Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,505
- 113,620
Wanabodi, naomba kukiri nimeandika thread hii, baada ya kuwa inspired na post hii ya mkuu huyu kwenye thread hii Udhaifu na unafiki wa vyombo vya habari!
Mkuu Kishina cha Mshahara, Salary Slip , kwanza asante kwa hii!, na kwa vile mimi ni mwandishi wa habari, nimeguswa, hivyo nachangia, ambapo nitajibu hoja zako tano ulizo raise, pia nitaelimisha kidogo na mwisho kutoa maoni yangu!.
Majibu ya hoja zako 5 za msingi.
Sisi wengine wenu, intellect ya mtu, unaiona usoni, machoni na anapozungumza, hivyo hata fool kabisa akinyamaza kimya, huwezi kumjua he is a fool mpaka atakapoongea ndio foolishness yake inajulikana!. Membe ni just a fool fulani aliyebahatika kuukwaa u MFA, akiongea, ukimsikiliza na kumtazama usoni, hiyo foolishness yake inaonekana wazi, na wanaoweza kudanganya wengi ni wale majuha, tuliowajaza kwenye lile jumba/mjengo kule Dodoma ambao sijawasikia wakihoji the subject matter ya kadhia hii, zaidi ya kupiga tuu makofi!.
Kwa tunaiojua sheria ya diplomatic bags, tunajua inaratibiwa na The Vienna Convention, host country haiwezi kujua chochote kinachobebwa na diplomatic bags ya nchi nyingine!, hivyo only fools tuu ndio wata believe kanusho la Membe!.
The fact is hata rais wetu anaposafiri, mizigo ya msafara wote hupitia diplomatic bag, kama safari ni kesho, leo jioni watu wote kwenye msafara hupeleka mizigo yao ikulu, mkifika mnaletewa hotelini!. Nakumbuka nikiwa media journalist niliwahi kuwapo kwenye misafara, jamaa wa "Ilala" si wakaniletea "mizigo" yao niwabebe kwa pesa ndefu kweli kweli, kama unapenda pesa!, you can't say no!. Dhamira yangu haikunituma, niliwagomea! wakanicheka kuwa nitakufa masikini!.
Only the fools and the insane ones ndio wanaoweza kukanusha kilichobebwa kwenye diplomatic bag ya nchi isiyo yako!. Kwa wanaokikumbuka kisa cha Umaru Dikko wa Nigeria, kilichochotea mwa 1984 wakati serikali ya kiraia ilipinduliwa siku ya mkesha wa mwaka mpya, mawaziri wengi wa serikali hiyo wakatiwa nguvuni, Dikko aliyekuwa waziri wa usafirishaji alifanikiwa kutorokea London Uingereza. Serikali ya Nigeria ikaomba arudishwa, serikali ya Uingereza ikagoma!. Serikali ya Nigeria ikawakodi makomandoo 3 wa Israel, wakamteka Dikko na kumdunga sindano ya kupoteza fahamu, wakamuweka kwenye box na kulilebel ni diplomatic bag, tayari kusafirishwa kupelekwa Nigeria!, thank to Scotland Yard na anti terrorist squad ya UK, mpango huo ulimbumbulukia airport, serikali ya Uingereza ilipopangua kwa nguvu hiyo parcel, kilichofuatia ni kuvunjika kwa uhusiano wa kibalozi kati ya Nigeria na Uingereza.
Kwa maoni yangu, kanusho la Membe ni just nothing!, lakini kwa jinsi Wachina walivyo wakombozi kwetu, sioni hata kwa nini tusiwakabidhi tuu ile Ivory Room!, wenzetu Wakenya Ivory zikikamatwa zinateketezwa, sisi tukizikamata, tunazihifadhi kule Ivory Room na kila siku zinapungua!, nani anaweza kudai eti rais wetu hajui Ivory huko Ivory Room zinapunguaje?!. Kwa vile Wachina ndio wakombozi wetu, na sisi tunazo Ivory hatuzihitaji lakini tumezihifadhi for what?!, tuwape tuu Wachina wanaozihitaji, tujue moja na sio kuja na haya makanusho ya Kitoto!.
