Meditation si dhambi hasa ukiitumia kiimani kwa imani yako... Shida hapa ni kwamba unatumia njia ndefu wakati shortcut IPOKwa hio Mshana jr meditation ni dhambi?vipi kuhusu Unajimu?je hivyo ndo tunavyo onywa kwenye amri ya 1."Mimi ndimi Bwana Mungu wako,usiabudu miungu wengine"?
Nashukuru sana brother umeniongezea kitu kikubwa sana, na nimevigundua vingi ningumu kuamini ila unaweza fikisha mudaa mrefu sana huna matamanio ya kufanya mapenzi kabisaa na hata ile hamu, au kula vyakula vizuri kupenda ufahari n.k yani unakuwa mtu wa kujitenga sana na upole. Thanks brother nina maswali mengi sana usinichoke kuhusu hii kitu maana nilikuwa nafundishwa na Ku practice kitu nisichokijua umeona hatari hiyo?Self realization ni kitu kikubwa na muhimu sana... Kujitambua na huu ndio wokovu katika ukristo.... Kila kitu chini ya jua unaona ni ubatili mtupu na unajiona kabisa wewe sio sehemu yake kwakuwa ushatakasika hivyo havikuhusu wala kukusumbua
Mwanajamii mwenzetu mmoja aliomba nimfundishe meditation ya kupata UTAJIRI wa Mali.... Alikuja kucheka mno alipokuja kugundua kuwa mwanzo wa meditation ndio mwanzo wa kujinasua na dunia ya matamanio....
Matamanio ya kupata pesa nyingi
Matamanio ya kupata vitu vingi vizuri na vya gharama
Matamanio ya kula na kula vizuri
Matamanio ya kutimiza haja za mwili nknk
Shukrani nimekuelewa.Meditation si dhambi hasa ukiitumia kiimani kwa imani yako... Shida hapa ni kwamba unatumia njia ndefu wakati shortcut IPO
Dhambi ya meditation inakuja pale unapoichanganya na imani za miungu na kuanza kuhoji uwepo na uwezo wa Mungu mkuu
Asante karibu bila shaka niko free mpaka saa nane usiku nitakapoingia kilingeniNashukuru sana brother umeniongezea kitu kikubwa sana, na nimevigundua vingi ningumu kuamini ila unaweza fikisha mudaa mrefu sana huna matamanio ya kufanya mapenzi kabisaa na hata ile hamu, au kula vyakula vizuri kupenda ufahari n.k yani unakuwa mtu wa kujitenga sana na upole. Thanks brother nina maswali mengi sana usinichoke kuhusu hii kitu maana nilikuwa nafundishwa na Ku practice kitu nisichokijua umeona hatari hiyo?
Mmh... Unafahamu kitu kinaitwa monkey mind theory? Na hii kitu inaitwa tranquilize of the mind? A secret of opening third eye? Unapofika hatua hii movements ziko akilini mikono ni kijumbe tu... Kwahiyo unaona na kuact kiroho kabla ya kimwiliKuna kitu nakumbuka mwalimu aliwahi kutufunza baada ya kufikia level fulani alisema sasa mtakapo kuwa mmepata utulivu wa kutoshaa anza kuukumbuka urushaji wa ngumi na movements zote na kumkwepa na kufanya mashambulizi huku unajilinda pia ifike mahala pigana mpka na watu 2 katika meditation yako hakikisha hawakushindi kabisa. Hii ni aina gani nayo?
Sasa nazidi kufunguka na itabidi hivyo vitu nivisome kinaga ubaga kupata maana zake. Nakumbuka alisema lazima ufahamu Mpinzani wako anataka kukutendea nini mapema kabisa kabla hajathubutu kufanya ili atakapofanya uwe umekwisha tambua hicho kitendo. Na tulikuwa tunapractice sanaa ila pawe pametulia hasa kuna muda unajiona kabisa unaelemewa na ukimaliza kichwa kinauma. Na kadiri siku zinavyozidi kwenda unaimprove hata katika mpangilio wa mapigo na uharaka pia. Na kwanini baada ya kumaliza unapaswa utulie kwanza utafakari meditation yako kwa muda kiasi ndiyo muondoke.?Mmh... Unafahamu kitu kinaitwa monkey mind theory? Na hii kitu inaitwa tranquilize of the mind? A secret of opening third eye? Unapofika hatua hii movements ziko akilini mikono ni kijumbe tu... Kwahiyo unaona na kuact kiroho kabla ya kimwili
Kabla adui hajafanya yake wewe tayari ushajua... Kwenye ufahamu wako tayari umeshamtangulia sekunde kadhaa kwakuwa mind yako iko sharp clean n pure
Ule muda wa kutulia ni muda wa kuipa sever ya akili ihifadhi nambo kabla hujachanganya na mengine utakayokutana nayoSasa nazidi kufunguka na itabidi hivyo vitu nivisome kinaga ubaga kupata maana zake. Nakumbuka alisema lazima ufahamu Mpinzani wako anataka kukutendea nini mapema kabisa kabla hajathubutu kufanya ili atakapofanya uwe umekwisha tambua hicho kitendo. Na tulikuwa tunapractice sanaa ila pawe pametulia hasa kuna muda unajiona kabisa unaelemewa na ukimaliza kichwa kinauma. Na kadiri siku zinavyozidi kwenda unaimprove hata katika mpangilio wa mapigo na uharaka pia. Na kwanini baada ya kumaliza unapaswa utulie kwanza utafakari meditation yako kwa muda kiasi ndiyo muondoke.?
Nimekuelewa mkuu ikitokea nimekwama katika ishu yoyote nitaku PM unipe mwongozo nilipunguza niliona napoelekea siyo nikaanza kujiogopa sasaUle muda wa kutulia ni muda wa kuipa sever ya akili ihifadhi nambo kabla hujachanganya na mengine utakayokutana nayo

Nimekupata brother Mshana Jr kwasababu nakumbuka mwalimu wangu aliwahi fanyiwa jambo la dhihaka baya na halifai alibaki anacheka. Jamaa alikuwa anauwezo ana lala pikipiki zinapita mfululizo 10 tumboni nilihisi uchawi alichosema hata Mimi naweza nilikataa alianza kunipa training ilifika hatua nikaanza kuogopa nyumbani watanitenga na kudhani NAPAA (Aisee![]()
![]()
![]()






