ya kutotambua wananchi wa Libya walioamua kuiondoa serikali yao. Hakuna tofauti kati ya Tunisia, Misri, Libya na hata Syria. Viongozi wetu - kina Membe na wengine- wanataka tuamini kuwa uhalali wa serikali unatokana na viongozi wake! ndio maana wanatuuliza "viongozi wa waasi ni kina nani" ati "Rais wao ni nani"? Well.. ukishakosea kwenye msingi utakosea kwenye hitimisho. Ndio maana nimeuliza hilo ili kuwarudisha watu kwenye msingi kwanza.

Serikali ya Libya imeondolewa na Rebels au NATO????

Kipindi cha Nyerere, wakati wanapigania uhuru kusini mwa Africa, nchi za Africa ndo zilizosaidiana kuwaondoa wakoloni... Je, unadhani Rebellion ya Libya kukataa AU roadmap na kuruhusu NATO iwasaidie, ni kweli kwamba Westerns are so concerned of Africans?? Mapinduzi haya sio mapinduzi ya walibya.. Ni mapinduzi ya nato ikisaidiana na walibya wachache dissatisfied.. Hivi ni kweli NATO/US/UN are so concerned of Africans mpaka wakasaidia mapinduzi????

Tripoli Showdown ya week moja iliyopita imefanyika kwa msaada wa CIA,M16 kweli haya tunaweza kuyaita mapinduzi ya wana-Libya???

Nakumbuka wakati week kadhaa zilizopita Libyan officials waliwachallenge NATO/UN kwa kuwaambia kwamba kama wanataka Ghaddafi a step down, basi ifanyike uchaguzi chini ya usimamizi wa AU,UN,EU, and so on ili wananchi waamue kama wanamtaka aendelee na position yake au la, Lakini walijibiwa na mabomu..

Hata hivyo licha ya kuwa na vita Libya on the ground, kuna vita nyingine kwenye media, ya kusaidia ku-justify unyama unaofanywa kwa watu wa Libya.. NATO inaua watu wengi sana kule, halafu sisi tunayashangilia mapinduzi ya wana-Libya, wana-Libya wapi hao..
Can't we see the difference between Egypt revolution na Libya revolution?? Wa-Misri wame-prove Peoples power, na Libya ni NATO's power..

Western wamekua wakitamani anguko la Ghaddafi muda mrefu, na hii ilikua chance pekee ya kumsulubu.. Ilianza NO-FLY-ZONE, Ikaja Bombing to Protect civilians.. Haya mabomu yamepiga mpaka asset zilizo za mhimu kabisa.. NATO wakiulizwa, wanasema Command and Control Center.. At the end of the day tunasema mapinduzi ya Wanalibya.. Sio kweli, This is NATO aggression, Revenge and Re-colonisation of Africa..

Come on Mwanakijiji..
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Mbona umoja wa mataifa kwenyewe aliyekua balozi wa libya ktk UN ndio alikua mmoja wa watu wa kwanza kabisa kudefect na kuwatambua NTC, na bado UN imeendelea kumtambua balozi huyo kama mwakilishi wa Libya, unataka kusema UN hawaufahamu uwapo wa hiyo Geneva convention? Halafu si Migiro wa UN ni mTanzania? Mbona hatujamuita ajiuzuru kuonesha kuprotest uamuzi wa UN kuivamia libya na kumtambua balozi wa libya aliyehamia NTC?
<br />
<br />
Naomba kukuuliza UN ilipinga vita ya iraq lakini mataifa makubwa yalivamia iraq na msimamo wa koffi annan ukamhukumu, ndugu UN ni ya kwao( magaribi) na AU ya africa ni sahihi sie( waafrica) kuwa na msimamo wetu hatakama kunautofauti,inanishangaza sana watu kukumbatia uamuzi wa UN thidi ya libya na kusahau veto zote thidi ya wapalestina
 
Unataka kutuambia kwa Tanzania kufuata taratibu za Vienna convention ina akili sana kuliko nchi nyingi duniani zilizowatambua waasi, mtakaa hivyo hivyo na umasikini wakati wenzenu wakichangamkia opportunities kwa haraka kadri zinavyopatikana.
<br />
<br />

Mkuu hawana lolote faranga za gadaffi na hisani za kujenga mambo flani hapa nchini ndio zawatokea puani
 
Serikali ya Libya imeondolewa na Rebels au NATO????

Kipindi cha Nyerere, wakati wanapigania uhuru kusini mwa Africa, nchi za Africa ndo zilizosaidiana kuwaondoa wakoloni... Je, unadhani Rebellion ya Libya kukataa AU roadmap na kuruhusu NATO iwasaidie, ni kweli kwamba Westerns are so concerned of African?? Mapinduzi haya sio mapinduzi ya walibya.. Ni mapinduzi ya nato ikisaidiana na walibya wachache dissatisfied.. Hivi ni kweli NATO/US/UN are so concerned of Africans mpaka wakasaidia mapinduzi????

Tripoli Showdown ya week moja iliyopita imefanyika kwa msaada wa CIA,M16 kweli haya tunaweza kuyaita mapinduzi ya wana-Libya???

Come one Mwanakijiji..

Hakuna sababu mapinduzi haya yasiwe ya advantage kwa NATO na watu wa Libya pia.

Watu wa Libya wamemtoa dikteta, NATO wamemtoa dikteta.

Tusitake kufanya kwamba hapa kuna diplomacy za kizamani za "either or" "if you are not with us, you are with the enemy".

Jambo la msingi hapa, hawa waasi ni kina nani na wana agenda gani? Hili halijawa wazi, na mpaka likiwa wazi, Tanzania haikulazimika kulishikia bango.

On the other hand, balozi wa Libya alitoa statement (kwa kupandisha bendera ya waasi) kinyume na credentials alizotambulika nazo Tanzania ( kutoka kwa serikali ya Gaddafi)

Je alikwenda Ikulu kuwakilisha credentials mpya? Au kafanya mambo kihuni kupandisha bendera tu bila kufuata protokali?

Kama kapandisha bendera tu bila kupeleka credentials zake mpya na kuzikana zile za zamani basi Membe ana haki kumfokea.
 
<font size="4"><font color="#0000cd">Serikali ya Libya imeondolewa na Rebels au NATO????<br />
<br />
Kipindi cha Nyerere, wakati wanapigania uhuru kusini mwa Africa, nchi za Africa ndo zilizosaidiana kuwaondoa wakoloni... Je, unadhani Rebellion ya Libya kukataa AU roadmap na kuruhusu NATO iwasaidie, ni kweli kwamba Westerns are so concerned of African?? Mapinduzi haya sio mapinduzi ya walibya.. Ni mapinduzi ya nato ikisaidiana na walibya wachache dissatisfied.. Hivi ni kweli NATO/US/UN are so concerned of Africans mpaka wakasaidia mapinduzi???? <br />
<br />
Tripoli Showdown ya week moja iliyopita imefanyika kwa msaada wa CIA,M16 kweli haya tunaweza kuyaita mapinduzi ya wana-Libya???<br />
<br />
Come one Mwanakijiji.. </font></font>
<br />
<br />
Mkuu hapo huko onpoint kabiisaaaa
Mie nahisi hizi sinema za kina jack bauer zina waathiri sana baadhi ya ma great thinker wa hapa jamvini
 
Ghadafi Kama Nyerere alijua sana kujenga nje kuliko ndani, viongozi wengi wa Africa Nyerere aliwafanyia mema ndio maana wanataka hata kumfanya mtakatifu, Membe hawezi kumsaliti Ghadafi ni sawa na kumsaliti nyerere

Membe should tread very carefully when handling the Libyan issue because Gaddafi has substantial investments in Tanzania which include the famous Bahari Beach Hotel. Tanzania never froze Libya's assets in spite of the United Nations security council resolution, indicating the closeness that existed between Gaddafi and the Tanzanian rulers. Sio hivyo tu Libya imetukopesha mafuta mengi tu ambayo hatujalipa [zikiwemo hela Membe anazowagombania mafisadi wenzie walipwe kwa niaba ya serikali ya Libya] hivyo hawa Transitional government wanakila haki ya kuweza kutuchachamalia tuwalipe madeni yao on their terms!! Sidhani kama Membe anajua repercussion zake.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
ni swali tu sijui kama nahitaji kufafanua zaidi. Kwa sababu watu hapa wanavyozungumza ni kana kwamba sovereignty iko kwa Rais au institutions. So tuanzie hapa ili tuone kwanini tumefanya makosa toka mwanzo ya kutotambua wananchi wa Libya walioamua kuiondoa serikali yao. Hakuna tofauti kati ya Tunisia, Misri, Libya na hata Syria. Viongozi wetu - kina Membe na wengine- wanataka tuamini kuwa uhalali wa serikali unatokana na viongozi wake! ndio maana wanatuuliza "viongozi wa waasi ni kina nani" ati "Rais wao ni nani"? Well.. ukishakosea kwenye msingi utakosea kwenye hitimisho. Ndio maana nimeuliza hilo ili kuwarudisha watu kwenye msingi kwanza.

but would you elaborate your understanding of sovereignty
 
Gadafi yuko madarakani kwa miaka 42. <br />
CCM iko madarakani kwa miaka 50. <br />
Wametoka mbali hawa.
<br />
<br />

Imenibidi nicheke tu mwenyewe! Hii correlation yako si mchezo ina speak for itself! Kweli hawa wametoka mbali wanajuana hahahahaha
 
Hakuna sababu mapinduzi haya yasiwe ya advantage kwa NATO na watu wa Libya pia.

Watu wa Libya wamemtoa dikteta, NATO wamemtoa dikteta.

Tusitake kufanya kwamba hapa kuna diplomacy za kizamani za "either or" "if you are not with us, you are with the enemy".

Jambo la msingi hapa, hawa waasi ni kina nani na wana agenda gani? Hili halijawa wazi, na mpaka likiwa wazi, Tanzania haikulazimika kulishikia bango.

On the other hand, balozi wa Libya alitoa statement (kwa kupandisha bendera ya waasi) kinyume na credentials alizotambulika nazo Tanzania ( kutoka kwa serikali ya Gaddafi)

Je alikwenda Ikulu kuwakilisha credentials mpya? Au kafanya mambo kihuni kupandisha bendera tu bila kufuata protokali?

Kama kapandisha bendera tu bila kupeleka credentials zake mpya na kuzikana zile za zamani basi Membe ana haki kumfokea.

Ukweli ndio utakaosumbua wengi kuhusu hatima ya wa-Libya.. Kwa nini UN/NATO haiku facilitate peaceful dialogue kati ya Rebels na Utawala uliokuwepo Libya?? Inabidi kufatilia ukweli ndio uweze kumhukumu Ghaddafi na serikali yake..

Kimsingi mie napinga yeye kukaa muda mrefu, ila namkubali, ni kiongozi asie babaishwa na Imperialists. Ameijenga Libya, na ameleta maendeleo Libya.. Kwa sasa Libya, wanakua Koloni jingine.. Hapa hakuna cha mapinduzi ya walibya..
 
ni swali tu sijui kama nahitaji kufafanua zaidi. Kwa sababu watu hapa wanavyozungumza ni kana kwamba sovereignty iko kwa Rais au institutions. So tuanzie hapa ili tuone kwanini tumefanya makosa toka mwanzo ya kutotambua wananchi wa Libya walioamua kuiondoa serikali yao. Hakuna tofauti kati ya Tunisia, Misri, Libya na hata Syria. Viongozi wetu - kina Membe na wengine- wanataka tuamini kuwa uhalali wa serikali unatokana na viongozi wake! ndio maana wanatuuliza &quot;viongozi wa waasi ni kina nani&quot; ati &quot;Rais wao ni nani&quot;? Well.. ukishakosea kwenye msingi utakosea kwenye hitimisho. Ndio maana nimeuliza hilo ili kuwarudisha watu kwenye msingi kwanza.
<br />
<br />

Hii tuition ya bure kabisa mi naanza kufaidika nayo. Ila membe & the co hawataipenda
 
Ukweli ndio utakaosumbua wengi kuhusu hatima ya wa-Libya.. Kwa nini UN/NATO haiku facilitate peaceful dialogue kati ya Rebels na Utawala uliokuwepo Libya?? Inabidi kufatilia ukweli ndio uweze kumhukumu Ghaddafi na serikali yake..