Mabingwa wa diplomasia, tuelimisheni, jee Mhe. Membe kama MFA, anao uwezo wa kujua kilichomo ndani ya "Diplomatic Bag" ya mzigo wa nchi yoyote?!. Kama Waingereza iliwabidi wavunje sheria na kuvunja uhusiano wa kibalozi na Nigeria kisa ni kujua tuu kilichomo ndani ya Diplomatic Bag ya Nigeria, jee huyu Membe wetu, uwezo huo anao?, ameupata wapi?, anawezaje kukanusha kitu ambacho hana uwezo nacho?!.
Na tukianza kudanyanyana hivi sasa, na wadanganyifu hawa, sio tuu wanatudanganya sisi, bali wanalidanya Bunge letu tukufu!, ikiwa hivi ni MFA, danyanya zenyewe ni hizi, hiyo 2015, atakapokuwa ndiye yeye hali itakuwaje?!
"Tusidanganyane kabisa!. kuna watu hawatufai kabisaa!, hata wawe na sura nzuri vipi, na nywele zao nyeusi vipi kwa kupaka kanta ili waonekane vijana ila ndani ni mvi tupu!, huku wakiongea uwongo kwa mapozi mengi mchana kweupe!" Kama hawafai, ni hawafai tuu!.
Paskali
Bernard Camilus Membe,
Umepigana vita vilivyo vitakatifu,
Imani umeitunza,
Mwendo umeumaliza!.
Bwana alileta
Bwana ametwaa
Jina lake Lihimidiwe
RIP Bernard Cammilus Membe
Paskali
Mkuu Kishina cha Mshahara, Salary Slip , kwanza asante kwa hii!, na kwa vile mimi ni mwandishi wa habari, nimeguswa, hivyo nachangia, ambapo nitajibu hoja zako tano ulizo raise, pia nitaelimisha kidogo na mwisho kutoa maoni yangu!.
Majibu ya hoja zako 5 za msingi.
- Baada ya waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa, Bernad Membe,kukanusha tuhumu za ndege ya raisi wa China kubeba meno ya tembo,vyombo vyote vya habari leo vimeipa kipaumbele habari hiyo.
- Habari ya Membe kupewa umuhimu wametumia kanuni ya proximity, prominence na big names makes news. Habari ile ilitangazwa na vyombo vya mbali, hivyo tukio likitokea mbali hata kama linatuhusu, due to proximity sio big deal sana kama taarifa ya Membe, habari ile ilipatikania mtaani tuu, taarifa ya Membe imetolewa bungeni kwenye the official channel hivyo taarifa ya Membe ina more prominance kuliko taarifa ya Al Jazeera!, na mtoa taarifa ile ya Aljazera kwa uoudience ya Tanzania, ni no body!, wakati mjibu tuhumu huku kwetu Membe ni somebody!, hivyo bignames makes news!.
Habari za nje zinageuzwa habari za ndani kwa kutumia monitoring!, kila chombo kina vyombo vya habari ambavyo zinaviamini na hivyo hufanya monitoring kupia the the media they can trust!, TBC wanafanya monitoring Xinhua, ITV wanamonitor BBC na CNN, Star TV wana monitor BBC na VOA, Chanel Ten wao wana monitor Sky News!. Habari ile ilitangazwa na Aljazeera!, hakuna news TV bongo ambayo in a monitor Aljazeera, hivyo hakuna kosa kwa TV zetu kutoionyesha hiyo habari ila naungana na wewe kuwa hata kama Aljazeera sio news source kwetu, kufuatia kanusho la Membe, media zetu zilipaswa kuitafuta ile clip na kuiweka as background source!.2. Cha kushangaza ni hivi hivi vyombo vyetu vya habari ambayo vilishindwa kuripoti habari hii na hata Television zetu hazikuthubutu kuonyesha video clip hiyo.
3. Sasa kwa hali hii,hii si ni sawa na kuripoti habari ya upande mmoja tu.Je, huyu mwananchi ambae hajaona hiyo video wala kusikia kwa undani kuhusu hujuma hiyo,atawezaje kupima na kujua nani mkweli na nani muongo?.
