Meet Apple M1 Ultra

Meet Apple M1 Ultra

Ana haki ya kuuza bei anayotaka maana ni bidhaa ya kwake, mteja ndo ataamua
Na kama hujui watu wengi wanaonunua bidhaa za Apple ni ubora wa ecosystem yao tu, hebu fikiria kitu kama continuity vitu vidogo vidogo unamalizana navyo pasipo tabu
Kwa hio unahisi wakianza kuuza M1 ultra kwa Oems ghafla tu wanafunzi Udom na udsm wataanza kumiliki laptop za milioni 5 mpaka 20.
 
Kwa hio unahisi wakianza kuuza M1 ultra kwa Oems ghafla tu wanafunzi Udom na udsm wataanza kumiliki laptop za milioni 5 mpaka 20.
Mkuu wanafunzi wengi hata pcs wanatumia pcs cheap tu za lak 4, 3 tene refurbished unakuta mtu mpaka sasa anatumia dell d620
 
Mkuu wanafunzi wengi hata pcs wanatumia pcs cheap tu za lak 4, 3 tene refurbished unakuta mtu mpaka sasa anatumia dell d620
Ndio exactly point yangu, kampuni mbili tofauti zenye malengo tofauti.

Kwenye mambo ya semiconductor kuna kitu wanaita yield, inapotengenezwa wafer moja sio die zote zinatoka perfect.

Mfano i7 ya Laptop ina Core 4 thread 8, ikitokea core moja haifanyi kazi wana disable core 2 inakuwa i3.

Ndio maana unaona i3 ama pentium size ya processor ni kama i7 ila ina mambo machache.

Ndio maana unapata hizo laptop za Bei rahisi.

Kwenye simu ama Apple M1 zenyewe ni soc. Yield ikiwa mbaya ni hasara n ni ngumu ku reuse same wafer.
 
Kwa hio unahisi wakianza kuuza M1 ultra kwa Oems ghafla tu wanafunzi Udom na udsm wataanza kumiliki laptop za milioni 5 mpaka 20.
M1 ultra was made for professionals in mind not for students, wanafunzi wao watakomaa na MacBook Air and still powerful enough than most of intel pc there
 
M1 ultra was made for professionals in mind not for students, wanafunzi wao watakomaa na MacBook Air and still powerful enough than most of intel pc there
So unaamini wanafunzi wanaweza ku Afford machine za Milioni 2 kupanda.

Na si wanafunzi wote wanataka Macbook Air kuna wanafunzi pro pia, kwenye elimu yao wanahitaji machine za ku render ama za Cad etc.

Na for sure i7 na i5 za alderlake zina nguvu kushinda m1, ambacho sijui ni i3 tu za alderlake, maana bado sinaona reviews zake.
 
So unaamini wanafunzi wanaweza ku Afford machine za Milioni 2 kupanda.

Na si wanafunzi wote wanataka Macbook Air kuna wanafunzi pro pia, kwenye elimu yao wanahitaji machine za ku render ama za Cad etc.

Na for sure i7 na i5 za alderlake zina nguvu kushinda m1, ambacho sijui ni i3 tu za alderlake, maana bado sinaona reviews zake.
Hizo PC unazotaja hakuna inayouzwa chini ya 2M hapa bongo ikiwa brand new.

Nilimpeleka mtu Laptop City akataka achukue core i7 bei inaanzia 3M.

Wewe hizo za chini ya 2M unatoa wapi?

Na mwingine nipo nae ofisi moja amechukua pc core i7 gen 10 amenunua 2.8M.

Hizo bei zako ni unrealistic. Hazipo na hakuna pa kuzipata.
 
Hizo PC unazotaja hakuna inayouzwa chini ya 2M hapa bongo ikiwa brand new.

Nilimpeleka mtu Laptop City akataka achukue core i7 bei inaanzia 3M.

Wewe hizo za chini ya 2M unatoa wapi?

Na mwingine nipo nae ofisi moja amechukua pc core i7 gen 10 amenunua 2.8M.

Hizo bei zako ni unrealistic. Hazipo na hakuna pa kuzipata.
Kwa logic yako mkuu ya kutumia laptop city kama benchmark ya Bei


Macbook pro hio tena ya intel ambayo inapatikana kama $2200 kwenye masoko mengi ulimwenguni inauzwa milioni 8 laptop city.

