There's no opinions on number/statistical information.Ufafanuzi wako hauwezi kueleweka.Nimekufafanulia
There's no opinions on number/statistical information.Ufafanuzi wako hauwezi kueleweka.Nimekufafanulia
Nimeshangaaaaaaaaaa!!!!Mh. rais akihutubia kuutambua mchango wa sekta binafsi, anasema iliajiri wafanyakazi zaidi ya milioni mbili, huku mpaka kufika sasa ndani ya utawala wake sekta binafsi zimeongeza ajira zaidi ya laki5..... najiuliza, wale wafanyakazi wa migodini waliotimuliwa huko ACACIA na kwingineko enzi za makinikia, wafanyakazi waliopunguzwa NSSF, BAKHRESA GROUP, kiwanda cha MO cha mafuta ghafi kilichofungwa n.k hawa wafanyakazi wanapungua au wanaongezeka????? Hizi data anazotoa mheshimiwa sidhani kama zinaendana na hali halisi mtaani.
Ni chama cha wafanyakazi au?chama cha demokrasia na maendeleo
Kuishi kote Tz Bado hujamwelewa JIWE????Mh. rais akihutubia kuutambua mchango wa sekta binafsi, anasema iliajiri wafanyakazi zaidi ya milioni mbili, huku mpaka kufika sasa ndani ya utawala wake sekta binafsi zimeongeza ajira zaidi ya laki5..... najiuliza, wale wafanyakazi wa migodini waliotimuliwa huko ACACIA na kwingineko enzi za makinikia, wafanyakazi waliopunguzwa NSSF, BAKHRESA GROUP, kiwanda cha MO cha mafuta ghafi kilichofungwa n.k hawa wafanyakazi wanapungua au wanaongezeka????? Hizi data anazotoa mheshimiwa sidhani kama zinaendana na hali halisi mtaani.
Safi sana hii, nimeipenda ila inaudhi sana pale serikali inapotumia nguvu nyingi kuyazuia badala ya kuwalinda waandamanaji.Waajiri tunawataka wafanyakazi kutekeleza kazi wa uadilifu ns bidii na kujiepusha na rushwa. Tunalojukumu la kushirikiana na serikali ili kuleta maandamano.
Unashindwaje kumuelewa malaika?Mh. rais akihutubia kuutambua mchango wa sekta binafsi, anasema iliajiri wafanyakazi zaidi ya milioni mbili, huku mpaka kufika sasa ndani ya utawala wake sekta binafsi zimeongeza ajira zaidi ya laki5..... najiuliza, wale wafanyakazi wa migodini waliotimuliwa huko ACACIA na kwingineko enzi za makinikia, wafanyakazi waliopunguzwa NSSF, BAKHRESA GROUP, kiwanda cha MO cha mafuta ghafi kilichofungwa n.k hawa wafanyakazi wanapungua au wanaongezeka????? Hizi data anazotoa mheshimiwa sidhani kama zinaendana na hali halisi mtaani.
Watumishi wanataka kusikia ameongeza mshahara kwa asilimia ngapi, sio mambo ya barabara, reli na porojo zingine. Na kama hakuna kitu amalize kuongea aondoke zake. Aliwaahidi mwenyewe, leo anakuja na sababu za ajabu ajabu.Mimi nafikiri wewe ndo hutaki kuyasikia,poor dady
Anajitekenya then anachekaanajifurahisha yeye na umati wake
Wamemuimba manyimbo ya kumsifia wee.huku anakoelekea ameshawachana live watumishi hakuna ongezeko la mshahara... WAFANYAKAZI WANADHIHAKIWA HAPA