Meli ya Uingereza yalipuliwa na Houthis ilikuwa imebeba mafuta ya ndege

Watajibu nini zaidi ya kushambulia Yemen, wameingia kwenye mtego wa Wayemen, Qatar na Saudia waliwambia msiwashambulie hawa mashambuliizi hayawezi kuwazuia kitu hawa, tunawajua hawa ni wehu wa vita Marekani na Uingereza wakaleta ubabe wa kizamani ndoani imekwama lawama anapewa Iran wanamwambia anawapa makombora, uzuri wa hii vita inapiganiwa baharani😂
I LOVE YEMEN
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom