ONTARIO
JF-Expert Member
- Oct 16, 2013
- 1,885
- 17,018
- Thread starter
- #41
Yani mwanaume mmoja alikuja duniani na kubadilisha kabisa historia ya dunia. Bila Hitler leo hii Marekani isingekuwa superpower nation. Baada wa WW2 marekani aliBoom fasta kutoka kwenye great economic depression na kuwa taifa lenye nguvu zaidi kiuchumi duniani. Marekani alitumia huu mwanya kusaidia kiuchumi nchi zilizokumbwa na maafa ya WW2 kwa malipo/riba kunwa sana.Nakumbuka nikiwa o level miaka ya mwisho ya 80, gazeti la Mfanyakazi, lilitoka na habari. "Hitler Yu Hai" likadadavua kuwa Hitler alikuwa akiishi kwenye moja ya miji huko Argentina. Nakumbuka kipande cha gazeti hilo kilibandikwa kwenye ubao wa matangazo.
Nini faida na hasara za kuwepo kwa Hitler na ww2?
Faida ni.
Kuanzishwa kwa taifa/nchi ya Israel.
Kuanzishwa kwa umoja wa mataifa. Kabla kulikuwa league of nation.
Kuwepa kwa korea mbili. South na West.
German mbili. East and west ambapo walikuja kuungana mwanzoni mwa miaka ya 90.
Hasara.
Vifo, uharibifu wa mali na miundo mbinu.
Maafa aliyoleta Hitler yalisababisha dunia kuja kuwa moja zaidi, kupunguza chuki na uhasama,,kuongeza urafiki kayi ya nchi na nchi, kupunguza oppression na ndipo iliasisiwa Umoja wa Mataifa (UN) kuleta amani ya dunia.