Kimsingi mie napinga yeye kukaa muda mrefu, ila namkubali, ni kiongozi asie babaishwa na Imperialists. Ameijenga Libya, na ameleta maendeleo Libya.. Kwa sasa Libya, wanakua Koloni jingine.. Hapa hakuna cha mapinduzi ya walibya..

Libya aliyoijenga ipi? Hii hii ambayo kawafanya Berbers kuwa second class citizens katika nchi yao wenyewe?

Hii hii aliyo divide wa Benghazi na wa Tripoli?

Upumbavu wa Gaddafi alikuwa kashajiona kama mungu mtu, akashindwa hata kula na kipofu. Libya nchi ina watu milioni sita na utajiri mkubwa wa mafuta, angeweza vizuri sana kuwaweka watu wake safi na yeye mwenyewe akapendwa na kila mtu, lakini unaambiwa Libya ilikuwa hata mtangazaji wa mpira haruhusiwi kutaja majina ya wachezaji, anataja namba tu. Mpaka mtoto wake Gaddafi alipoanza kucheza ndiyo huyo mtoto akawa anatajwa jina.

Kisa, Gaddafi hataki mtu mwingine awe maarufu.

Hivi huyu kiongozi kweli?

Gaddafi has absolutely no credibility, no doubt. But that does not mean the rebels get a free pass.
 
Libya aliyoijenga ipi? Hii hii ambayo kawafanya Berbers kuwa second class citizens katika nchi yao wenyewe?

Hii hii aliyo divide wa Benghazi na wa Tripoli?

Upumbavu wa Gaddafi alikuwa kashajiona kama mungu mtu, akashindwa hata kula na kipofu. Libya nchi ina watu milioni sita na utajiri mkubwa wa mafuta, angeweza vizuri sana kuwaweka watu wake safi na yeye mwenyewe akapendwa na kila mtu, lakini unaambiwa Libya ilikuwa hata mtangazaji wa mpira haruhusiwi kutaja majina ya wachezaji, anataja namba tu. Mpaka mtoto wake Gaddafi alipoanza kucheza ndiyo huyo mtoto akawa anatajwa jina.

Kisa, Gaddafi hataki mtu mwingine awe maarufu.

Hivi huyu kiongozi kweli?

Gaddafi has absolutely no credibility, no doubt. But that does not mean the rebels get a free pass.

Ukweli ndio utakaosumbua wengi kuhusu hatima ya wa-Libya.. Kwa nini UN/NATO haiku facilitate peaceful dialogue kati ya Rebels na Utawala uliokuwepo Libya?? Inabidi kufatilia ukweli ndio uweze kumhukumu Ghaddafi na serikali yake..
 
Hivi mbona hao NATO siwaoni kule Syria....? Au wale wanaouwawa kule Syria si binadamu na hivyo hakuna sababu za kumtwanga Assad kwa misingi ya kuepusha maafa ya binadamu kama ilivyo Libya?

Nafikiria tu...........
 
Nilimuona Membe akiongea ITV. Nina wasiwasi huyu waziri kama anajua diplomacy. Kuna njia nyingine angeweza kuongea kuhusu suala la Libya bila kuweka bayana msimamo wa Tanzania kwa sasa, na zaidi hisia zake binafsi.

Sawa kabisa mkuu. Watu wanaouliza Membe kakosea nini naona wameshapata jibu. Kuweka msimamo bayana kwasasa is too early kwasababu; hatujui who will be in-charge in the future. Viongozi wa Africa ni muhimu wajifunze kitu kimoja: badala ya kujenga (personal relationship) na kiongozi wa nchi, wanatakiwa kuweka maslahi ya nchi zao mbele (business relationship first). Kuendelea kumkumbatia Gaddafi hivi sasa haina tija kwa taifa. Gadaffi alikuwa muhimu tu pale alipokuwa kiunganisho cha sisi na resources, watu wa Libya. Kwa sasa Gaddafi hana manufaa tena kwetu. Sasa ni wakati wakuangalia nini tunaweza ku-benefit from Libya(when and how). Viongozi wa Africa wanatakiwa wawe wepesi kuwahi deals kama wanavyofanya NATO. Kama alivyosema mchangiaji mwingine, usalama wa taifa lazima wanuse wajue who is who (the people incharge) ili ku-represent interest zetu at the right people/table. Viongozi wakisubiri mpaka imetangazwa kwenye TV watakuta wajanja (NATO, CHINESE) etc wameshawahi sisi tunasubiri mabaki. Hili mataifa mengine wanalitambua ndio maana Westerners wameshaanza kusema mafuta yatashuka bei after a certain period of time, wao wameshahakikishiwa their share. Inawezekana hao tunaowaita waasi ni shadow tu ya nchi fulani fulani; sasa hatuwezi kuwabeza alafu tunageuka tunaomba pesa/msaada kwa mabosi wa waasi i.e. nchi hizo zinazo-control the whole process (transitioning of power)
 
