At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,513
- 3,554
Sasa wewe unataka tu mishahara ipande. Ikipanda halafu haulipwi hio hela kuna haja gani..!Kwakuwa hakuna aijuae kesho kwa maana leo unaweza kuwa mzima na kesho ukatangulia mbele za haki au kupata ulemavu wa Kudumu, n.k, ni sahihi kuishi kwa kutegemea matakwa au fadhila za binadamu mwenzako hasa kwa mambo sensitive ya ktaifa kama hili la haki na masilahi ya watumishi wa umma?
Swala la mishahara ya watumishi na mambo mengine katika nchi, kwanini tuyaache yategemee utashi binafsi wa Raisi?
Je, kwa bahati mbaya mwakani tukawa na Raisi mwingine kwasababu yoyote ile kulingana na katiba yetu, na Mei Mosi Raisi huyo akaamu kutongeeza mishahara kwasababu yoyote atayoitoa, watumishi watapaswa tena kusubiri miaka saba ndio masilahi yao yaangaliwe?
Kama ambavyo leo hii Magufuli hayupo, nani ana uhakika mwakani Mama Samia atakuwepo au yeye mwenyewe atakuwepo?
Ukweli ni kwamba, anaweza asiwepo Mama Samia na hata makamu wake au wanaweza kuwepo lakini wote wssiwe fit kukalia hicho kiti.
Kama utadhani mimi nina mawazo mabaya, basi walioandika katiba yetu watakuwa na mawazo mabaya zaidi.
Wakati umefika, mambo ya msingi katika nchi yasiwe ni matakwa binafsi ya Raisi vinginevyo nchi hii na watu wake wataendelea tu kupiga mark time miaka nenda miaka rudi.
Naomba huu unabii usitimie tafadhali kabla ya hiyo 2025! Maana utashangaa na yule Muha naye anaokota dodo chini ya mlimao! Kirahisi tu huku akiwa hajachaguliwa na wenye nchi! Si katiba inamruhusu!!!Leo unaniita mchawi,lakini kesho unaweza kuniita Nabii kumbe ni kanuni tu za Ulimwengu ndio nimezitumia.
Achana basi na hizi akili za kimagufuli ili na wewe uonekane upo kwenye karne ya 21! Kiufupi hakuna uhusiano kati ya kuongeza mishahara na suala la miundombinu!Sasa wewe unataka tu mishahara ipande. Ikipanda halafu haulipwi hio hela kuna haja gani..!
Embu kwanza tuboreshe miundombi u.
Miundombinu bora. Inasaidia kukuza uchumi kwa kasi. Hivyo tukiwa na uchumi imara. Tunaweza kuongeza mishahara hata zaidi ya maradufu.!Achana basi na hizi akili za kimagufuli ili na wewe uonekane upo kwenye karne ya 21! Kiufupi hakuna uhusiano kati ya kuongeza mishahara na suala la miundombinu!
Mbona wakati wa kipindi cha JK, hiyo miundombinu ilijengwa, na wakati huo huo wafanyakazi walipata stahiki zao?Miundombinu bora. Inasaidia kukuza uchumi kwa kasi. Hivyo tukiwa na uchumi imara. Tunaweza kuongeza mishahara hata zaidi ya maradufu.!
Mbona walikuwa wakilalamikia malimbikizo ya miezi kadhaa...? Ilikuwaje..?Mbona wakati wa kipindi cha JK, hiyo miundombinu ilijengwa, na wakati huo huo wafanyakazi walipata stahiki zao?
Acha kupandisha watu hasira kwa kukumbushia mambo ya kipuuzi yaliyo fanywa na magufuli. Ni wakati sasa wa kusahau yaliyopita. Please!!
Ikiwa huyo mtanzania mwenzako amedungwa mimba wewe unadhani umeachwa?Hiyo mimba uliyodungwa huko chato itakutoa roho.
Mama Samia alikuwa makamu wa rais wa Magufuli ,hivi haujui kazi za makamu wa rais?
Katiba haimlazimishi raisi kuongeza mishahara ya watumishi wa umma hivyo msisumbue mama muacheni afanye afanye kazi zake kwa UhuruKwakuwa hakuna aijuae kesho kwa maana leo unaweza kuwa mzima na kesho ukatangulia mbele za haki au kupata ulemavu wa Kudumu, n.k, ni sahihi kuishi kwa kutegemea matakwa au fadhila za binadamu mwenzako hasa kwa mambo sensitive ya ktaifa kama hili la haki na masilahi ya watumishi wa umma?
Swala la mishahara ya watumishi na mambo mengine katika nchi, kwanini tuyaache yategemee utashi binafsi wa Raisi?
Je, kwa bahati mbaya mwakani tukawa na Raisi mwingine kwasababu yoyote ile kulingana na katiba yetu, na Mei Mosi Raisi huyo akaamu kutongeeza mishahara kwasababu yoyote atayoitoa, watumishi watapaswa tena kusubiri miaka saba ndio masilahi yao yaangaliwe?
Kama ambavyo leo hii Magufuli hayupo, nani ana uhakika mwakani Mama Samia atakuwepo au yeye mwenyewe atakuwepo?
Ukweli ni kwamba, anaweza asiwepo Mama Samia na hata makamu wake au wanaweza kuwepo lakini wote wssiwe fit kukalia hicho kiti.
Kama utadhani mimi nina mawazo mabaya, basi walioandika katiba yetu watakuwa na mawazo mabaya zaidi.
Wakati umefika, mambo ya msingi katika nchi yasiwe ni matakwa binafsi ya Raisi vinginevyo nchi hii na watu wake wataendelea tu kupiga mark time miaka nenda miaka rudi.
Dogo tulia. Tunajenga nchi bado. Samia=MagufuliAu nyie ndio mnamuhujumu kwa kumshauri vibaya?
Hiyo mimba uliyodungwa huko chato itakutoa roho.
Mama Samia alikuwa makamu wa rais wa Magufuli ,hivi haujui kazi za makamu wa rais?
Wewe choko unalindwa kuharibu mijadala kwa comment yako hii unayoirudia kila mahali. Hivi nyie mods mna manufaa gani na huyu shoga Kinuju anayevuruga mijadala kwa kuchomekea hii comment yake hii hii kila kwenye mjada?Hiyo mimba uliyodungwa huko chato itakutoa roho.
Mama Samia alikuwa makamu wa rais wa Magufuli ,hivi haujui kazi za makamu wa rais?
SAHIHISHO: Yule ni Mhutu.Naomba huu unabii usitimie tafadhali kabla ya hiyo 2025! Maana utashangaa na yule Muha naye anaokota dodo chini ya mlimao! Kirahisi tu huku akiwa hajachaguliwa na wenye nchi! Si katiba inamruhusu!!!
Wakati mwingine ni bora tukaweka kipindi cha mpito cha siku 90! Badala ya huu utaratibu wa kumjaribu Mwenyezi Mungu.
Kwani wewe unasemaje?Kwakuwa hakuna aijuae kesho kwa maana leo unaweza kuwa mzima na kesho ukatangulia mbele za haki au kupata ulemavu wa Kudumu, n.k, ni sahihi kuishi kwa kutegemea matakwa au fadhila za binadamu mwenzako hasa kwa mambo sensitive ya ktaifa kama hili la haki na masilahi ya watumishi wa umma?
Swala la mishahara ya watumishi na mambo mengine katika nchi, kwanini tuyaache yategemee utashi binafsi wa Raisi?
Je, kwa bahati mbaya mwakani tukawa na Raisi mwingine kwasababu yoyote ile kulingana na katiba yetu, na Mei Mosi Raisi huyo akaamu kutongeeza mishahara kwasababu yoyote atayoitoa, watumishi watapaswa tena kusubiri miaka saba ndio masilahi yao yaangaliwe?
Kama ambavyo leo hii Magufuli hayupo, nani ana uhakika mwakani Mama Samia atakuwepo au yeye mwenyewe atakuwepo?
Ukweli ni kwamba, anaweza asiwepo Mama Samia na hata makamu wake au wanaweza kuwepo lakini wote wasiwe fit kukalia hicho kiti.
Kama utadhani mimi nina mawazo mabaya, basi walioandika katiba yetu watakuwa na mawazo mabaya zaidi.
Wakati umefika, mambo ya msingi katika nchi yasiwe ni matakwa binafsi ya Raisi vinginevyo nchi hii na watu wake wataendelea tu kupiga mark time miaka nenda miaka rudi.