Hio bei unaenda Dubai unakaa siku kadhaa unanunua laptop unarudi na Change inabaki.

Angalia Avechi kenya bei

Hapo i3 ni around laki 9 na i5 around 1.3m mpaka 1.5m gen za kisasa ya 10 ama 11 na iris Graphics.

Nimekupa Avechi sababu ndio naweza kukuthibitishia hapa, ila humu jukwaani hizo i3 za gen ya 10 tumei discuss sana na wengi wanapata kwa hio bei na i5 definetely unapata pia kwa around 1.3m. Capricon, laptop city na maduka mengine makubwa wana Vitu vingi na rare ila bei zao almost ni double ya Bei halisi.
 
So unaamini wanafunzi wanaweza ku Afford machine za Milioni 2 kupanda.

Na si wanafunzi wote wanataka Macbook Air kuna wanafunzi pro pia, kwenye elimu yao wanahitaji machine za ku render ama za Cad etc.

Na for sure i7 na i5 za alderlake zina nguvu kushinda m1, ambacho sijui ni i3 tu za alderlake, maana bado sinaona reviews zake.
Mkuu, hata sielewi unatetea nini!? Maana unajichanganya sana, mashine gani ya core i5 au i7 ambayo ni chini ya 2M ? Au unazungumzia used one!? Halafu unaposema core i5 na i7 zina nguvu kuliko M1 hiyo umeitoa wapi au based on your review!? Najua upo hapa kumdefend intel lakini punguza mahaba ongea kwa uhalisia
 
Kwa logic yako mkuu ya kutumia laptop city kama benchmark ya Bei


Macbook pro hio tena ya intel ambayo inapatikana kama $2200 kwenye masoko mengi ulimwenguni inauzwa milioni 8 laptop city.

Hio bei unaenda Dubai unakaa siku kadhaa unanunua laptop unarudi na Change inabaki.

Angalia Avechi kenya bei

Hapo i3 ni around laki 9 na i5 around 1.3m mpaka 1.5m gen za kisasa ya 10 ama 11 na iris Graphics.

Nimekupa Avechi sababu ndio naweza kukuthibitishia hapa, ila humu jukwaani hizo i3 za gen ya 10 tumei discuss sana na wengi wanapata kwa hio bei na i5 definetely unapata pia kwa around 1.3m. Capricon, laptop city na maduka mengine makubwa wana Vitu vingi na rare ila bei zao almost ni double ya Bei halisi.
Unaweza kupata kwa hiyo hela labda pale kariakoo zile used lakini sio mpya na may be sijui maduka wanakouza mpya kwa bei hiyo hebu tulengeshane huenda mi nimechelewa mjini
 
10nm ya Intel ni superior kuliko 7nm ya TSMC, ila 5nm ya TSMC ni superior kwa 10nm ya Intel.

Hivyo si kweli kwamba intel yupo 5 year Behind just one generation.

Hivyo sitashangaa 7nm ya intel ikiwa sawa na 3nm ya Tsmc.
hapo intel ndo huwa anawapiga na kitu kizito tsmc
 
Mkuu, hata sielewi unatetea nini!? Maana unajichanganya sana, mashine gani ya core i5 au i7 ambayo ni chini ya 2M ? Au unazungumzia used one!? Halafu unaposema core i5 na i7 zina nguvu kuliko M1 hiyo umeitoa wapi au based on your review!? Najua upo hapa kumdefend intel lakini punguza mahaba ongea kwa uhalisia
not just M1, Bali m1 pro which cost twice ya hio M1 na link nilitoa kabla na nakuekea tena

na kusema hupati machine ya i5 kwa chini ya milioni 2 ni kuhangaishana tu, zimejaa kibao kuanzia online mpaka mitaani

hio hapo i5 11th gen 12gb ram na 512gb ssd kwa 1.7m ukitaka za standard 256gb ssd na 8gb ram they are even cheaper.
 
