Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,153
- 15,607
Atawazidishia kula rushwa,hakuna namna nyengine na rushwa itawakoma maana hakuna namna yoyote itakayomfanya mfanyakazi wa sekta yoyote ktk nchi hii kutokupokea rushwa.
Shida zote anazo yeye,deni la mkopo wa elimu,deni la Vitz sijui Passo huko vijijini nako kuna wazazi wanamtegemea madogo nao wanategemea mkubwa awasomeshe na mshahara wenyewe ndo huo huo miaka rudi miaka nenda.
Poleni sana ndugu zangu ila mkipata fursa na nyie pigeni maana hakuna serikali itakuja chini ya ccm iseme imeboresha maslahi yenu never ever!!!
Shida zote anazo yeye,deni la mkopo wa elimu,deni la Vitz sijui Passo huko vijijini nako kuna wazazi wanamtegemea madogo nao wanategemea mkubwa awasomeshe na mshahara wenyewe ndo huo huo miaka rudi miaka nenda.
Poleni sana ndugu zangu ila mkipata fursa na nyie pigeni maana hakuna serikali itakuja chini ya ccm iseme imeboresha maslahi yenu never ever!!!