Mei Mosi 2018: Rais Magufuli atapandisha Mishahara miradi mikubwa ya Serikali ikikamilika, Mwaka jana alinukuliwa Vibaya

Quantify your opinion...
Mwaka jana walipita kwa muda gani...na mwaka huu wamepita kwa muda gani?
Kipindi cha Nyerere walipita kwa muda gani?

Haraka haraka ni dakika au muda kiasi gani?
Wewe umejibu hoja gani hapo?
 
usimwamishe mtumishi bila kulipa lakini baadaye anazunguka na kuwaambia waamisheni tu
 
Mie hta nikisikia sauti ya mkulu napata na usingizi si kma ku tapika cjawahi kumuelewa hata cku moja tangu aingie ma darakani
 
Hili neno TUTALIFANYIA KAZI toka kwa viongozi wa srikali huwa linakera sana,kama vile serikalini hakuna wataalamu wa kutathmini mambo na kuyashughulikia ndani ya wakati kabla hayajawa shida kwa wananchi wake
 
Hivi ndivyo anavyowachota watu akili!!

Wewe unaefuta barua za promotion za wafanyakazi na kuwafanya wapoteze haki zao una tofauti gani na hao wakurugenzi?

Wewe unaeshindwa kuongeza mishahara ya wafanyakazi kwa miaka 3 una tofauti gani na hao wakurugenzi wanaohamisha watumishi bila kuwalipa haki zao kwa wakati?

Wenye kujielewa wataguna, wenye akili za kushikiwa watashangilia!
 
Nimejibu ' Hoja ' yako hasa juu ya kile ulichokiuliza na narudia tena kusema kwamba hicho ulichokiuliza hasa yale ' Mabango ' kupitishwa haraka kama ulivyosema ungekuwa angalau tu umepata hata a, b. c's za mambo ya ' Itifaki ' ya Rais wala usingepata nalo tabu hivi. Siku zingine usiwe unakimbilia kunijibu kwa hasira au kunikasirikia bali jaribu tu kuchukuwa na kujifunza yale ambayo kidogo nami najitahidi ' Kushea ' nawe kuhusiana na ' issues ' mbalimbali. Hayo ' Mafumbo ' yako ya Uswahili wako sijui ya Siafu mara nini hayanihusu sana ila ni imani yangu kuna kitu umejifunza juu ya niliyokuambia. Rais hajiongozi Yeye bali anongozwa na ' Itifaki ' ambayo inajumuisha mambo mengi sana ya msingi ikiwemo kuanzia Ratiba zake, Utaratibu mzima wa Siku na Tukio lililopo lakini kubwa suala zima la Usalama huwa linachukua nafasi kubwa sana. Naomba niishie hapa tafadhali.
Unaposema nisikimbilie kukujibu kwa...au kwa...maana yake unanitisha sasa! unanitishia....:) unanitishi nini mkuu, kunifata na Noah? kwamba umesoma sana kuliko wengine? au kwamba unanipangia cha kuandika hapa JamiiForums?
 
Hivi TUCTA hawawez kualika mgeni rasmi mwingine kwenye hizi shughuli kitaifa..... Kwa miaka kadhaa sasa viongozi wa serikali wanatoa porojo tu.....
 
Back
Top Bottom