Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,157
- 31,334
Sawa mkuu maana haya mambo siko deep sana kwenye kuyajua.Ila mkuu intel na Tsmc wanahesabu tofauti sababu ya intel inaitwa 10nm na Tsmc ni 7nm haimaanishi ya tsmc ni superior. 10nm ya intel ni superior kidogo kwa 7nm ya TSMC na na 5nm ya TSMC ndio imepita 10nm ya Intel. Hivyo 7nm ya Intel inaweza kuwa on par with 5nm ama hata 3nm ya Tsmc.
Hii size ya transistor na node density
![]()
Source hapa
![]()
TSMC 7nm HD and HP Cells, 2nd Gen 7nm, And The Snapdragon 855 DTCO
Update and analysis of TSMC 7-nanometer node low-power and high-performance cells, 2nd generation 7nm, and the design technology co-optimization (DTCO) effort that went into the Snapdragon 855 SoC.fuse.wikichip.org
Na hata Hio 7nm na 5nm ya Tsmc bado intel ameonesha uwezo wa process yake ku scale.
Mpaka sasa M1 ya Apple na Ryzen za Amd hazina uwezo wa kuscale vizuri na power, tutumie graph la juu
![]()
Hapo i7 12700H katika 35W imeanza vizuri na ryzen 5900H wote wapo Around 10k mpaka 12k kwenye cinebench score, the more zinavyotumia umeme zaidi unaona zinavyoachana ukifika 75W hapo tayari Intel amefika zaidi ya 16000 na Amd yupo chini ya 14,000 na Amd kaishia hapo, Intel anaendelea zaidi hadi karibia watts 100 na score karibia 20,000.
Hivyo hio process node si cha mtoto mkuu, na cpu za Alderlake zinakuja na power level configuration kwenye Bios means kilaptop chako cha bei rahisi siku una mishe mishe unaset power level 1 inakula umeme mdogo na perfomance ya kawaida siku upo na kazi ya maana unaseti power level 2 inakula umeme zaidi na perfomance kubwa.
Ila nikizurura huko mtandaoni kwenye magadget reviewers naona almost wote wanaisifia M chips.
Mkbh anakwambia anakuja replace mic mini pro na zile alizonazo hapo studio.
Japokuwa alikili kuwa sifa alizotoa apple na kwakutumia benchmark zake so anasubiri kufanya testing na matokeo ya external sources.