Fact yani ukiugusa uislamu tu ni shida tu....thread ya kawaida BT imekuwa nongwa...Mjibu mwenzako kwa hoja, na vifungu ama vya ktk biblia au Qur'an, ( kama unaijua), ukijibu namna hii unaangusha ukristo. Hivi kwa nini ndugu zang wa kristo mnakuwaga si wavumilivu ktk masuala haya? Mara nyingi hukimbilia kashfa au matusi. Mnaitia DOA dini kiasi cha kutilia shaka ukweli wake.
We noumaaa kete v2Kabla ya kuzungumzia Quran biblia imesema mbinguni utapewa mara 100 kile ulichokuwanacho duniani. Ina maana kama ulliacha mashamba heka mia utapata mara mia zaidi na kama ulikuwa na mke mmoja duniani mbinguni utapewa mara 100 yaani wanawake 100. Kuzungumzia bikira 72 ni ushamba maana biblia inaahidi wake 100. Nini wake 72 bhana....
Anzia hapo kujifunza.
Hawasomi maandiko. Biblia ni pana sana....We noumaaa kete v2
Amstrong alipokua juu mwezin dunia huwa nyeusi aliona mwanga katikati ya dunia alipotumia scope akaona ni mji wa meccani katikati kweli wanaojua Geography watujuze
Kwa mfano zikiwa tofaut lakin si ni kanzuZiko sawasawa. Angalia anayovaa padri jumapili kisha linganisha na zetu. Au ile anayovaa papa mtakatifu. Halafu huo upuuzi wa kujifanya kanzu ni tofauti ulitaka ziweje labda?
Mbona mnang'ang'ania JerusalemHakuna mji katika historia ya binadamu umewahi kupewa heshima kuzidi mji wa Makkah hakuna.
umenena kweli tupuMie ni muislam, lakin sidhani kama haya mambo mengine yana maana sana, wakati mwingine ndugu zangu katika imani mnependa kelele tu, watakuja hapa watakashifu dini, watatusi kila kitu, sijui huwq mnajiskiaje, kuleta mabishano yasiyo na kichwa wala mguu
Mungu wenu wa kujilipuaNdio maana nakuambia umekariri ubaya wa uislamu alikuambia baba ako ambaye na ye alikaririshwa na babu yako...
NB: uislamu ni dini pekee ya mwenyezi Mungu haina walakini ndani yake imeeleza na kugusa kila sehemu katika maisha.
Jifunze bila jazba
ha haaaa..umeuamji usio Na bar ni sawa sawa Na jehanum
naomba watu wanaojua Geography waachiwe watujuze.Wanaota ndoto za mchana hatuwatakiAmstrong alipokua juu mwezin dunia huwa nyeusi aliona mwanga katikati ya dunia alipotumia scope akaona ni mji wa mecca
Muislam mwenzio huyo..