Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,994
- 32,431
Wanakumbi.
Kumekucha tena bahari nyekundu imechafuka Wayemeni wanapambana na Magaidi Marekani na Uingereza safi sana.
Biden, anaomba msaada China kupambana na Yemen anaulizwa kwa wao wanapigana sababu gani anasema tu hawa ni magaidi China kamwambia basi endelea na vita.
Yule Muhindi wa Uingereza yeye wakati anashambulia Yemen alijitoa ufahamu akasema hii vita aina uhusiano na vita vya Gaza basi wandelee kumlinda Zayuni waone balaa lake.
Meli ya Uingereza iliyogongwa na Houthis imebeba mafuta ya ndege
Waandishi wa habari wa baharini wanasema meli ya Uingereza ya Marlin Luanda inabeba mafuta ya ndege ya Naptha, ambayo yanaweza kuwaka sana.
Iwapo meli hii itazama, itakuwa meli ya kwanza kuzamishwa na mashambulizi ya Yemen
View: https://x.com/megatron_ron/status/1751051387968852170?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Kumekucha tena bahari nyekundu imechafuka Wayemeni wanapambana na Magaidi Marekani na Uingereza safi sana.
Biden, anaomba msaada China kupambana na Yemen anaulizwa kwa wao wanapigana sababu gani anasema tu hawa ni magaidi China kamwambia basi endelea na vita.
Yule Muhindi wa Uingereza yeye wakati anashambulia Yemen alijitoa ufahamu akasema hii vita aina uhusiano na vita vya Gaza basi wandelee kumlinda Zayuni waone balaa lake.
Meli ya Uingereza iliyogongwa na Houthis imebeba mafuta ya ndege
Waandishi wa habari wa baharini wanasema meli ya Uingereza ya Marlin Luanda inabeba mafuta ya ndege ya Naptha, ambayo yanaweza kuwaka sana.
Iwapo meli hii itazama, itakuwa meli ya kwanza kuzamishwa na mashambulizi ya Yemen
View: https://x.com/megatron_ron/status/1751051387968852170?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw