Meli ya MV Skagit yazama


Mkuu taratibu najua katika hali kama hii watu huhamaki na matokeo yake unaweza kuelekeza SHUTUMA kusiko. SUMATRA jurisdication yao mwisho ni Chumbe (kama wapendavyo kusema wa-ZNZ).

SUMATRA hairuhusiwi ku-operate ZNZ. ZNZ kuna chombo kingine kabisa kinaitwa ZMT(?)
 

Watanzania tunazidi kufa kwa uzembe wa wamiliki wa vyombo vya usafiri.huu ni uroho wa kutaka kuingiza tu hesabu bila kufanya service/matengenezo ya vyombo vya usafiri.hata mabasi hali kadhalika.na huko kwingine kuna thred ya kupasuka kwa kioo cha ndege.kweli tanzania ni kichwa cha mwendawazimu
 
Hizi sababu huwa hazibadiliki kila mara, wahusika kwanini wasiadhibiwe ipasavyo, ili iwe funzo kwa wengine?!

kila yakitokea majanga tunachekea viongozi wetu huku watanzania wenzetu wanapoteza maisha au kupata ulemavu wa kudumu tungekomaa na wazembe serikali wajiuzulu wangekuwa careful, wewe subiri utaanza kusikia wanaanza kutoa rambirambi, maelezo chungu nzima,ila kesho mlio dar au zanzibar mngekusanyika ofisini kwa waziri mhusika mkitaka ajiuzulu haraka wangekoma!
 
Leo kweli kulikuwa na upepo mkali mida fulani, cause nguo zangu ziliwahi kukauka
kuna upepo mkali xana leo Pwani ya Dar. kuna uwezekano mkubwa bahari ni chafu.

ni hisia tu. mwenye taarifa zaidi atujuze.
 
Sijawahi serikali inayoua wananchi wake kama hii ya kwetu kwa kuruhusu mimeli mibovu iwe ndo machinjio ya watoto na kinamama kila kukicha
 
Eee Mwenyezi Mungu uturehemu sisi waja wako, hii laana itupishie mbali.... nchi hii imelaaniwa kwa laana kuu!
 
Leo kweli kulikuwa na upepo mkali mida ya saa tano tano, cause nguo zangu ziliwahi kukauka, labda bahari ilitibuka kweli, but kama ni hivyo, hali ya hewa ilionekana haieleweki, si wangezuia meli zisiondoke, but ngoja tutajua ukweli halisi later!
kuna upepo mkali xana leo Pwani ya Dar. kuna uwezekano mkubwa bahari ni chafu.

ni hisia tu. mwenye taarifa zaidi atujuze.
 
Oh! my God watanzania tumemkosea nini Mungu mbona sisi kila siku jama? sijui wakumlaumu mi nani maana ni too much
 
Sijawahi kuona serikali inayoua wananchi wake kama hii ya kwetu kwa kuruhusu mimeli mibovu iwe ndo machinjio ya watoto na kinamama kila kukicha
 
Sijawahi serikali inayoua wananchi wake kama hii ya kwetu kwa kuruhusu mimeli mibovu iwe ndo machinjio ya watoto na kinamama kila kukicha

Mkuu umenena vema lakini umeharibu hapo kwa red. Usiwe biased kiasi hicho, au una uhakika wanaume hawamo?
 
Leo kweli kulikuwa na upepo mkali mida ya saa tano tano, cause nguo zangu ziliwahi kukauka, labda bahari ilitibuka kweli, but kama ni hivyo, hali ya hewa ilionekana haieleweki, si wangezuia meli zisiondoke, but ngoja tutajua ukweli halisi later!

watu wanajadili vitu vya maana kama ubovu wa meli we unatangaza eti nguo zimekauka nani ana nguo?
 
Leo kweli kulikuwa na upepo mkali mida ya saa tano tano, cause nguo zangu ziliwahi kukauka, labda bahari ilitibuka kweli, but kama ni hivyo, hali ya hewa ilionekana haieleweki, si wangezuia meli zisiondoke, but ngoja tutajua ukweli halisi later!

watu wanajadili vitu vya maana kama ubovu wa meli we unatangaza eti nguo zimekauka nani ana nguo? au kama bahari imechafuka basi dunia nzima watu wangezama na maboti
 
Ulaji mwingine huo wa kukusanya rambi rambi
 
watu wanajadili vitu vya maana kama ubovu wa meli we unatangaza eti nguo zimekauka nani ana nguo?
Yeye kakwambia kua kulikua na upepo mkali, sasa tujadili ubovu wa meli kwani sababu ya kuzama ishajulikana? hujawai kusikia meli mpya ikazama kutokana na sababu nyingine? subiri tujue chanzo ndo uanze kulaumu hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…