Get well soon Kibanda!
Kwa avatar yako hiyo lazima apone...hata kama alipigwa risasi mia...HATARIIII
Kwa avatar yako hiyo lazima apone...hata kama alipigwa risasi mia...HATARIIII
Hahahaha... naona umeamua kuchekesha watu walionuna. hahaha...
Very Good,Professional,short and clear......
Kwenye ile thread iliyomhusu Membe nilishauri kwamba kuna haja ya Membe kufanya press juu ya uhusika au kutohusika kwake mapema.
nani alimwagia Tindikali Kumbenea? Gazeti lake limefungiwa kwa nini? Nani alimuua Mwangosi? kwa sababu gani?Na waandishi watazid kuuwawa kwa sababu ya upumbavu wao.mwanahalisi limefungiwa wanacheka cheka tu