Mei Mosi ya mwakani tukiwa na Rais mwingine na akaja na sababu zake za kutoongeza mshahara,watumishi wa umma watapaswa kusubiri tena?

Kwakuwa hakuna aijuae kesho kwa maana leo unaweza kuwa mzima na kesho ukatangulia mbele za haki au kupata ulemavu wa Kudumu, n.k, ni sahihi kuishi kwa kutegemea matakwa au fadhila za binadamu mwenzako hasa kwa mambo sensitive ya ktaifa kama hili la haki na masilahi ya watumishi wa umma?

Swala la mishahara ya watumishi na mambo mengine katika nchi, kwanini tuyaache yategemee utashi binafsi wa Raisi?

Je, kwa bahati mbaya mwakani tukawa na Raisi mwingine kwasababu yoyote ile kulingana na katiba yetu, na Mei Mosi Raisi huyo akaamu kutongeeza mishahara kwasababu yoyote atayoitoa, watumishi watapaswa tena kusubiri miaka saba ndio masilahi yao yaangaliwe?

Kama ambavyo leo hii Magufuli hayupo, nani ana uhakika mwakani Mama Samia atakuwepo au yeye mwenyewe atakuwepo?

Ukweli ni kwamba, anaweza asiwepo Mama Samia na hata makamu wake au wanaweza kuwepo lakini wote wssiwe fit kukalia hicho kiti.

Kama utadhani mimi nina mawazo mabaya, basi walioandika katiba yetu watakuwa na mawazo mabaya zaidi.

Wakati umefika, mambo ya msingi katika nchi yasiwe ni matakwa binafsi ya Raisi vinginevyo nchi hii na watu wake wataendelea tu kupiga mark time miaka nenda miaka rudi.
Sasa wewe unataka tu mishahara ipande. Ikipanda halafu haulipwi hio hela kuna haja gani..!

Embu kwanza tuboreshe miundombi u.
 
Leo unaniita mchawi,lakini kesho unaweza kuniita Nabii kumbe ni kanuni tu za Ulimwengu ndio nimezitumia.
Naomba huu unabii usitimie tafadhali kabla ya hiyo 2025! Maana utashangaa na yule Muha naye anaokota dodo chini ya mlimao! Kirahisi tu huku akiwa hajachaguliwa na wenye nchi! Si katiba inamruhusu!!!

Wakati mwingine ni bora tukaweka kipindi cha mpito cha siku 90! Badala ya huu utaratibu wa kumjaribu Mwenyezi Mungu.
 
Achana basi na hizi akili za kimagufuli ili na wewe uonekane upo kwenye karne ya 21! Kiufupi hakuna uhusiano kati ya kuongeza mishahara na suala la miundombinu!
Miundombinu bora. Inasaidia kukuza uchumi kwa kasi. Hivyo tukiwa na uchumi imara. Tunaweza kuongeza mishahara hata zaidi ya maradufu.!
 
Aongeze mshahara wakati hajui makusanyo halisi ya mwaka mzima ni kiasi gani au unawasikiliza wale wa BOT wanaosema kila siku tuna dollar za kutosha huku mafuta ya kupikia na sukari zikitutoa jasho swala la uongozi sio rahisi kama unavyodhania Mzee...
 
Miundombinu bora. Inasaidia kukuza uchumi kwa kasi. Hivyo tukiwa na uchumi imara. Tunaweza kuongeza mishahara hata zaidi ya maradufu.!
Mbona wakati wa kipindi cha JK, hiyo miundombinu ilijengwa, na wakati huo huo wafanyakazi walipata stahiki zao?

Acha kupandisha watu hasira kwa kukumbushia mambo ya kipuuzi yaliyo fanywa na magufuli. Ni wakati sasa wa kusahau yaliyopita. Please!!
 
Mbona wakati wa kipindi cha JK, hiyo miundombinu ilijengwa, na wakati huo huo wafanyakazi walipata stahiki zao?

Acha kupandisha watu hasira kwa kukumbushia mambo ya kipuuzi yaliyo fanywa na magufuli. Ni wakati sasa wa kusahau yaliyopita. Please!!
Mbona walikuwa wakilalamikia malimbikizo ya miezi kadhaa...? Ilikuwaje..?
 
Kwakuwa hakuna aijuae kesho kwa maana leo unaweza kuwa mzima na kesho ukatangulia mbele za haki au kupata ulemavu wa Kudumu, n.k, ni sahihi kuishi kwa kutegemea matakwa au fadhila za binadamu mwenzako hasa kwa mambo sensitive ya ktaifa kama hili la haki na masilahi ya watumishi wa umma?

Swala la mishahara ya watumishi na mambo mengine katika nchi, kwanini tuyaache yategemee utashi binafsi wa Raisi?

Je, kwa bahati mbaya mwakani tukawa na Raisi mwingine kwasababu yoyote ile kulingana na katiba yetu, na Mei Mosi Raisi huyo akaamu kutongeeza mishahara kwasababu yoyote atayoitoa, watumishi watapaswa tena kusubiri miaka saba ndio masilahi yao yaangaliwe?