Unaweza kupata kwa hiyo hela labda pale kariakoo zile used lakini sio mpya na may be sijui maduka wanakouza mpya kwa bei hiyo hebu tulengeshane huenda mi nimechelewa mjini
there

na kama una mkwanja wa milioni kadhaa chukua laptop Amazon tu, shipping ya dola 100 its nothing linapokuja kwenye bidhaa ya milioni 2 kupanda, unasave hela nyingi.
 
not just M1, Bali m1 pro which cost twice ya hio M1 na link nilitoa kabla na nakuekea tena

na kusema hupati machine ya i5 kwa chini ya milioni 2 ni kuhangaishana tu, zimejaa kibao kuanzia online mpaka mitaani

hio hapo i5 11th gen 12gb ram na 512gb ssd kwa 1.7m ukitaka za standard 256gb ssd na 8gb ram they are even cheaper.
Ndo nimekwambia share nasi hizo online na mitaani na sisi tutafute hizo laptop kabla hatujachelewa
 
there

na kama una mkwanja wa milioni kadhaa chukua laptop Amazon tu, shipping ya dola 100 its nothing linapokuja kwenye bidhaa ya milioni 2 kupanda, unasave hela nyingi.
Ulielewa kweli hiyo comment uliyoniquote!?
 
not just M1, Bali m1 pro which cost twice ya hio M1 na link nilitoa kabla na nakuekea tena

na kusema hupati machine ya i5 kwa chini ya milioni 2 ni kuhangaishana tu, zimejaa kibao kuanzia online mpaka mitaani

hio hapo i5 11th gen 12gb ram na 512gb ssd kwa 1.7m ukitaka za standard 256gb ssd na 8gb ram they are even cheaper.
Hizi huwa ni used ila ni refurbished na kama hujui device ambazo ni used na refurbished basi utaona refurbished ni new, hii ni kama biashara ya simu za iPhone pale makumbusho tu
 
Hizi huwa ni used ila ni refurbished na kama hujui device ambazo ni used na refurbished basi utaona refurbished ni new, hii ni kama biashara ya simu za iPhone pale makumbusho tu
We ni mteja safi sana, wafanyabiashara wengi watakupenda ili wakuekee faida kubwa.

Ideapad as of now Amazon ni dola $430, hio 1.7m niliokuekea bado mtu kakuekea Faida ya kutosha, ila wewe unasema huwezi pata mpya kwa hio bei?

Amazon product ASIN B09BG841VC
Laptop si kama refurb za makumbusho ukiambiwa mpya ni mpya fuata Utaratibu chukua warranty ya manufacture na details nyengine muhimu.
 
Kwa logic yako mkuu ya kutumia laptop city kama benchmark ya Bei


Macbook pro hio tena ya intel ambayo inapatikana kama $2200 kwenye masoko mengi ulimwenguni inauzwa milioni 8 laptop city.

Hio bei unaenda Dubai unakaa siku kadhaa unanunua laptop unarudi na Change inabaki.

Angalia Avechi kenya bei

Hapo i3 ni around laki 9 na i5 around 1.3m mpaka 1.5m gen za kisasa ya 10 ama 11 na iris Graphics.

Nimekupa Avechi sababu ndio naweza kukuthibitishia hapa, ila humu jukwaani hizo i3 za gen ya 10 tumei discuss sana na wengi wanapata kwa hio bei na i5 definetely unapata pia kwa around 1.3m. Capricon, laptop city na maduka mengine makubwa wana Vitu vingi na rare ila bei zao almost ni double ya Bei halisi.
Bei ninazoongelea nyingi ni za maduka ya mjini.

Dell & hp brand new hupati kwa chini ya 2M kwa core i5 & i7.

Hata wale authorized dealers kama reddot, hawakupi bei ya chini ya 2M.
 
Bei ninazoongelea nyingi ni za maduka ya mjini.

Dell & hp brand new hupati kwa chini ya 2M kwa core i5 & i7.

Hata wale authorized dealers kama reddot, hawakupi bei ya chini ya 2M.
Mkuu nimetoa link ya 1.6-1.7m mjini kisutu lenovo, ipo juu hapo.

Kuna maduka kibao mjini nimewahi zunguka around 1.3m mpaka 1.5m i5 unapata.

Issue nyie mnataka kuforce maduka fulani.

Nyengine hii hapa Capricon duka kubwa tu mjini 1.3 mpaka 1.4m

 
Back
Top Bottom