PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Alvin Walter Makundi ni kijana mdogo wa Kitanzania anayeishi na wazazi wake nchini Singapore. Akiwa na umri wa miaka 14 na mwanafunzi wa kidato cha pili huko Singapore, tayari ameshatumbukiza jina lake katika orodha ya wataalamu wa application katika moja ya makampuni makubwa duniani ya kutengeneza simu za mkononi ya NOKIA, ambapo anatengeneza applications ambazo anazituma katika kampuni hiyo ambayo nayo bila hiana huitumia. Kwa idhini ya mama yake. Msikilize.
MEET SINGAPORE-BASED TANZANIAN IT WHIZZ KID ALVIN - YouTube
MEET SINGAPORE-BASED TANZANIAN IT WHIZZ KID ALVIN - YouTube