  • Thanks
Reactions: EMT
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Naomba kukuuliza UN ilipinga vita ya iraq lakini mataifa makubwa yalivamia iraq na msimamo wa koffi annan ukamhukumu, ndugu UN ni ya kwao( magaribi) na AU ya africa ni sahihi sie( waafrica) kuwa na msimamo wetu hatakama kunautofauti,inanishangaza sana watu kukumbatia uamuzi wa UN thidi ya libya na kusahau veto zote thidi ya wapalestina
<br />
<br />

Mkuu nimekuelewa point yako kuwa UN ni ya kimagharibi, Swali langu ni hili sasa kwanini hatupingi hilo ndani ya vikao vya UN kama waafrica? South africa je si walipiga kura ya ndio kuunga mkono azimio la no fly zone, sasa iweje tena wanaleta ukigeugeu wao? Kwanini Tz kama haipendezwi na kinachoendelea libya haijasema hayo huko UN? Wanawaogopa kina nani? Huwezi kutaka kuwaogopa hao wanaowaogopa kuwapinga kule UN halafu hapo hapo ukataka kumfurahisha gadafi aliko huko mafichoni kwa kukataa kuwatambua waasi
 
Ukweli ndio utakaosumbua wengi kuhusu hatima ya wa-Libya.. Kwa nini UN/NATO haiku facilitate peaceful dialogue kati ya Rebels na Utawala uliokuwepo Libya?? Inabidi kufatilia ukweli ndio uweze kumhukumu Ghaddafi na serikali yake..

Tayari kulikuwa na effort ya AU, UN isingeweza kuleta kipya chochote.

Basically at any one point, hakukuwa na makubaliano kwa pande zote . Rebels walivyokuwa wana advance walitaka surrender ya Gaddafi kama condition ya kukaa katika mkutano. Sababu hii ndiyo ilifanya hata efforts za AU/ Zuma zishindwe.

Sasa ulitegemea UN wafanye nini?

NATO ndio kabisa hawawezi hata kusema wana neutrality inayotakiwa kwa msuluhishi.
 
Hivi mbona hao NATO siwaoni kule Syria....? Au wale wanaouwawa kule Syria si binadamu na hivyo hakuna sababu za kumtwanga Assad kwa misingi ya kuepusha maafa ya binadamu kama ilivyo Libya?

Nafikiria tu...........

S.O.T moja inasema Gaddafi alichemsha alivyo declare kwa dunia nzima kwamba atawasaka na kuwafanyizia wapinzani wake nyumba kwa nyumba ( yeye kajiona gangwe, kumbe u primitive unaosaidia kumuondoa kirahisi), hivyo akawapa NATO sababu ya kuingilia. Kama Nyerere alivyosema kwamba Amini kwa kuvamia Kagera "ameturahisishia kazi".Maana yake Nyerere alikuwa anataka kumchapa Amini long time, lakini alikosa sababu tu ( hence the "nia tunayo, sababu tunayo... speech). Maana yake ni kwamba NATO walikuwa hawampendi Gaddafi muda mrefu tu, lakini hawakuwa na sababu ya kuingilia. Sasa baada ya R2P na Rwanda Genocide wamepata sababu. Geopolitics.

Wengine wanasema mafuta, lakini Libya katika soko la dunia inatoa about 2% which is not that significant.

Ukweli ni kwamba Gaddafi alisha ji isolate kiasi kwamba imekuwa rais sana hata ku violate the vaguely worded (intentionally?) UN Resolution 1973 yenyewe kama mandate ya NATO.

Assad hajafika huko, ila naye anaelekea huko huko, nasikia wanamuandalia UN Resolution yake na yeye, kwa hiyo usishangae NATO wakihamia Syria.
 
Sawa kabisa mkuu. Watu wanaouliza Membe kakosea nini naona wameshapata jibu. Kuweka msimamo bayana kwasasa is too early kwasababu; hatujui who will be in-charge in the future. Viongozi wa Africa ni muhimu wajifunze kitu kimoja: badala ya kujenga (personal relationship) na kiongozi wa nchi, wanatakiwa kuweka maslahi ya nchi zao mbele (business relationship first). Kuendelea kumkumbatia Gaddafi hivi sasa haina tija kwa taifa. Gadaffi alikuwa muhimu tu pale alipokuwa kiunganisho cha sisi na resources, watu wa Libya. Kwa sasa Gaddafi hana manufaa tena kwetu. Sasa ni wakati wakuangalia nini tunaweza ku-benefit from Libya(when and how). Viongozi wa Africa wanatakiwa wawe wepesi kuwahi deals kama wanavyofanya NATO. Kama alivyosema mchangiaji mwingine, usalama wa taifa lazima wanuse wajue who is who (the people incharge) ili ku-represent interest zetu at the right people/table. Viongozi wakisubiri mpaka imetangazwa kwenye TV watakuta wajanja (NATO, CHINESE) etc wameshawahi sisi tunasubiri mabaki. Hili mataifa mengine wanalitambua ndio maana Westerners wameshaanza kusema mafuta yatashuka bei after a certain period of time, wao wameshahakikishiwa their share. Inawezekana hao tunaowaita waasi ni shadow tu ya nchi fulani fulani; sasa hatuwezi kuwabeza alafu tunageuka tunaomba pesa/msaada kwa mabosi wa waasi i.e. nchi hizo zinazo-control the whole process (transitioning of power)

Granted, kuongea too early si busara.

Lakini Membe alitoa tamko tu kuonyesha msimamo wa Tanzania au alikuwa forced kufanya hivyo na kitendo cha balozi wa Libya kupandisha bendera ya waasi kiholela?
 
S.O.T moja inasema Gaddafi alichemsha alivyo declare kwa dunia nzima kwamba atawasaka na kuwafanyizia wapinzani wake nyumba kwa nyumba ( yeye kajiona gangwe, kumbe u primitive unaosaidia kumuondoa kirahisi), hivyo akawapa NATO sababu ya kuingilia. Kama Nyerere alivyosema kwamba Amini kwa kuvamia Kagera "ameturahisishia kazi".Maana yake Nyerere alikuwa anataka kumchapa Amini long time, lakini alikosa sababu tu ( hence the "nia tunayo, sababu tunayo... speech). Maana yake ni kwamba NATO walikuwa hawampendi Gaddafi muda mrefu tu, lakini hawakuwa na sababu ya kuingilia. Sasa baada ya R2P na Rwanda Genocide wamepata sababu. Geopolitics.

Wengine wanasema mafuta, lakini Libya katika soko la dunia inatoa about 2% which is not that significant.

Ukweli ni kwamba Gaddafi alisha ji isolate kiasi kwamba imekuwa rais sana hata ku violate the vaguely worded (intentionally?) UN Resolution 1973 yenyewe kama mandate ya NATO.

Assad hajafika huko, ila naye anaelekea huko huko, nasikia wanamuandalia UN Resolution yake na yeye, kwa hiyo usishangae NATO wakihamia Syria.
Gaddafi alilalamika kuwa kuna mkono wa Alkaeda,na ni kweli kamanda wa hao rebels ni Alkaeda.Hivyo alikuwa na kila haki ya kuwasaka.NATO wao mimacho kwenye wese hata hawajali Alkaeda tena.Kwani umesahau kuwa walimtumia Bin Laden dhidi ya Russia kwenye ile vita ya miaka kumi Afghanistan ambayo ilipelekea kuporomoka kwa USSR?
 
Back
Top Bottom