- Hili la one sided reportage, nakubaliana na wewe 100%.
4. Nimalizie kwa kusema waandishi na pengine hata wamiliki vyombo vya habari wa kitanzania ni waoga na kwakweli hamuitendei haki taaluma yenu.
- Hili la uoga pia lipo na lipa kwa maeneo mawili: Vyombo vya Habari wa Umma, na Vyombo vya Habari Binafsi. Nkianzia na Vyombo vya habari vya umma, ikiwemo TBC, hivi vinapaswa kuwa Public Media kwa kutanguliza maslahi ya umma, na viko paid by tax payers money kutokea serikali, hivyo "he who pays the piper!, may call the tune!", vyombo vyetu vya umma badala ya kuutumia umma na kutanguliza maslahi ya umma, vimegeuka ni vyombo vya serikali kuitumikia serikali!. Tido alijaribu kidogo, ila sote tunakijua kilichomkuta!. Baada ya kilichomkuta TIDO, Mshana hawezi kufanya kosa lile lile la kulikata tawi alilokalia!. Tukija kwenye vyombo binafsi, vyote vinategemea survival kwa kufanya biashara, mtangazji mkubwa kabisa ni taasisi za umma wadhamini wakubwa ni makampuni ambayo nayo yanaitegemea serikali kufanya biashara. Kifo cha kile kipindi cha "Kiti Moto", kimenifundisha kama serikali haiko happy, wadhamini watakukimbia!. Na hata ikitokea ukadhaminiwa, wenye TV wao wakihisi serikali won't be happy!, hawakubali kupokea kipindi!.
5. Kuripoti habari hii kwa mtindo huu,si uzalendo hata kidogo bali ni "ukanjanja" of the highest order.
- Hili la mwisho la uzalendo na ukanjanja sio kweli na nimeumia kidogo umetutukana media zetu zote kuwa ni kanjanja!. Kwenye news za kimataifa, media zetu zinapaswa kutanguliza uzalendo kwa nchi yetu kwanza, hivyo zikipatikana habari mbaya kuhusu nchi yetu, hatuziripoti, na vivyo hivyo ndivyo wanavyofanya vyombo vya mataifa mbalimbali. Mfano ilipotokea genocide ya Rwanda, CCN walionyesha mutilated bodies za Waafrika zikielea Ziwa Victoria, na kwenye September 11, huna picha ya dead body yoyote ilionyeshwa kwenye TV zao zaidi ya black bags!, hata kwenye vita vya Irak au Afghanistan, inaonyeshwa jinsi majeshi ya wavamizi yanayoteketeza!, lakini wao hawaonyeshi chochote kuhusu vipigo vyao!. Hivyo vyombo vyetu vya habari kutoonyesha "uwongo" wa wenye vivu, ndio uzalendo wenyewe na sio ukanjanja!.
Sisi wengine wenu, intellect ya mtu, unaiona usoni, machoni na anapozungumza, hivyo hata fool kabisa akinyamaza kimya, huwezi kumjua he is a fool mpaka atakapoongea ndio foolishness yake inajulikana!. Membe ni just a fool fulani aliyebahatika kuukwaa u MFA, akiongea, ukimsikiliza na kumtazama usoni, hiyo foolishness yake inaonekana wazi, na wanaoweza kudanganya wengi ni wale majuha, tuliowajaza kwenye lile jumba/mjengo kule Dodoma ambao sijawasikia wakihoji the subject matter ya kadhia hii, zaidi ya kupiga tuu makofi!.
Kwa tunaiojua sheria ya diplomatic bags, tunajua inaratibiwa na The Vienna Convention, host country haiwezi kujua chochote kinachobebwa na diplomatic bags ya nchi nyingine!, hivyo only fools tuu ndio wata believe kanusho la Membe!.
The fact is hata rais wetu anaposafiri, mizigo ya msafara wote hupitia diplomatic bag, kama safari ni kesho, leo jioni watu wote kwenye msafara hupeleka mizigo yao ikulu, mkifika mnaletewa hotelini!. Nakumbuka nikiwa media journalist niliwahi kuwapo kwenye misafara, jamaa wa "Ilala" si wakaniletea "mizigo" yao niwabebe kwa pesa ndefu kweli kweli, kama unapenda pesa!, you can't say no!. Dhamira yangu haikunituma, niliwagomea! wakanicheka kuwa nitakufa masikini!.
