Membe atua usiku kikachero, ahoji Shibuda alimpinga Kikwete, mbona hakukuwa na nongwa?

Shibuda alifikia wadhifa ailkioufikia yeye. Shibuda anajua mambo ya chumbani mwa Taifa kama yeye anavyojua. Ajiulize kwa sasa anavyo endesha maisha yake yeye ni liability ima thamani kwa taifa?
Shibuda ni msukuma anayeongea ki-zanzibar hahah,sijui alijifunzia wapi kizenj.
 
Kuwa mpole ukitaka kujua hana jipya mpange Membe Vs JPM pawe na usawa, iwe nje au ndani ya CCM, au kwa kura za Watanzania, Membe anashinda kirahisi,..... Kama hana mvuto muache afu wawapambanishe na MAGU jibu utalipata na nadhani unalijua
Hapa ndipo Watanzania wengi tunapokosea, "Kulinganiasha tunayeona amekosea VS Tunayemtaka"

Tunayemtaka ni lazima asimame mwenyewe kwa vigezo vinavyoonesha kuwa anatufaa. Mambo ya kulinganisha walio hai na wafu ndio yametufikisha hapa tulipo.
 
Machadema yanacheza ngoma wanazopiga ccm!

Haya majamaa hata yawekewe kujifunza kwa picha hayajikuelewa kamwe!

Yani Tanzania Daima badala ya kuandika habari za mwenyekiti kuwa jela, nyie mnapoteza muda na Membe mkiamini kwamba kweli kuna mgogoro wa kuiyumbisha ccm hapo?
 
Upinzani na makuhadi wenu mnajisumbua sana kujaribu kuidhoofisha CCM. Kama mlishindwa wakati wa Lowassa, ambaye mpaka leo mnamwita Rais wa mioyo ya WaTz, leo hii mnafanya vituko na vichekesho kwenye vyombo vyenu vya habari na mitandao ya kijamii.

Ikumbukwe kuwa CCM siyo mtu ila ni chama cha Wakulima na Wafanyakazi tofauti na vyama vingine vilivyoanzishwa na watu binafsi kwa maslahi binafsi.

Mchango wa CCM kuleta uhuru na ukombozi wa Afrika ni nguzo moja kuu inayowaunganisha wanachama wake na wanachama wa vyama vingine vya ukombozi.

Kama upinzani una nia ya dhati kutawala nchi hii, itumie mbinu sahihi za kukonga mioyo ya wapiga kura kuliko kujaribu kuweka chuki ndani ya chama tawala. Moja ya mikakati sahihi ni kwa vyama hivyo kujitambulisha kama vyama vya wanachama na siyo vya kiongozi mmoja mmoja km Mbowe - CHADEMA au Maalim - CUF.
 
Hii ni uthibitisho kuwa nchi tumekabidhi kwa mshamba na limbukeni
By Zitto Kabwe
 
Shibuda ni msukuma anayeongea ki-zanzibar hahah,sijui alijifunzia wapi kizenj.

Shibuda naye anazurura huko nje akitafuta watakao muunga mkono kugombea urais 2020? Basi wamuangalie asije akauza siri za kujuakizenji ili kutunisha mfuko wa kununulia kura na wapiga kura. Na ndipo hatari kwa usalama wa Taifa ilipo. Kuuzwa siri za nchi ilikutunisha mfuko.
 
Kuwa mpole mbona mnamuogopa sana Membe, uyu Jiwe ata akisimama na James delicious, lazima apigweee
 
Yaani mimi sitarajii upinzani kuongoza nchi, ila wacha tusubiri
 
Kuwa mpole ukitaka kujua hana jipya mpange Membe Vs JPM pawe na usawa, iwe nje au ndani ya CCM, au kwa kura za Watanzania, Membe anashinda kirahisi,..... Kama hana mvuto muache afu wawapambanishe na MAGU jibu utalipata na nadhani unalijua
Mkuu tume yenyewe ya uchaguzi sio huru, kila idara ni ccm, sioni namna ya kumtoa ccm madarakani.
 
Kwahiyo kuwasili usiku ndio kikachero? Too much hype and sensationalism, no iota of substance.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…