Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,656
- 7,269
🤣🤣🤣Hawa ndugu zangu nao mpaka waje waelimike siyo leo, mwenge unafaida gani zaidi ya kupeleka VVU na TB?
🤣🤣🤣Hawa ndugu zangu nao mpaka waje waelimike siyo leo, mwenge unafaida gani zaidi ya kupeleka VVU na TB?
Mwenge sio ushirikina na tambiko bali ni nini?Ahaaa, mbona unakuwa na chuki na Chato? Tangia lini mwenge ni ushirikina?
Tumia akili ya kawaida taa au kibatari huwashwa kwa kazi gani?
Mkuu acha kuchochea machafuko. Ule unawashwa mchana na usiku kumulika mengi.Taa huwashwa usiku kukiwa na giza, huo ushirikina mnaowasha mchana ni ili kumpumbaza nani? Bila kuitoa ccm madarakani kwa machafuko, hilo tambiko bovu la ccm litaendelea kunajisi hii nchi.
Kakojoe ukalale.Hawa ndugu zangu nao mpaka waje waelimike siyo leo, mwenge unafaida gani zaidi ya kupeleka VVU na TB?
Hauna faida yyt,Hujui umuhimu wa mwenge?
Kwa ccter ako?Kakojoe ukalale.
Sana sana wanaenda kuzindua pump ya maji ya kijiji kweli? mbaya zaidi kila halmshauri wanalala unakuta halmshauri nzima wana madarasa 2 na kisima cha maji kimoja. OverHauna faida yyt,
Zile perdiem, meal, diesel nk kama zingewekezwa kwenye miradi ingefaa sana.
Kuna miradi inazinduliwa na Mwenge hata diwani hawezi kuzindua kwa udogo (immaterial) ubora na umuhimu wake.
Mkuu acha kuchochea machafuko. Ule unawashwa mchana na usiku kumulika mengi.
Mtu wa mashambani ni yupi? Mwenge na ushirikina wapi na wapi? Tumia akili acha kashfa.Ww ni mtu wa mashambani ambako bado ushirikina una nguvu, hivyo sioni ni kwa vipi utaacha kuamini ushirikina. Wanaccm walio kwenye mlo, na wajinga ndio huvutiwa na mwenge. Hakuna mtu ambaye sio mshirikina, na hayo makundi niliyotaja anayejua mwenge ni nini karne hii.
Mfano katika District councils gharama za kukimbiza Mwenge ni za wilaya husika.Kwani budget ya shughuli za mwenge imekaaje?
Kwa anayefahamu atililike basi, ili tuanzie hapo!
Kwa mama yakoKwa ccter ako?
Kimeumana?Kwa mama yako
Mtu wa mashambani ni yupi? Mwenge na ushirikina wapi na wapi? Tumia akili acha kashfa.
Fuatilia matokeo ya uchaguzi huko Muhambwe.Kimeumana?
Kwa namna ulivyochambua na kuelezea, gharama ya kuendesha shughuli hizo za mwenge zimeangushwa kwa wananchi.Mfano katika District councils gharama za kukimbiza mwenge ni za wikaya husika kwa maana ya diesel kuzungukia wilaya husika, posho za wakimbiza mwenge, accomodation, meals ni za michango inayokusanywa kwa wananchi, wafanyabiashara etc wa wilaya hiyo. Wakati mwingine hata watumishi huchangishwa 1k-5k inategemea.
Kwa mfano ninaweza gharimu 26M hadi 42M inategemea na ukubwa wilaya.
Council huchangia kiasi kidogo kutoka kwenye own source collection zao.