Only the fools and the insane ones ndio wanaoweza kukanusha kilichobebwa kwenye diplomatic bag ya nchi isiyo yako!. Kwa wanaokikumbuka kisa cha Umaru Dikko wa Nigeria, kilichochotea mwa 1984 wakati serikali ya kiraia ilipinduliwa siku ya mkesha wa mwaka mpya, mawaziri wengi wa serikali hiyo wakatiwa nguvuni, Dikko aliyekuwa waziri wa usafirishaji alifanikiwa kutorokea London Uingereza. Serikali ya Nigeria ikaomba arudishwa, serikali ya Uingereza ikagoma!. Serikali ya Nigeria ikawakodi makomandoo 3 wa Israel, wakamteka Dikko na kumdunga sindano ya kupoteza fahamu, wakamuweka kwenye box na kulilebel ni diplomatic bag, tayari kusafirishwa kupelekwa Nigeria!, thank to Scotland Yard na anti terrorist squad ya UK, mpango huo ulimbumbulukia airport, serikali ya Uingereza ilipopangua kwa nguvu hiyo parcel, kilichofuatia ni kuvunjika kwa uhusiano wa kibalozi kati ya Nigeria na Uingereza.
Kwa maoni yangu, kanusho la Membe ni just nothing!, lakini kwa jinsi Wachina walivyo wakombozi kwetu, sioni hata kwa nini tusiwakabidhi tuu ile Ivory Room!, wenzetu Wakenya Ivory zikikamatwa zinateketezwa, sisi tukizikamata, tunazihifadhi kule Ivory Room na kila siku zinapungua!, nani anaweza kudai eti rais wetu hajui Ivory huko Ivory Room zinapunguaje?!. Kwa vile Wachina ndio wakombozi wetu, na sisi tunazo Ivory hatuzihitaji lakini tumezihifadhi for what?!, tuwape tuu Wachina wanaozihitaji, tujue moja na sio kuja na haya makanusho ya Kitoto!.
Mabingwa wa diplomasia, tuelimisheni, jee Mhe. Membe kama MFA, anao uwezo wa kujua kilichomo ndani ya "Diplomatic Bag" ya mzigo wa nchi yoyote?!. Kama Waingereza iliwabidi wavunje sheria na kuvunja uhusiano wa kibalozi na Nigeria kisa ni kujua tuu kilichomo ndani ya Diplomatic Bag ya Nigeria, jee huyu Membe wetu, uwezo huo anao?, ameupata wapi?, anawezaje kukanusha kitu ambacho hana uwezo nacho?!.
Na tukianza kudanyanyana hivi sasa, na wadanganyifu hawa, sio tuu wanatudanganya sisi, bali wanalidanya Bunge letu tukufu!, ikiwa hivi ni MFA, danyanya zenyewe ni hizi, hiyo 2015, atakapokuwa ndiye yeye hali itakuwaje?!
"Tusidanganyane kabisa!. kuna watu hawatufai kabisaa!, hata wawe na sura nzuri vipi, na nywele zao nyeusi vipi kwa kupaka kanta ili waonekane vijana ila ndani ni mvi tupu!, huku wakiongea uwongo kwa mapozi mengi mchana kweupe!" Kama hawafai, ni hawafai tuu!.
Paskali
Update 12/05/2023Sikiliza kwa makini hizi clips 2.
- Chinese Officials Allegedly Bought Lots Of Illegal IvoryCiting local traders, a new report alleges Chinese officials bought thousands of kilos of illegal ivory and shipped them in diplomatic bags. Follow Sebastian Martinez ...wn.com 1:44 2 days ago
- Paskali
Bernard Camilus Membe,
Umepigana vita vilivyo vitakatifu,
Imani umeitunza,
Mwendo umeumaliza!.
Bwana alileta
Bwana ametwaa
Jina lake Lihimidiwe
RIP Bernard Cammilus Membe
Paskali