Mishule yetu ipi? Si ni ile ile mnayosoma na ninyi? Au unazungumzia mishule yetu kushika mkia kisa hayaibi mitihani?Hili Dini ni laana tupu mleta mada umeleta uozo eti katikati ya dunia ni Macca ha ha ha ha ha ndio maana mishule yenu inaongoza kushika mkia
Nakuatafuta sana mkuu, nmekuchek inbox, utanitonya!Imeandikwa mwana wa Mungu atazaliwaa atajaribu atateswa na kufa na siku ya tatu atafufuka ni unabii ulitolewa kwenye kitabu cha isaya, hapo alikuwa anatimiza unabii na yesu alikuwa kama mwanadamu wa kawaida hakuwa na nguvu kama Mungu.
Na wewe endelea kujidanganya kwamva Yesu ni Mungu na atarudi. Kwa taarifa hatarudi ng'o!Endelea kumpigania Aalah kwani utakuja kunufaika na mito ya ulevi
Umeyafahamu hayo maneno uliyoyaweka? hii aya Imekataza kupigana ila kwa kulipiza kisasi baada ya wao kuwapiga. Soma vizuri uelewe wacha kukaririQuran 2: 191. Na wauweni popote mwakutapo, na muwatoe popote walipo kutoeni; kwani fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. Wala msipigane nao kwenye Msikiti Mtakatifu mpaka wakupigeni huko. Wakikupigeni huko basi nanyi pia wapigeni. Na hivi ndivyo yalivyo malipo ya makafiri.
Dini ya AMANI![]()
"Tena wale adui zangu wasiotaka niwatawale waleteni wachinjwe mbele yangu.......". Luka 19:27.Quran 2: 191. Na wauweni popote mwakutapo, na muwatoe popote walipo kutoeni; kwani fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. Wala msipigane nao kwenye Msikiti Mtakatifu mpaka wakupigeni huko. Wakikupigeni huko basi nanyi pia wapigeni. Na hivi ndivyo yalivyo malipo ya makafiri.
Dini ya AMANI![]()
yesu alipaa mbinguni nacyuko hukoNa wewe jibu......Yesu yuko mbinguni au peponi?
Lete ushahidi....yesu alipaa mbinguni nacyuko huko
MBONA NANYI PIA MNAKIRI KUWA SIKU YA KIAMA NDIYE ATAKUJA KUWAHUKUMU? BASI TUMEDANGANYIKA WOTEENa wewe endelea kujidanganya kwamva Yesu ni Mungu na atarudi. Kwa taarifa hatarudi ng'o!
KWA SABABU SISI HATUFICHI UKWELI SOMA BIBILIA KUHUSU KUPAA KWA YESU UTASOMA WATU WALIKUWA WANAMWAGALIA AKIPAA MBINGUNI SIO PEPONILete ushahidi....
Hao watu unaweza kuyajua majina yao japo watu wawili tu?KWA SABABU SISI HATUFICHI UKWELI SOMA BIBILIA KUHUSU KUPAA KWA YESU UTASOMA WATU WALIKUWA WANAMWAGALIA AKIPAA MBINGUNI SIO PEPONI
Unatuamini?MBONA NANYI PIA MNAKIRI KUWA SIKU YA KIAMA NDIYE ATAKUJA KUWAHUKUMU? BASI TUMEDANGANYIKA WOTEE
Quran 9:123. Enyi mlio amini! Piganeni na wale makafiri walio karibu yenu, na wakute ugumu kwenu. Na jueni ya kwamba Mwenyezi Mungu yu pamoja na wacha- Mungu"Tena wale adui zangu wasiotaka niwatawale waleteni wachinjwe mbele yangu.......". Luka 19:27.
Nimekupa andiko Luka 19:27 Yesu anaagiza wasiotaka awatawale waletwe wachinjwe mbele yake. Umekaa kimya kana kwamba hulioni hilo andiko.Quran 9:123. Enyi mlio amini! Piganeni na wale makafiri walio karibu yenu, na wakute ugumu kwenu. Na jueni ya kwamba Mwenyezi Mungu yu pamoja na wacha- Mungu