Meditation sio kwa waamini....

Meditation sio kwa waamini....

Leo ndio nimeuona mharadali kwa mara ya kwanza.
Kumbe unambego ndogo kukiko mbegu ya ulezi.
Je hapa Tanzania miharadali inapatikana wapi ?
 
Kuna wale wafia dini lakini mim nitafia katka meditation kwa levo nilio fikia Mimi huwezi nishauli kwa chochote kilee and now naweza kuku fundisha wewe ingawa ndo ulinipa mwongozoo; naandika nikiwa na uruma tere moyoni mwangu
 
Nakubaliana na wewe Mshana Jr . Na hii ni baada ya kumsikia mwalimu mmoja wa meditation akisema If you want to meditate you have to clean first all the nonsense which have been put in your head by the teachings of Muhammad and Jesus.
 
nimeanza kuijua meditation siku niliposoma andiko la mshana hapa jamiiforums, nilitamani kujua hii kitu kwa undani sana nilianza mwenyewe kufanya practise mwenyewe hila ilikua ni ngumu sana, mda mwingi nilikua naishia kulala huku nmeconcentrate, hila japo nahisi sijafika hatua yoyote hile kuna kitu nahisi kipo strange , zamani nilipokua mtoto kitu kikitaka kutokea nilikua najua, au nikisema neno lolote lazima kitokee but nowadays sijui hiyo nguvu imepotelea wapi. lakini tokea nimeanza kuganya meditation japo sijafika hatua yoyote lakini nimekua na hisia kali sana, mfano nikitaka kwenda sehem flani roho inakua inagoma kabisa hila nikienda nakutana na kitu ambacho najilaumu sana kwanini hata nilienda hyo sehemu..nimekua na hisia na vitu mbalimbali .


kama kuna mtu yupo kilimanjaro anaelewa hayo mambo ya meditation nataka muongozo wake nataka nifike mbali kwa swala hili, au kama unajua temple yoyote wanaotoa hayo mafunzo aweze kusema.

opondo
 
Naombeni mwalim wa hii kitu
Hatuna walimu huru wa pure meditation... Wengi wako associated na sect za dini zisizomtambua Mungu... Hivyo ukimpata mmoja angalia cha kuchukua na angalia cha kuacha... Pale Mindu street Upanga kuna temple ina Sunday meditation retreats unaweza kwenda hapo
 
Ni mbaya sana kwakuwa jinsi unavyozidi kuwa deep ndio unazidi kugain supernatural powers na ndio mwanzo wa Kuanza kuhoji uwepo na uwezo wa Mungu

Hapana ila ndio utajua uwepo wa Mungu kwa njia iliyo sahihi . Read John 8:32 kwa kuongezea
Meditation is way of to divine communication , refer Psalm 46:10 - Be still and know that I'm GOD, It is through meditation that we know the Kingdom of GOD is within us , refer to Luke 17:20 .
The opening of Third EYE AJNA CHAKRA was referred by JESUS in the Gospel Mathew 6:22- The light of the body is the eye, if therefore thine eye be single thy whole body shall be full of light . Kwa hiyo basi Meditation haikatazwi kwenye dini ila inasisitizwa kwa mkristo wa kweli kuifanya.
 
Self realization ni kitu kikubwa na muhimu sana... Kujitambua na huu ndio wokovu katika ukristo.... Kila kitu chini ya jua unaona ni ubatili mtupu na unajiona kabisa wewe sio sehemu yake kwakuwa ushatakasika hivyo havikuhusu wala kukusumbua
Mwanajamii mwenzetu mmoja aliomba nimfundishe meditation ya kupata UTAJIRI wa Mali.... Alikuja kucheka mno alipokuja kugundua kuwa mwanzo wa meditation ndio mwanzo wa kujinasua na dunia ya matamanio....
Matamanio ya kupata pesa nyingi
Matamanio ya kupata vitu vingi vizuri na vya gharama
Matamanio ya kula na kula vizuri
Matamanio ya kutimiza haja za mwili nknk
Nieleweshe hapa, kwa mfanya mediation huwez kuwa na tamaa ya hivyo vitu kivipi?
 
Kabla sijaanza kufanya meditation ingawa ninatumia Maombi; nilikuwa na wasiwasi, uoga kiasi, mapigo ya moyo kwenda kasi, hasira, uzinifu na mengine mengi. Haya na mengine mengi kama chuki, usengenyaji, dharau, husuda, ugomvi, uchonganishi, wizi, wivu na zaidi kwa asilimia kubwa hufanywa pia na waumini watumiao MAOMBI.

Nilipoanza meditation nilianza kuwa na huruma, hakuna hasira, kuhisi jambo kabla halijatokea, kuota ndoto zinazokuwa kweli, kuwa jasiri (nilikuwa napita hadi maeneo ya hatari yenye wezi, vibaka, usiku mnene bila wasiwasi), hakuna kuuguaugua. Na mengine meeengi aisee.

Kiufupi, kwangu mimi kwa uzoefu nilioupitia japo sio mkubwa nimeona upo utofauti wa hali ya juu kati ya Maombi pekee na Meditation. Nilipoacha Meditation niliyumba hadi kiuchumi.

Kipindi nafanya sikuwa na tatizo la kiuchumi...nilikuwa nikiishiwa hela nikiconcetrate hata kama nipo ktk daladala siku haitaisha bila kupata ufumbuzi. Ila nilikuwa nikitumia Maombi na Meditation sio kimoja tu. Na sasa nimeanza tena.
Nahitaji kuijua mediation nahitaji hilo somo nianze ku practice
 
Kuna movie moja ya Antonio Banderas inaitwa Acts of vengeance,kuna muda Banderas anaacha kuongea kabisa kwa muda yani anakuwa kama bubu. Na matokeo ya kufanya hivyo akaongeza uwezo wake wa usikivu,anaweza kusikia sauti itokayo mbali na kwa utulivu.

Hii nayo unaizungumziaje Mkuu Mshana Jr
 
hivi hii meditation mnayoizungumzia hapa ni ile ya concerration ya kitu umekaa mahali au ile ya kujivua mwili???
 
Kuna movie moja ya Antonio Banderas inaitwa Acts of vengeance,kuna muda Banderas anaacha kuongea kabisa kwa muda yani anakuwa kama bubu. Na matokeo ya kufanya hivyo akaongeza uwezo wake wa usikivu,anaweza kusikia sauti itokayo mbali na kwa utulivu.

Hii nayo unaizungumziaje Mkuu Mshana Jr
Anaingia kwenye kitu kinaitwa partial meditation.... Angalia sana hata kwenye mijadala watu wanaokaa kimya muda mwingi wanapoamua kuongea...
Utulivu hukusanya maono ya kiroho
 
Back
Top Bottom