EL+RA=UFISADI
Member
- Jul 4, 2010
- 56
- 6
Salaam,
Sote tumeona kuwa kumekuwa na unfair coverage (very biased) kwenye media ya Tanzania kuhusu kampeni za uchaguzi zinazoendelea. Coverage yenyewe imekuwa na lengo la kuibeba CCM na Kikwete na kumhujumu SLAA na CHADEMA.
Ufuatao ni ushahidi kuwa media za Tanzania karibu zote kubwa zimekuwa zikipendelea CCM kutokana na wamiliki wake kuwa karibu na chama tawala au kununuliwa. Huu ndiyo ushahidi wenyewe:
TELEVISION STATIONS
1. TBC1 (inamilikiwa na serikali, pro-CCM)
2. ITV, Radio One (inamilikiwa na Reginald Mengi, mwanachama hai wa CCM)
3. Star TV, Radio Free Africa (inamilikiwa na Anthony Diallo, kada wa CCM)
4. Channel Ten, Magic FM (inamilikiwa na Tanil Somaiya, kada na mfadhili wa CCM)
5. Clouds TV, Clouds FM (Joseph Kusaga na wengine, wanajipendekeza kwa CCM)
MAGAZETI YA CCM
6. New Habari Corporation - Mtanzania, Rai, etc (Rostam Aziz, huyu ni mmiliki wa CCM)
7. IPP Media - Nipashe, The Guardian, etc (Reginald Mengi)
8. Jambo Leo (Ridhwani Kikwete, Juma Pinto, Malegesi, etc)
9. Daily News, Habari Leo (Mhariri wake, Mkumbwa Ally amediriki kuandika: "Slaa will never be the 5th president of Tanzania)
10. Tazama (linafadhiliwa na Lowassa)
11. Changamoto (linafadhiliwa na Usalama wa Taifa)
12. Sauti Huru (linafadhiliwa na swahiba wa JK, Subhash Patel)
13. Taifa Tanzania (Prince Bagenda, Nazir Karamagi)
14. Tafakari (Salva Rweyemamu, Gideon Shoo)
15. Al-Huda (Waislamu feki walionunuliwa na CCM)
16. UHURU, MZALENDO (magazeti ya chama)
MAGAZETI HURU MACHACHE
1. MWANAHALISI (inamilikiwa na Kubenea)
2. MWANANCHI, THE CITIZEN (inamilikiwa na Nation Media Group)
3. TANZANIA DAIMA (inamilikiwa na Freeman Mbowe)
4. RAIA MWEMA (Jenerali Ulimwengu and others)
5. MAJIRA (wafanyabiashara binafsi)
Sote tumeona kuwa kumekuwa na unfair coverage (very biased) kwenye media ya Tanzania kuhusu kampeni za uchaguzi zinazoendelea. Coverage yenyewe imekuwa na lengo la kuibeba CCM na Kikwete na kumhujumu SLAA na CHADEMA.
Ufuatao ni ushahidi kuwa media za Tanzania karibu zote kubwa zimekuwa zikipendelea CCM kutokana na wamiliki wake kuwa karibu na chama tawala au kununuliwa. Huu ndiyo ushahidi wenyewe:
TELEVISION STATIONS
1. TBC1 (inamilikiwa na serikali, pro-CCM)
2. ITV, Radio One (inamilikiwa na Reginald Mengi, mwanachama hai wa CCM)
3. Star TV, Radio Free Africa (inamilikiwa na Anthony Diallo, kada wa CCM)
4. Channel Ten, Magic FM (inamilikiwa na Tanil Somaiya, kada na mfadhili wa CCM)
5. Clouds TV, Clouds FM (Joseph Kusaga na wengine, wanajipendekeza kwa CCM)
MAGAZETI YA CCM
6. New Habari Corporation - Mtanzania, Rai, etc (Rostam Aziz, huyu ni mmiliki wa CCM)
7. IPP Media - Nipashe, The Guardian, etc (Reginald Mengi)
8. Jambo Leo (Ridhwani Kikwete, Juma Pinto, Malegesi, etc)
9. Daily News, Habari Leo (Mhariri wake, Mkumbwa Ally amediriki kuandika: "Slaa will never be the 5th president of Tanzania)
10. Tazama (linafadhiliwa na Lowassa)
11. Changamoto (linafadhiliwa na Usalama wa Taifa)
12. Sauti Huru (linafadhiliwa na swahiba wa JK, Subhash Patel)
13. Taifa Tanzania (Prince Bagenda, Nazir Karamagi)
14. Tafakari (Salva Rweyemamu, Gideon Shoo)
15. Al-Huda (Waislamu feki walionunuliwa na CCM)
16. UHURU, MZALENDO (magazeti ya chama)
MAGAZETI HURU MACHACHE
1. MWANAHALISI (inamilikiwa na Kubenea)
2. MWANANCHI, THE CITIZEN (inamilikiwa na Nation Media Group)
3. TANZANIA DAIMA (inamilikiwa na Freeman Mbowe)
4. RAIA MWEMA (Jenerali Ulimwengu and others)
5. MAJIRA (wafanyabiashara binafsi)
- HAKUNA HATA TV AU RADIO MOJA ILIYO KWENYE MAINSTREAM MEDIA AMBAYO NI HURU. ELECTRONIC MEDIA YOTE NCHINI IKO PRO CCM.
- MLIMANI TV YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM (UDSM) SO FAR IMEKUWA VERY PROFESSIONAL NA INATOA FAIR COVERAGE KWA WAGOMBEA WOTE. LAKINI TV HII BADO NI CHANGA NA HAIJAENEA NCHINI KOTE. KUNA JITIHADA ZA CCM KUITEKA TV HII.