Kama ambavyo leo hii Magufuli hayupo, nani ana uhakika mwakani Mama Samia atakuwepo au yeye mwenyewe atakuwepo?

Ukweli ni kwamba, anaweza asiwepo Mama Samia na hata makamu wake au wanaweza kuwepo lakini wote wssiwe fit kukalia hicho kiti.

Kama utadhani mimi nina mawazo mabaya, basi walioandika katiba yetu watakuwa na mawazo mabaya zaidi.

Wakati umefika, mambo ya msingi katika nchi yasiwe ni matakwa binafsi ya Raisi vinginevyo nchi hii na watu wake wataendelea tu kupiga mark time miaka nenda miaka rudi.
Katiba haimlazimishi raisi kuongeza mishahara ya watumishi wa umma hivyo msisumbue mama muacheni afanye afanye kazi zake kwa Uhuru

Kama JPM alishindwa kuongeza mishahara kwa muda wa miaka 5 vipi mama aweze kuongeza kwa muda wa miezi 2
 
Sasa hayo siyo majibu ya mtu muungwana. Unachafua hewa kabla ya kutoa hoja. Soma vizuri mada za huyu jamaa. Kuna mengi ameandika yametokea baadaye. Hata Lema walimfunga lakini ndicho kilichotokea. Mungu katupa maono tofauti hivyo ni kosa kupuza maono ya wengine. Wewe kama huamini soma na upite zako lakini kumkashifu mtu si ungwana
Hiyo mimba uliyodungwa huko chato itakutoa roho.

Mama Samia alikuwa makamu wa rais wa Magufuli ,hivi haujui kazi za makamu wa rais?
 
Hiyo mimba uliyodungwa huko chato itakutoa roho.

Mama Samia alikuwa makamu wa rais wa Magufuli ,hivi haujui kazi za makamu wa rais?
Wewe choko unalindwa kuharibu mijadala kwa comment yako hii unayoirudia kila mahali. Hivi nyie mods mna manufaa gani na huyu shoga Kinuju anayevuruga mijadala kwa kuchomekea hii comment yake hii hii kila kwenye mjada?
 
Naomba huu unabii usitimie tafadhali kabla ya hiyo 2025! Maana utashangaa na yule Muha naye anaokota dodo chini ya mlimao! Kirahisi tu huku akiwa hajachaguliwa na wenye nchi! Si katiba inamruhusu!!!

Wakati mwingine ni bora tukaweka kipindi cha mpito cha siku 90! Badala ya huu utaratibu wa kumjaribu Mwenyezi Mungu.
SAHIHISHO: Yule ni Mhutu.
 
Mimi nadhani tusimzungumzie rais kama rais binafsi tuzungumzie mfumo mzima hasa wa chama! Chama kilichopo madarakani si ni kilekile? Je, kinaweza kujitenga na ahadi za rais ambaye ni mwenyekiti wa chama tawala? Unajua tunawapa unafuu CCM kwa kuwaacha katika hili la mishahara! Na wao wametulia tuli kama hawapo vile kw sababu wanajua hili ni gumu! Je, ahadi za hiki chama kwa wananchi hazina mwendelezo? Chama kinatuchezea akili kwa kutaka tuamini kwamba tunaanza upya na rais mpya wakati chama ni kile kile!

Tukibane chama kwenye hili! Kwa nini wanatoa ahadi za uongo kwa wafanyakazi? Ccm wasijifanye haliwahusu hili. Ni miaka sita sasa mnapiga porojo kwenye hili!
 
Kwakuwa hakuna aijuae kesho kwa maana leo unaweza kuwa mzima na kesho ukatangulia mbele za haki au kupata ulemavu wa Kudumu, n.k, ni sahihi kuishi kwa kutegemea matakwa au fadhila za binadamu mwenzako hasa kwa mambo sensitive ya ktaifa kama hili la haki na masilahi ya watumishi wa umma?

Swala la mishahara ya watumishi na mambo mengine katika nchi, kwanini tuyaache yategemee utashi binafsi wa Raisi?

Je, kwa bahati mbaya mwakani tukawa na Raisi mwingine kwasababu yoyote ile kulingana na katiba yetu, na Mei Mosi Raisi huyo akaamu kutongeeza mishahara kwasababu yoyote atayoitoa, watumishi watapaswa tena kusubiri miaka saba ndio masilahi yao yaangaliwe?

Kama ambavyo leo hii Magufuli hayupo, nani ana uhakika mwakani Mama Samia atakuwepo au yeye mwenyewe atakuwepo?

Ukweli ni kwamba, anaweza asiwepo Mama Samia na hata makamu wake au wanaweza kuwepo lakini wote wasiwe fit kukalia hicho kiti.

Kama utadhani mimi nina mawazo mabaya, basi walioandika katiba yetu watakuwa na mawazo mabaya zaidi.

Wakati umefika, mambo ya msingi katika nchi yasiwe ni matakwa binafsi ya Raisi vinginevyo nchi hii na watu wake wataendelea tu kupiga mark time miaka nenda miaka rudi.
Kwani wewe unasemaje?
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom